Mkubali mkatae Lema 'jembe' sana. Mbowe huaminiki vya kutosha basi tu

JEMELA

Member
Mar 15, 2014
20
14
Ebwanae, si ushabiki usio na tija wala nini ila ni ukweli usiopingika kwamba siasa za kiuanaharakati ndizo zilizosababisha hata ambao hatukuijua CHADEMA tukapenda siasa. Zama hizo Zitto Kabwe, Dr SLaa n.k. wapo CHADEMA. Kuondoka kwa hao watu lilikua pengo kubwa sana kwa upinzani hasa CHADEMA, Mbowe hujui tu.

Kwakuwa kwa waona mbali tulijua hata kama imekua hivyo hakukuwa na tija kuisupport CCM, bado tuliamua kuiunga mkono japo umungu mtu wa Mbowe kwenye chama binafsi unanikera sana. Hasa kuona mtu kama Dr. Slaa aondoke tu kisa Lowassa ambae siasa za kiuanaharakati hana.(dead and unfunctioning diplomacy).

Si shida Mungu si Athumani anajitolea Lema kuiweka kwenye chati heshima ya CHADEMA lakini bado sioni chama kikimpa heshima na mshikamano ambao unastahili. Amini amini nawaambia watu jasiri kama kina Lema ndio tunaowatambua sisi vijana wa sasa na si wanasiasa walaghai kama kina Mbowe. Msipojirekebisha tutawatafutia mbinu maana hatuwaelewi nyie kina Mbowe na diplomasia mfu.

CHADEMA is a leftist party so it should own its place. Long live Lema. Nakufananisha na Malema wa EFF(Economic Freedom Fighters party) wa South Africa. Bro Lema tuko pamoja na wewe wengi sana kuliko unavyofikiri. Wengi tunakuelewa.
 
Ukiweka ushabiki na hisia pembeni,na ukiondoa mapungufu madogo madogo ya mwandishi, jamaa kaongea kitu cha ukweli, siasa za uana harakati bado zinahitajika nchi hii, japo there is a price to pay for that lakini ni njia inayo hitajika, CDM bado hawatakuwa salama kwa namna wanavo enda sasa.
Solutiom
Wanaweza wakafanya wamacho fanya sasa kuangalia namna nyingine ya kupambana na uongozi wa awam hii ambao ni wa kidikteta, lakini watu kama kina Lema na aina ya siasa zao isiwekwe kando, Slaaism bado ina umuhim wake kwa CDM wakati huu.
 
Nakuunga mkono kabisa haiwezekani lema yupo ndani mwezi sasa utafikiri kaua chadema kimya bila kuonyesha mshikamano wowote kuwa wanalaani kitendo hicho ata kuhamasisha watu kuwa lema amenyimwa dhamani kutokana na simu iliyopigwa na mfalme wa nchi its so sad chadema kwa kweli mnapoteza dira kabisa mmetulia na kukaa kimya kama vile lema anastahili uonevu huu wa mafisi
 
Ebwanae, si ushabiki usio na tija wala nini ila ni ukweli usiopingika kwamba siasa za kiuanaharakati ndizo zilizosababisha hata ambao hatukuijua CHADEMA tukapenda siasa. Zama hizo Zitto Kabwe, Dr SLaa n.k. wapo CHADEMA. Kuondoka kwa hao watu lilikua pengo kubwa sana kwa upinzani hasa CHADEMA, Mbowe hujui tu.

Kwakuwa kwa waona mbali tulijua hata kama imekua hivyo hakukuwa na tija kuisupport CCM, bado tuliamua kuiunga mkono japo umungu mtu wa Mbowe kwenye chama binafsi unanikera sana. Hasa kuona mtu kama Dr. Slaa aondoke tu kisa Lowassa ambae siasa za kiuanaharakati hana.(dead and unfunctioning diplomacy).

Si shida Mungu si Athumani anajitolea Lema kuiweka kwenye chati heshima ya CHADEMA lakini bado sioni chama kikimpa heshima na mshikamano ambao unastahili. Amini amini nawaambia watu jasiri kama kina Lema ndio tunaowatambua sisi vijana wa sasa na si wanasiasa walaghai kama kina Mbowe. Msipojirekebisha tutawatafutia mbinu maana hatuwaelewi nyie kina Mbowe na diplomasia mfu.

CHADEMA is a leftist party so it should own its place. Long live Lema. Nakufananisha na Malema wa EFF(Economic Freedom Fighters party) wa South Africa. Bro Lema tuko pamoja na wewe wengi sana kuliko unavyofikiri. Wengi tunakuelewa.
Mwaafrika kama kawaida yake. Kazi ya mwanasiasa ni kutatua matatizo ya wapiga kura wake, siyo kuota na kutokuwa na busara saa zote (heri ya vita kuliko amani yenye kupumbaza). Hii inaonyesha akili yake na upeo wake.
 
Lowasa anafanya siasa za ' Kiuoga uoga' kwa kisingizio cha amani

1. Mtu unaamini eti ulishinda halafu eti unakaa kimya kuporwa ushindi kwa kisingizio cha kulinda amani ya nchi, kwani hao waliopora hawana jukumu la kulinda amani?

2. Siasa za kuhofia kushughulikiwa na serikali, biashara zako kufungwa, na kuwa harrassed, matokeo yake wameigeuza Chadema Lame duck party, Joka la kibisa, mbwa anayebweka asiyeng'ata. Hakuna mistake waliyoifanya Chadema kama kuahirisha Operesheni UKUTA ile ya pili, ile ya kwanza wangeweza kupewa benefit of doubt, ila ya pili kila mtu aliona kumbe ni chama cha waoga katika mavazi ya Mgambo!
 
Hivi Lumumba hawana vichwa tena?
Ebwanae, si ushabiki usio na tija wala nini ila ni ukweli usiopingika kwamba siasa za kiuanaharakati ndizo zilizosababisha hata ambao hatukuijua CHADEMA tukapenda siasa. Zama hizo Zitto Kabwe, Dr SLaa n.k. wapo CHADEMA. Kuondoka kwa hao watu lilikua pengo kubwa sana kwa upinzani hasa CHADEMA, Mbowe hujui tu.

Kwakuwa kwa waona mbali tulijua hata kama imekua hivyo hakukuwa na tija kuisupport CCM, bado tuliamua kuiunga mkono japo umungu mtu wa Mbowe kwenye chama binafsi unanikera sana. Hasa kuona mtu kama Dr. Slaa aondoke tu kisa Lowassa ambae siasa za kiuanaharakati hana.(dead and unfunctioning diplomacy).

Si shida Mungu si Athumani anajitolea Lema kuiweka kwenye chati heshima ya CHADEMA lakini bado sioni chama kikimpa heshima na mshikamano ambao unastahili. Amini amini nawaambia watu jasiri kama kina Lema ndio tunaowatambua sisi vijana wa sasa na si wanasiasa walaghai kama kina Mbowe. Msipojirekebisha tutawatafutia mbinu maana hatuwaelewi nyie kina Mbowe na diplomasia mfu.

CHADEMA is a leftist party so it should own its place. Long live Lema. Nakufananisha na Malema wa EFF(Economic Freedom Fighters party) wa South Africa. Bro Lema tuko pamoja na wewe wengi sana kuliko unavyofikiri. Wengi tunakuelewa.
 
Mbowe pita huku kuna Bavicha wanakuponda kwa kuficha IDs zao.
 
Vijana wa Lumumba kwa kujidai wana mapenzi na CDM kweli ni Kokoro.Haya bana ila mbowe ni yule yule na hatikisiki,kajipangeni tena aiseee
 
Hao vijana wachache waliotekwa akili na chama chakavu,waendelee na maisha yao tupo kundi la mamillion ya watz tena Vijana hatutikisiki kamwe,ni sisi na mwenyekiti wetu baaasi wao waendelee kutumika bila kujijua
 
Back
Top Bottom