Mkorogo

si wanawake peke yao ata wanaume pia

unanata kujua ili na wewe upake?

changanya omo+jiki+yai viza+mavi ya mende+mkojo wa mlevi+sifongo+maji ya betri=MKOROGO MURWAAAAA


m telling u ukiaaply iyo combinenga ahh mbona kesho asubui michael jackson uyu apa...dah utameremeta yaan u just try n u wil c

dnt foget kunipa MREJESHO tafadhali...
 
yaani jana mtwara mpaka nilishangaa mtu unabadilisha rangi mpaka rangi hajulikani.mtu unakuwa kichekesho.kama mdori.kuiga tutakufa
 
Samahani sana. Nimekosea, nimeingia choo cha wehu. Nitarudi baadae.
 
ha ha haloooo mikorogo itawauwa hiyo hata wanaume pia duh
 
Unataka kujua??? Nunua carolight cream na maji yake, changanya na mchemsho mliopowa wa jiki, blue band, na mafuta ya break kidogo. Jiandae kupata cancer ya ngozi hapo baadaye.
 
si wanawake peke yao ata wanaume pia<br />
<br />
unanata kujua ili na wewe upake?<br />
<br />
changanya omo+jiki+yai viza+mavi ya mende+mkojo wa mlevi+sifongo+maji ya betri=MKOROGO MURWAAAAA<br />
<br />
<br />
m telling u ukiaaply iyo combinenga ahh mbona kesho asubui michael jackson uyu apa...dah utameremeta yaan u just try n u wil c<br />
<br />
dnt foget kunipa MREJESHO tafadhali...
<br />
<br />
Na baada ya wiki nafikiri atakuwa kansa ya ngozi.
 
habari zenu he jamani wanawake wanatia mkorogo wanakuwa weupe kama michael jackson mpaka wanatisha dah hivi wanatumia nini jamani hebu na sie tujue siri hawaogopi kuathirika
<br />
<br />
SI UMESHASEMA SIRI,SASA UNATAKA KUJUA SIRI!SIRI NI SIRI HAITAKIWI KUJULIKANA.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom