Habari za mchana wana jamvi,
Husika na kichwa cha habari hapo kama kinavyojieleza nilikua nahitaji mkopo wa million 10 bank kwa ajili ya kutanua biashara yangu lengo la kuanzisha uzi huu ni
1.kupata ushauri wa bank ipi ina rate nzuri
2.kujua vigezo vipi watakavyohitaji kwa kias hiko tajwa n.b(hati ya nyumba na kiwanja kipo ipo)
3.kupata uzoefu kwa walio wai kukopa kiasi hicho na kuendelea
Asanteni sana ,nawasilisha
Husika na kichwa cha habari hapo kama kinavyojieleza nilikua nahitaji mkopo wa million 10 bank kwa ajili ya kutanua biashara yangu lengo la kuanzisha uzi huu ni
1.kupata ushauri wa bank ipi ina rate nzuri
2.kujua vigezo vipi watakavyohitaji kwa kias hiko tajwa n.b(hati ya nyumba na kiwanja kipo ipo)
3.kupata uzoefu kwa walio wai kukopa kiasi hicho na kuendelea
Asanteni sana ,nawasilisha