Detective J
JF-Expert Member
- Oct 17, 2016
- 18,632
- 29,086
Viongozi wa hii serikali wenyeww hawadhamini elimu.. elimu kwao ni kama option. hata wakisikia sidhan kama kuna jambo watafanyando wanasansi wajao ao and thats the treatment....tupaze saut umu kuna viongozi wakiserikali wataliona hili wanaweza kumsaidia