Mkopo umekwamisha ndoto zake za kumaliza chuo, wandugu tumsaidie

MJINI CHAI

JF-Expert Member
Dec 12, 2010
2,196
1,218
wakuu, habari za Asbh, natumai mu wazima.....Jana katika pitapita yangu Maeneo fulani hapa Dar TZ nikakutana na kijana Jina lake nalihifadhi, Form six alipata one ya PCM na kuchaguliwa kujiunga na Chuo UDSM mlimani kozi ya Miamba na Madini, yupo mwaka wa kwanza na amepata hifadhi ya malazi pale Mabibo hostel......

ameniambia alipata mkopo wa Board mikopo kwa 98% na akaambiwa alipe hiyo asilimia mbili iliyobaki na apeleke Risiti kwa Board, na alifanya hivyo...lakini wakati anaendelea na Chuo Mkopo wake ukafutwa kwa asilimia zote na hata ile pesa aliyolipa hakurudishiwa......Amejaribu kwenda kwa Board ya mikopo lakini anakutana na jibu moja tu kuwa Board haina fedha........

Hana wazazi anakaa na Bibi yake na Mjomba yake maeneo ya Kiwalani wamejaribu kujichanga wameshindwa kwani nae dogo anasema amekuwa akitoka Chuo kwenda Kiwalani kufanya Vibarua na akipata pesa kama Tshs 20,000 anarudi chuo kusogeza siku.......Ameniambia alikuwa na ndoto ya kumaliza Chuo lakini hana matumaini na ndio maana yupo hapa nilipomkuta amelala chini ya Mti maeneo haya karibu na hosp ya Ocean Road......

Nimesikitika sana........nimeumia sana........nimempa namba yangu ya simu tuwasiliane sijui nimsaidiaje............??!!!! wenye ufahamu na jambo hili hebu tumsaidie huyu Dogo.....bila kajali kabila lake la KIHAYA kwani shida haina kabila na kutoa ni Moyo....

BOARD ya Mikopo na Serikali angalieni hawa.......Je Mmeshindwa kuwatambua wenye mahitaji ya kweli.........?????!!!!
 
ndo wanasansi wajao ao and thats the treatment....tupaze saut umu kuna viongozi wakiserikali wataliona hili wanaweza kumsaidia
 
wakuu, habari za Asbh, natumai mu wazima.....Jana katika pitapita yangu Maeneo fulani hapa Dar TZ nikakutana na kijana Jina lake nalihifadhi, Form six alipata one ya PCM na kuchaguliwa kujiunga na Chuo UDSM mlimani kozi ya Miamba na Madini, yupo mwaka wa kwanza na amepata hifadhi ya malazi pale Mabibo hostel......

ameniambia alipata mkopo wa Board mikopo kwa 98% na akaambiwa alipe hiyo asilimia mbili iliyobaki na apeleke Risiti kwa Board, na alifanya hivyo...lakini wakati anaendelea na Chuo Mkopo wake ukafutwa kwa asilimia zote na hata ile pesa aliyolipa hakurudishiwa......Amejaribu kwenda kwa Board ya mikopo lakini anakutana na jibu moja tu kuwa Board haina fedha........

Hana wazazi anakaa na Bibi yake na Mjomba yake maeneo ya Kiwalani wamejaribu kujichanga wameshindwa kwani nae dogo anasema amekuwa akitoka Chuo kwenda Kiwalani kufanya Vibarua na akipata pesa kama Tshs 20,000 anarudi chuo kusogeza siku.......Ameniambia alikuwa na ndoto ya kumaliza Chuo lakini hana matumaini na ndio maana yupo hapa nilipomkuta amelala chini ya Mti maeneo haya karibu na hosp ya Ocean Road......

Nimesikitika sana........nimeumia sana........nimempa namba yangu ya simu tuwasiliane sijui nimsaidiaje............??!!!! wenye ufahamu na jambo hili hebu tumsaidie huyu Dogo.....bila kajali kabila lake la KIHAYA kwani shida haina kabila na kutoa ni Moyo....

BOARD ya Mikopo na Serikali angalieni hawa.......Je Mmeshindwa kuwatambua wenye mahitaji ya kweli.........?????!!!!
Hukua na sababu ya kutaja kabila mkuu maana kma jina lake tu au jinsia hukuitaja kuna sababu gani ya kutaja kabila lake
 
ndo wanasansi wajao ao and thats the treatment....tupaze saut umu kuna viongozi wakiserikali wataliona hili wanaweza kumsaidia
Mkuu kiukweli hii kitu imeninyima raha tangu jana nilipokutana na huyu dogo amelala pale chini ya mti..........najaribu kuwaza pale alikuwa anazawa nini.........????? jamani watu wanapitia magumu mengi sana hapa Duniani.....
 
Hukua na sababu ya kutaja kabila mkuu maana kma jina lake tu au jinsia hukuitaja kuna sababu gani ya kutaja kabila lake
Samahani kwa hilo......na hata watani zangu samahani......najiaminisha ya kuwa ingawa siyo kweli kuwa WAHAYA wana uwezo hivyo wanaweza toa MSAADA kwa hili ingawa kusaidia hakuna kabila
 
Huyu anatakiwa aende, kampun za madini. Naukakika wanaweza kumsaidia.
 
Samahani kwa hilo......na hata watani zangu samahani......najiaminisha ya kuwa ingawa siyo kweli kuwa WAHAYA wana uwezo hivyo wanaweza toa MSAADA kwa hili ingawa kusaidia hakuna kabila
Umesameheka mkuu unawajua wabongo hapo wabongo badala ya kumsaidia MTU wataanza kudiscuss kabila lake watanzania wanakusaidia huku wanakusimanga bythwy huyo Dogo anahitaj sana msaada tena Wa haraka kipindi hiki inabid tuukubali ukweli uliopo hali hali ni mbaya ivyo tupambane tu viongozi washaziba pamba
 
Hapo bila kujali kabila lake ndipo ulipoharibu, kwa nini umekuwa na mawazo yasiyofikirika miongoni mwa watanzania?? Mbona wewe mkabila sana?? Kulikuwa na haja gani kusema bila kujali kabila lake mbaya zaidi umelitaja na kabila lenyewe??? Au ndo unapigia chapuo wahaya wamsaidie??? Upuuzi mtupu....!!!!
 
Duh!!!Hata Mimi nimesikia uchungu sana. Nikikumbuka somasoma yangu mpaka kuhold a bachelor degree mpaka machozi yananitoka. Mnaoweza mumsaidie huyo kijana. Hali ngumu sana mitaani jamani.. Ningekua nimepata kazi ningemsaidia kumlipia ada Hta kama kwa installment. Mpaka naishia kulia tu hapa
 
Duh!!!Hata Mimi nimesikia uchungu sana. Nikikumbuka somasoma yangu mpaka kuhold a bachelor degree mpaka machozi yananitoka. Mnaoweza mumsaidie huyo kijana. Hali ngumu sana mitaani jamani.. Ningekua nimepata kazi ningemsaidia kumlipia ada Hta kama kwa installment. Mpaka naishia kulia tu hapa
Mkuu kulia lia sio wakati wake huu ni kupambana tu hakuna namna kwanza weka picha ya chozi kma kweli

Sent from my HUAWEI Y336-U02 using JamiiForums mobile app
 
Mkuu nipm simu yako tuwasiliane hilo moja,pili ukiongea naye mshauri aende kwa mkuu wa mkoa wa dar ofisini kwake ataelekezwa pakuanzia.Lakini pia mshauri amuone vc udsm hili suala linasolvika kabisa.
 
wakuu, habari za Asbh, natumai mu wazima.....Jana katika pitapita yangu Maeneo fulani hapa Dar TZ nikakutana na kijana Jina lake nalihifadhi, Form six alipata one ya PCM na kuchaguliwa kujiunga na Chuo UDSM mlimani kozi ya Miamba na Madini, yupo mwaka wa kwanza na amepata hifadhi ya malazi pale Mabibo hostel......

ameniambia alipata mkopo wa Board mikopo kwa 98% na akaambiwa alipe hiyo asilimia mbili iliyobaki na apeleke Risiti kwa Board, na alifanya hivyo...lakini wakati anaendelea na Chuo Mkopo wake ukafutwa kwa asilimia zote na hata ile pesa aliyolipa hakurudishiwa......Amejaribu kwenda kwa Board ya mikopo lakini anakutana na jibu moja tu kuwa Board haina fedha........

Hana wazazi anakaa na Bibi yake na Mjomba yake maeneo ya Kiwalani wamejaribu kujichanga wameshindwa kwani nae dogo anasema amekuwa akitoka Chuo kwenda Kiwalani kufanya Vibarua na akipata pesa kama Tshs 20,000 anarudi chuo kusogeza siku.......Ameniambia alikuwa na ndoto ya kumaliza Chuo lakini hana matumaini na ndio maana yupo hapa nilipomkuta amelala chini ya Mti maeneo haya karibu na hosp ya Ocean Road......

Nimesikitika sana........nimeumia sana........nimempa namba yangu ya simu tuwasiliane sijui nimsaidiaje............??!!!! wenye ufahamu na jambo hili hebu tumsaidie huyu Dogo.....bila kajali kabila lake la KIHAYA kwani shida haina kabila na kutoa ni Moyo....

BOARD ya Mikopo na Serikali angalieni hawa.......Je Mmeshindwa kuwatambua wenye mahitaji ya kweli.........?????!!!!
Unaweza kuweka mawasiliano yake hapa
 
Unaweza kuweka mawasiliano yake hapa
Mkuu ngoja niende Kiwalani aliponielekeza kwani hata simu hana ila nilimpa namba yangu anitafute.......

Mkuu nipm simu yako tuwasiliane hilo moja,pili ukiongea naye mshauri aende kwa mkuu wa mkoa wa dar ofisini kwake ataelekezwa pakuanzia.Lakini pia mshauri amuone vc udsm hili suala linasolvika kabisa.
Nashukuru sana Mkuu kwa Support yako......kuhusu kuniPm ni vizuri nipate namba ya mtu wake wa karibu then muwasiliane, pili nitamshauri kama ulivyoshauri aende kwa RC ofisini kwake ingawa kwa siku hizi pale ni vigumu sana kuonana nae lakini atakwenda........na kuhusu kumuona VC pale Udsm nadhani aanzie hapo kwanza na kama atafanikiwa itakuwa hurreeee.....

Anaitwa nani?penye nia pana njia.Mwambie ajitokeze.hata kwenye media aende au humu,social media na kadharika.Information is power.Mwambie ajitokeze,hakika atapata msaada.
Mimi nilimshauri kwenye maredio akajitangaze ili aombe msaada........lakini nikaona pia ni vizuri nikaweka na humuJF.....
hakika penye nia pana njia........ingawa nimemuona kama mtu ambae amekata tamaa.......kwani alifikia wakati tunaongea aliniuliza swali ETI BABA HUU NDIYO MWISHO WANGU WA KUSOMA.......? nilijisikia huzuni sana ilibidi nijifanye natoa mafua ili niweze kufuta machozi yangu..........nilimjibu utasoma tu mwanagu wakati sijui atasoma somaje......?



MTOTO WA MWENZIO NI WAKO.........SAIDIA HUJUI UTASAIDIWA NA NANI............??
 
Duh!!!Hata Mimi nimesikia uchungu sana. Nikikumbuka somasoma yangu mpaka kuhold a bachelor degree mpaka machozi yananitoka. Mnaoweza mumsaidie huyo kijana. Hali ngumu sana mitaani jamani.. Ningekua nimepata kazi ningemsaidia kumlipia ada Hta kama kwa installment. Mpaka naishia kulia tu hapa
Ubarikiwe Mkuu......Mungu atakufanyia wepesi.........
 
Huyo kijana umesema anasomea mambo ya miamba. Ingekuwa vizuri bodi itoe sababu ya kumfutia mkopo kusema tu hawana hela si sahihi. Kama ni kweli ameonewa njia nyingine aende na ushahidi wake kwa waziri wa elimu awakilishe kesi yake nina amini waziri hawezi kumuacha hivi hivi kama kuna uthibitisho wa uhitaji. Option nyingine amtafute waziri wa nishati na madini ambaye nimeaminishwa amekua anasaidia vijana wengi kwa kuwatafutia scholarships, akipresent case yake natumaini atasikilizwa.
 
Huyo kijana umesema anasomea mambo ya miamba. Ingekuwa vizuri bodi itoe sababu ya kumfutia mkopo kusema tu hawana hela si sahihi. Kama ni kweli ameonewa njia nyingine aende na ushahidi wake kwa waziri wa elimu awakilishe kesi yake nina amini waziri hawezi kumuacha hivi hivi kama kuna uthibitisho wa uhitaji. Option nyingine amtafute waziri wa nishati na madini ambaye nimeaminishwa amekua anasaidia vijana wengi kwa kuwatafutia scholarships, akipresent case yake natumaini atasikilizwa.
Sawa Mkuu nitamshauri hivyo ulivyoshauri.....
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom