the locksman
JF-Expert Member
- May 5, 2012
- 1,101
- 350
Kwanini mkuu.Kwa take home yake ni kama vile yuko TGS D au E. Hakuna benki atakayoweza kukopa milioni 30 kwa hapa bongo.
Akipata sana ni 15-20 tena kwa miaka 8.
Kwanini mkuu.Kwa take home yake ni kama vile yuko TGS D au E. Hakuna benki atakayoweza kukopa milioni 30 kwa hapa bongo.
Akipata sana ni 15-20 tena kwa miaka 8.
1/3 lazima ibakiKwanini mkuu.
aah kumbeKwa take home yake ni kama vile yuko TGS D au E. Hakuna benki atakayoweza kukopa milioni 30 kwa hapa bongo.
Akipata sana ni 15-20 tena kwa miaka 8.
Vipi una experience ya kukopa?Ukitaka kupoteza mwelekeo wa maisha, we chukua mkopo uwe wa bank or saccos...umekwisha
Dunduliza vimshahara vyako hivyo hivyo ufanyie jambo lako