Mkopo hauwi deni hadi unapoiva na kushindwa kulipika. Magufuli hajaacha madeni, ameacha miradi mikubwa. Tukishindwa kulipa ni sisi, si yeye!

Vitu vingine ni rahisi tu Mkopo hauwi deni hadi pale utakapoiva na labda kushindwa kulipika.

Mikopo ya Magufuli iliitwa fedha za ndani kwa sababu ilikwenda direct kwenye miradi ambayo upembuzi yakinifu uliofanywa na wakopeshaji ulionyesha italipika ndani ya muda wa mkataba.

Kwahiyo tembeeni kifua mbele msiogope.

Hilo linaloitwa deni la taifa liliachwa wakati wa Nyerere na Mwinyi kuanzia muhula wa Mkapa mikopo yote inalipwa kwa wakati.
Siyo rahisi kama unavyodhani, kumbuka kuna miradi inaitwa "white elephant".
 
Vitu vingine ni rahisi tu Mkopo hauwi deni hadi pale utakapoiva na labda kushindwa kulipika.

Mikopo ya Magufuli iliitwa fedha za ndani kwa sababu ilikwenda direct kwenye miradi ambayo upembuzi yakinifu uliofanywa na wakopeshaji ulionyesha italipika ndani ya muda wa mkataba.

Kwahiyo tembeeni kifua mbele msiogope.

Hilo linaloitwa deni la taifa liliachwa wakati wa Nyerere na Mwinyi kuanzia muhula wa Mkapa mikopo yote inalipwa kwa wakati.
True wakishindwa ni akili zao mbovu ,mbona magufuli kashika nchi kakuta mikataba ya kifisadi ya madini na mingineyo kapambana na kutuwekea mambo sawa ,kikwete alikopa na kuacha nchi bila ya senti na ajajenga kitu chochote cha maana
 
Vitu vingine ni rahisi tu, Mkopo hauwi deni hadi pale utakapoiva na labda kushindwa kulipika.

Mikopo ya Magufuli iliitwa fedha za ndani kwa sababu ilikwenda direct kwenye miradi ambayo upembuzi yakinifu uliofanywa na wakopeshaji ulionyesha italipika ndani ya muda wa mkataba.

Kwahiyo tembeeni kifua mbele msiogope.

Hilo linaloitwa deni la taifa liliachwa wakati wa Nyerere na Mwinyi kuanzia muhula wa Mkapa mikopo yote inalipwa kwa wakati.
Mnapotosha. Hoja ya usingi ni UONGO wa Mwendazake. Alikuwa anatudanganya kwamba miradi inatekelezwa kwa fedha za ndani, kumbe alikuwa ni mikopo ya kujifichaficha bila kutuambia sisi waajiri wake!
 
Vitu vingine ni rahisi tu, Mkopo hauwi deni hadi pale utakapoiva na labda kushindwa kulipika.

Mikopo ya Magufuli iliitwa fedha za ndani kwa sababu ilikwenda direct kwenye miradi ambayo upembuzi yakinifu uliofanywa na wakopeshaji ulionyesha italipika ndani ya muda wa mkataba.

Kwahiyo tembeeni kifua mbele msiogope.

Hilo linaloitwa deni la taifa liliachwa wakati wa Nyerere na Mwinyi kuanzia muhula wa Mkapa mikopo yote inalipwa kwa wakati.
Acha upumbavu, yule marehemu kichaa alikuwa akisema kuwa ni pesa za ndani, yaani kodi kumbe ni mikopo ya kihuni. Tumfukue achapwe bakora
 
Yaqni kujange reli..na bwawa la umeme..useme ameharibu..je hii ya COVID?
Unafahamu kitu kinaitwa payback period? Internal rate of return, present value of money au feasibility study? Je hiyo miradi iliangalia hivyo vigezo?

Kujenga ni kitu kimoja na kuleta faida ni kitu kingine?


Kama hujui kitu usijibu post hii Kimla
 
Wewe jamaa kweli ni mwana CCM maana hauna akili hata kidogo...

Yaani baba yako akope pesa, akajenge mradi wa kipumbavu huko Mbinga; halafu akuambie, mwanangu ukishindwa kulipa deni ni tatizo lako!!

Anayekopa lazima ajue namna ambavyo deni litalipwa hata kama ni baada ya miaka 30; sio unaleta White Elephant projects halafu unasema waliobaki walipe.
 
Vitu vingine ni rahisi tu, Mkopo hauwi deni hadi pale utakapoiva na labda kushindwa kulipika.

Mikopo ya Magufuli iliitwa fedha za ndani kwa sababu ilikwenda direct kwenye miradi ambayo upembuzi yakinifu uliofanywa na wakopeshaji ulionyesha italipika ndani ya muda wa mkataba.

Kwahiyo tembeeni kifua mbele msiogope.

Hilo linaloitwa deni la taifa liliachwa wakati wa Nyerere na Mwinyi kuanzia muhula wa Mkapa mikopo yote inalipwa kwa wakati.
Mpumbavu kama waliokuzaa
 
Vitu vingine ni rahisi tu, Mkopo hauwi deni hadi pale utakapoiva na labda kushindwa kulipika.

Mikopo ya Magufuli iliitwa fedha za ndani kwa sababu ilikwenda direct kwenye miradi ambayo upembuzi yakinifu uliofanywa na wakopeshaji ulionyesha italipika ndani ya muda wa mkataba.

Kwahiyo tembeeni kifua mbele msiogope.

Hilo linaloitwa deni la taifa liliachwa wakati wa Nyerere na Mwinyi kuanzia muhula wa Mkapa mikopo yote inalipwa kwa wakati.
385d4ba6c509ff6391a95c3bc4873767.JPG
 
Nini cheti feki? Magufuli yeye alifoji PhD ya maganda ya korosho, na alipoulizwa na Ben Saanane akamuua.
Basi alikuwa genius, kama kafoji na kafanya mambo muhimu namna hiyo acha tumuite MAGUFULI THE GREAT ,
 
Wewe jamaa kweli ni mwana CCM maana hauna akili hata kidogo...

Yaani baba yako akope pesa, akajenge mradi wa kipumbavu huko Mbinga; halafu akuambie, mwanangu ukishindwa kulipa deni ni tatizo lako!!

Anayekopa lazima ajue namna ambavyo deni litalipwa hata kama ni baada ya miaka 30; sio unaleta White Elephant projects halafu unasema waliobaki walipe.
Hicho ndiyo wanasiasa wa JF hawajui, wao wanachojali ni kuona SGR imepita tu kutoka Mwanza kwenda Isaka kupitia Chato
 
Basi alikuwa genius, kama kafoji na kafanya mambo muhimu namna hiyo acha tumuite MAGUFULI THE GREAT ,
Umedandia treni katikati kama malaya wa kimboka anavyokimbilia mwanaume.

Issue ya vyeti FEKI kuna watu wanaitumia kama silaha kuwa wanaomkosoa Magufuli ni kwa vile walitolewa kazini kwa vyeti FEKI. Mimi nimemkumbusha tu kuwa kufoji vyeti hata yeye mwenyewe Magufuli alifoji.

Kuna utafiti unaofanana sana na wa Magufuli uliofanywa na mwanafunzi mwingine Dr. J.Y. Philip na wote wanaonekana walisimamiwa na Prof. Buchweishaija katika utafiti uliokuwa unashabiiana sana wote wakitafuta namna maganda ya korosho yanaweza kutumika kuzuia kutu.
 
Vitu vingine ni rahisi tu, Mkopo hauwi deni hadi pale utakapoiva na labda kushindwa kulipika.

Mikopo ya Magufuli iliitwa fedha za ndani kwa sababu ilikwenda direct kwenye miradi ambayo upembuzi yakinifu uliofanywa na wakopeshaji ulionyesha italipika ndani ya muda wa mkataba.

Kwahiyo tembeeni kifua mbele msiogope.

Hilo linaloitwa deni la taifa liliachwa wakati wa Nyerere na Mwinyi kuanzia muhula wa Mkapa mikopo yote inalipwa kwa wakati.
Tatizo ninyi maharamia mnatuona sote maf*la (ashakum si matusi). Na hii ndo ilikuwa mentality ya Mwendazake, kuwaona Watanzania wote hamnazo. Mna bahati mnaongea haya mtandaoni kwa kutumia IDs feki lakini ingekuwa mtaani, mngechezea kichapo mpaka muite maji m'ma 😡
 
Daaah, nimesoma kichwa cha mada, nikashangaa. Nilipoangalia mada imeletwa na nani, nikazidi kushangaa zaidi!

Sikusoma yaliyoandikwa ndani, lakini kuendana na kichwa cha habari, ni dhahiri leo umeishughulisha akili yako ifanye kazi.

Pamoja na hayo, sikubaliani na hoja inayoelezewa na kichwa cha habari hicho. Pesa ikishagonga kwenye akaunti yako tu, inaanza kuwa deni kwako, utake usitake.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom