Tushauriane hapa wataalam na wenye uzoefu na uelewa usio na shaka wa masuala ya mikopo na walioko kwenye sekta au taasisi binafsi au za serikali upande wa mikopo
Ya kwamba waweza kupata personal loan kwa kutumia nyumba isiyo na hati. Je, ni wapi au taasisi gani inaweza kupatikana huduma ya namna hiyo?
NMB iondoePBZ, HATA NMB
Tushauriane hapa wataalam na wenye uzoefu na uelewa usio na shaka wa masuala ya mikopo na walioko kwenye sekta au taasisi binafsi au za serikali upande wa mikopo
Ya kwamba waweza kupata personal loan kwa kutumia nyumba isiyo na hati. Je, ni wapi au taasisi gani inaweza kupatikana huduma ya namna hiyo?