habar za mapumziko ya wikendi bandgu,,, napenda kujuzwa kwa watumishi wa serikali waliowahi mkopa crdb siku za karbuni inachukua hadi siku ngapi hadi kuwekewa mkopo tokea siku nmemamalza process zote ,, maana kwa upande wangu nmeomba tawi la hapa mwanza lakin wiki ya pili inaisha sijawekewa bado ila wao walisema baada ya wiki tu,, wenye uzoea wanijuze