Mheshimiwa Mkono; akichangia bajeti ya wizara ya ujenzi kuhusu ujenzi wa barabara ya Serengeti; ameonya jinsi Watz wanavyoshindwa kuendelea kujenga barabara ya Serengeti akisema kuwa Kenya imefanya mchezo mchafu ili kuzuia barabara hiyo kujengwa. Watz wana paswa kuamka na kufanya yale ambayo wanafikiri yatakuza uchumi wao. Ukijenga barabara hiyo ni wazi kuwa itaboresha utalii katika mbuga hiyo kwa kutumia muda mfupi kufika huko, na hivyo kuathiri upande wa wenzetu. Kwa hiyo watakazana kutoa sababu lukuki na kuwarubuni wanamazingira eti wanyama watakimbia. Mbona mbuga zao zimejaa majengo na mabarabara??? Maghufuli kuwa macho kwa hili uwafanyie watz kitu.