Donatila
JF-Expert Member
- Oct 23, 2014
- 7,557
- 21,495
Watu 7 wamefariki katika ajali iliyohusisha gari aina ya Scania Lori iliyotokea katika kijiji cha Mkongoro Kigoma. Chanzo cha ajali, ni Dereva wa Lori kushindwa kulimudu gari wakati akishuka kwenye mteremko uliokuwa na kona kali na kumgonga mtembea kwa miguu na kisha kupinduka.