JAYJAY
JF-Expert Member
- Oct 31, 2008
- 7,509
- 7,532
kuna mkonga wa mawasiliano wa optic fibre ambao nimeona baadhi ya sehemu kukichimbwa kuupitisha. naomba kufahamishwa hapa nchini kuna mikonga mingapi ( yaani umiliki wake) ambayo inasambazwa maeneo mbalimbali. je, ule mkonga wa baharini wa kampuni ya zantel ( au ambao zantel wamehusishwa nao) unahudumia wateja gani, na kwa ujumla ipo mikonga mingapi iliyoletwa nchini kupitia chini ya baharini kuunganisha Tz na nchi nyingine?