Mrs Bishanga
JF-Expert Member
- Jun 30, 2013
- 1,002
- 2,272
Mbona ametoa ghrama ndogo sana....huyo labda anaenda kutumia misoKuna dada nilidate nae miezi miine iliyopita, nililala nae maramoja tu na ilipasuka. Jana kaniambia ana mimba yangu na haitoi, nikakomaa aitoe. Akasema kuitoa ni gharama , nikamuuliza sh ngapi akasema tsh 80000. Nimetoka kutuma hata nusu saa haijafika, ni kweli hapa nimeshapigwa. Kudadaki sitaki tena hawa madem wakuokota