Mkojo wa Manji, Majibu ya Mkemia Mkuu na Matundu ya Taaluma ya Upelelezi

Travelogue_tz

JF-Expert Member
Sep 28, 2010
848
1,212
Na Dr. Christopher Cyrilo

Kuna mambo ambayo ili uyaelewe kiunaga ubaga inakubidi ufundishwe darasani na/au usome vitabu vya kitaaluma kuhusu mambo hayo. Na kwa hiyo, itakuhitaji nguvu kubwa kuyaelewa endapo mambo hayo yatawekwa kwenye muhtasari na kwa maneno machache. Nitajaribu.

Kuhusu kesi ya matumizi ya dawa za kulevya aina ya heroine na/au Cocaine inayomkabili diwani wa mbagala kupitia CCM, Mh. Yusuf Manji, na mwenenndo wa kesi hiyo inayosikilizwa katika mahakama ya hakimu mkazi kisutu, Dar es salaam, ni vema tukafahamu mambo yafuatayo.

1.EXPERT WITNESSING/KUTOA USHAHIDI AU MAONI YA KITAALUMA MAHAKAMANI
Maana ya Expert witness au shahidi wa kitaaluma kwa mujibu wa maelzo ya chuo kikuu cha TULSA (OKLAHOMA, US) ya mwaka 2007, ni mtu mwenye taaluma fulani anayetoa maalezo ya kitaaluma ya kusaidia maamuzi ya mahakama bila yeye kuwa shuhuda wa tukio la kihalifu. Mfano, Daktari mwenye taaluma ya Forensic medicine, anaweza kuieleza mahakama juu ya maiti iliyokutwa ndani ya maji (mtoni,ziwani au baharini), endapo mtu huyo alikufa ndani ya maji au aliuawa na kutupwa kwenye maji, sababu za kifo, namna ya kifo, nk. Lakini mtaalamu huyo hapaswi kutoa mapendekezo wala kuonesha hisia za upendeleo kwa upande wowote, wala hatakiwi kuchukua nafasi ya wakili na kuanza kumuhoji mtuhumiwa au hakimu. Kazi yake ni ya kitaaluma, kutoa maelezo na ufafanuzi na kujibu maswali ya wakili na ya hakimu kwa kitaalum. Pia kwa mujibu wa sheria 701-706 za marekani (federal rules) anaweza kutoa maoni yake juu ya ushahidi kama unatosha au la, na ikibidi aeleze mahakama namna bora zaidi ya kukusanya ushahidi.

Katika kesi ya Manji, Mkemia kutoka ofisi ya mkemia mkuu wa serikali, Bw. Dominican Dominic ametumika kama shahidi wa kitaaluma. Lengo ni kutoa ushahidi na maoni ya kitaaluma kuhusiana na ushahidi uliokusanywa na vyombo/chombo cha uchunguzi ambao katika kesi hii, ushahidi ni mkojo.

2.CHAIN OF CUSTODY/MTIRIRIKO WA KUKUSANYA, KUTUNZA HADI KUWASILISHA USHAHIDI MAHAKAMANI.
Ushahidi ili ukubalike mahakamani inabidi kukusanywa na kutunzwa katika mazingira sahihi, salama na ya kuaminiwa. Chain of Custody ni kama barabara ya kusafirisha ushahidi kutoka mahali ulipopatikana hadi unapowasilishwa mahakamani. Na hapo, ushahidi inabidi upitie mikono salama. Lazima kuwe na kumbukumbu za kimaandishi, kwa mujibu wa sheria kuhusu makabidhiano endapo vyombo/mikono iliyokusanya ushahidi siyo iliyouwasilisha mahakamani. Muda uliyotumika kukusanya hadi kuwasilisha ushahidi mahakamani pia ni kutilia maanani, na zaidi lazima kuwepo kwa hali ya kutokuwa na mashaka katika safari ya ushahidi kutoka ulipokusanywa hadi unapowasilishwa.

Lengo la haya yote ni kuondoa uwezekano wa udanganyifu, kwa mfano, mtuhumiwa wa dawa za kulevya anafikishwa mahakamani halafu dawa za kulevya zinafanyiwa uchunguzi na kubainika kuwa ni unga wa sembe!!! Mambo hayo hutokea tu pasipokuwa na ulinzi katika chain of custody.
Katika kesi hii ya Manji, utaona kuna uzembe mkubwa sana katika kukusanya ushahidi ambao ni mkojo wa manji.

Mkemia mkuu anadai hajui kama mkojo ule ni wa Manji au askari aliyeingia na Manji chooni. Kwa majibu hayo, tayari ushahidi unakosa uhalali mahakamani. Tayari ile chain of custody imekatika, tena kwenye kukusanya ushahidi, hata kabla ya kuusafirisha.

Kwa hiyo inawezekana pia Manji alichukuliwa mkojo lakini mkojo uliopimwa usiwe wa kwake. Ni lazima kuzingatia kulinda CHAIN OF CUSTODY ili kuondoa aibu kwa vyombo vya kiuchunguzi.

3.DECEPTIVE LEADING QUESTION AND FALLACY /MASWALI YA KULAGHAI
Kuna aina nyingi za maswali. Lakini katika taaluma ya kiuchunguzi, shughuri za mahakama na mambo mengine yanayohusu kuhoji watuhumiwa, mashahidi na washitaki, kuna aina kuu tano. Open (maswali yanayotoa uwanja wa kujieleza mwenyewe), Leading (maswali yanayomuongoza anayeulizwa namna ya kujibu), Facilitators (maswali yanayomsaidia mtu kupata jibu sahihi), Option-posing (maswali yanayotoa majibu ya kuchagua, lakini yasiwe maswali ya kitaaluma) na focus (maswali yanayolenga kutoa taarifa Zaidi kutoka na majibu ya mwanzo). Lakini katika kila aina ya swali, wakili au mtu anayefanya (forensic interview) anaweza kuingiza utundu kwa lengo ka kulaghai umma, wasikilizaji, anayeulizwa na kulaghai mfumo wote wa kisheria, kwa malengo anayojua yeye. Na hapo ndipo kunahitaji ’ujanja’ kama sio umakini wa hali ya juu.

Mfano wa open question. Bwana Mkemia, ieleze mahakama kuhusu majibu ya kipimo cha mkojo kama yalivyopatikana. Hapo hakuna neno Manji. Kwahiyo majibu yatakayotoka hapo ni ya vipimo vya mkojo, unawea kuwa wa Manji au wa Mbuzi au mtu/kiumbe kingine. Sasa wakili mwingine angeweza kuuliza hivi; Bwana Mkemia, ieleze Mahakama kuhusu majibu ya mkojo wa Manji kama ylivyopatikana. Hilo ni swali Open, lakini kuna ulaghai kwa sababu, ikiwa mkemia hajui mkojo ni wa nani, na asipokumbuka hilo kisha akatoa majibu ya mkojo, umma hautajali tena kuhusu umiliki wa mkojo huo, kwa sababu kwenye swali tayari umetajwa ni mkojo wa Manji.

Lakini ukikutana na wakili kama Ndusyepo ndio atauiza; Bw. Mkemia unaweza kuieleza mahakama endapo mkojo uliopima ni wa Manji au wa askari aliyeingia naye chooni? Hilo ni swali aiana ya Option-posing question. Lengo ni kuhakiki na kusawazisha majibu ya mwanzo.

Baada ya mkemia kutoa majibu, Kamba mkojo umekutwa na kemikali aina ya benzodiazepines na morphine anaweza kuulizwa; Bw. Mkemia, ieleze mahakama hiyo morphine ni kitu gani na maan yake inapokutwa kwenye mkojo. Hilo ni swali aina ya Focused question, lengo ni kutaka ufafanuzi Zaidi kutokana na majibu ya mwanzo).

Morphine ni zao la Heroine, dawa za kulevya. Morphine pia hutumika hospitalini kama dawa ya kutibu maumivu makali yaisovumilika na/au yanayoweza kutishia maisha. Morphine inalindwa, haitolewi ovyo kwa sababu na yenyewe inaweza kutumika kma dawa ya kulevya ikitumiwa na mtu asiye na maumivu makali. Lakini pia inaweza kutumiwa kwenye uhalifu (kiasi Fulani cha morphine kinapowekwa kwenye pombe, kufa ni jambo rahisi na majibu ya uchunguzi hayatabaini kwa haraka sababu ya kifo, itaonekana tu mtu huyo alizidisha pombe, alcohol overdose), unaweza kujua kuhusu Morpine Zaidi kwenye kitabu cha Yericko Nyerere cha Ujasusi wa kidola na kiuchumi toleo la pili.

Leading questions; ni maswali yanayoongoza namna ya kutoa majibu, au yanayokupa jibu kabisa.kwa mfano, wakili anamuuliza Mkemia endapo anafahamu kama hizo kemikali zilizokutwa kwenye mkojo huwa zinatolewa kama dawa hospitalini. Lengo ni kutaka kuharibu ile mentality kwamba kukutwa na kemikali hizo kwenye mkojo ni kielelezo cha matumizi ya dawa za kulevya. Lakini vipi kama mawakili wa wangetaka vielelezo juu ya wapi au hospitali gani iliyompatia Manji dawa hizo. Ikumbukwe kuwa dawa ya morphines hutolewa katika hospitali za rufaa pekee, kwa hiyo ni rahisi kupaa taarifa.

4. MATUNDU KATIKA TAALUMA YA UPELELEZI/SYSTEM VARIABLES
System variables, ni mapungufu ya kimfumo ynayoweza kuathiri namna ya kukusanya, kupatikana na kuwasilisha ushahidi mahakamani.
Wakili Hudson Ndusyepo ni mjanja sana. Anamuuliza mkemia waserikli endapo anaweza kusema kuwa mkojo huo ni wa Manji au wa Askari aliyeingia na Manji chooni? Inahitaji akili za kipekee na uwezo mpana wa kufikiria vinginevyo (broad spectrum of susceptibility) hadi kuuliza swali kama hilo, au labda kuna mchezo tayari ulishachezwa ili kumnusuru manji. Na hapo, ofisi ya mkemia mkuu pamoja na vyombo vya kiuchunguzi ni vya kutilia mashaka. Ofisi ya mkemia mkuu inatakiwa kutoa maelezo juu ya mkojo uliopimwa ulikuwa ni wa nani? Na kama kuna utaratibu wa kupima mkojo bila kujua ‘identity’ ya mkojo huo pia iseme, na maana, malengo na faida ya kufanya hivyo.
Vyombo vya kiuchunguzi/ Polisi nayo iseme inakuaje wanashindwa mahala padogo namna hii. Ndio hayo matundu ya taaluma ya upelelezi au kuna njama za kuaibisha mifumo ya kiuchunguzi kwa kushirikiana na watuhumiwa? Kwanini kusiwepo mapema mazingira ya kuhakikisha kuwa ushahidi unaowasilishwa mahakamani ni halisi? Hili ndio jambo la kwanza kabisa, kwa sababu hakuna haja ya kwenda mahakamani kama ushahidi wako una walakini. Tunakwenda mahakamani na kuwasilisha ushahidi kamili unaoonekana wazi (physical evidence), na ndio lengo la uchunguzi, kupata “physical evidence”. Likini ukienda mahakamani kizembe ndipo unakutana na wakili Ndusyepo halafu unapigwa za uso kilaini, jasho linakutoka unabaki kujisifu umevaa bendera ya taifa kiunoni. Tupu kabisa

5. THEORY BEFORE DATA? NO.
Sherlock Holmes anasema, “It is a capital mistake to theorise before one has data”. Ni kosa kubwa kutengeneza maelezo kabla ya kuwa na taarifa. Ndio makossa wanayofanya polisi na serikali na kupelekea kushindwa mahakamani kila uchao. Vyombo vya dola, vinaanza kutengeneza maelezo halafu ndio wanakusanya taarifa za kusapport maelezo yao, badala ya kutafuta taarifa halafu ndio kuweka maelezo yanayofanana na taarifa zao. Suala matumizi ya dawa za kulevya sio suala la Manji na Gwajma pekee. Hawa wamepimwa mkojo baada ya kutuhumiwa. Yaani unamtuhumu mtu halafu ndio unatafuta ushahid! Haipaswi kuwa hivyo. Kwanza unatafutwa ushahidi kisha unatuhumiwa. Mwanasoka bora wa dunia, na mfungaji bora wa ligi ya mabingwa ulaya, mchezaji pekee mwenye historia ya kufunga timu zote za ligi katika msimu mmoja, mwenye rekodi ya kufunga goli katika kila dakaika ya nchezo, Christiano Ronaldo, alipimwa mkojo ili kujua endapo alitumia dawa za kuongeza nguvu wakati wa mechi ya robo fainali dhidi ya Bayern Munche, kwenye uwanja wa Satiago Bernabeu, Madrid, Spain. Ronaldo alipimwa baada ya kuoenekana mwenye nguvu Zaidi wakati wa muda za nyongeza, akifunga goli kwa shuti kali sana. Hata hivyo, Ronaldo hakutuhumiwa, bali alipimwa kwanza na hakukutwa na viashiria vya kutumia dawa za kulevya. Ingekuwa Tanzania, kwa sababu ya nguvu zile, polisi wangemkamata, kumtangaza kwanza kama muhalifu halafu ndio kumpima mkojo. Kwanza kunaharibu taswira ya mtu, lakini pia endapo mtu huyo ni muhalifu kweli, anapata muda wa kujipanga. Au tuseme watu wake wanapata muda wa kumnasua mwenzao.

5. MWISHO/ UONGO UNAOWEZA KUWA KWELI.
Manji ni mwana CCM. Kuna hisia kwamba Manji anaonewa ingawa hiyo haiondoi tuhuma za uhujumu uchumi zinazomkabili. Na tuelewe kuwa, endapo tuhuma hizo ni za kweli basi zinaweza kuwa na mahusiano mazuri na CCM. Kwamba katika uhujumu uchumi wake, yeye kama anavyotajwa kuwa mmoja ya wafadhili wa chama basi CCM imewahi kunufaika naye. Unawea kumuonea huruma Manji kwa sababu unamchukia Magufuli, hiyo ni sababu ya kijinga. Labda kama unamuonea huruma kwa vile anavyoshughurikiwa kinyume na sharia.
Uhusiano wa Manji na CCM upo imara. Na CCM sio Magufuli, kwa hiyo kama Manji ana ‘bifu’ na Magufuli haina maana kuwa ana bifu na CCM. Na kwa hiyo CCM wanaweza kuwa bega kwa bega katika kumnasua na sakata hili, na pengine hiyo ndiyo sababu yeye kumkataa wakili Kibatala ambaye ni wa CHADEMA, ili apate msaada kutoka kwa wanaCCM wenzake. Na makossa ya wazi kama sio ya makusudi ya vyombo vya kiuchunguzi na ofisi ya mkemia mkuu yanazweza kuwa viashiria vya kumtengenezea Manji ushindi. Do you think like a Sherlock Holmes?
Unaweza kum-define Manji kwa namna yeyote katika kesi hii. Mimi, naweza kum-define kama “MwanaCCM aliyepambana na upinzani muda wote alipokuwa mwanaCCM na kushirikiana na CCM katika mema kwa nchi na mabaya kwa nchi, na ataendelea kuwa hivyo, na kwa hiyo yupo katika nafasi nzuri ya kusaidiwa na wanaCCM wenzake ndani na nje ya vyombo vya usalama, hasa kwa sababu ya utajiri alio nao”

Connectez-vous ou inscrivez-vous pour voir le contenu bid=979892145487372&id=100003997888638

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Na Dr. Christopher Cyrilo

Kuna mambo ambayo ili uyaelewe kiunaga ubaga inakubidi ufundishwe darasani na/au usome vitabu vya kitaaluma kuhusu mambo hayo. Na kwa hiyo, itakuhitaji nguvu kubwa kuyaelewa endapo mambo hayo yatawekwa kwenye muhtasari na kwa maneno machache. Nitajaribu.

Kuhusu kesi ya matumizi ya dawa za kulevya aina ya heroine na/au Cocaine inayomkabili diwani wa mbagala kupitia CCM, Mh. Yusuf Manji, na mwenenndo wa kesi hiyo inayosikilizwa katika mahakama ya hakimu mkazi kisutu, Dar es salaam, ni vema tukafahamu mambo yafuatayo.

1.EXPERT WITNESSING/KUTOA USHAHIDI AU MAONI YA KITAALUMA MAHAKAMANI
Maana ya Expert witness au shahidi wa kitaaluma kwa mujibu wa maelzo ya chuo kikuu cha TULSA (OKLAHOMA, US) ya mwaka 2007, ni mtu mwenye taaluma fulani anayetoa maalezo ya kitaaluma ya kusaidia maamuzi ya mahakama bila yeye kuwa shuhuda wa tukio la kihalifu. Mfano, Daktari mwenye taaluma ya Forensic medicine, anaweza kuieleza mahakama juu ya maiti iliyokutwa ndani ya maji (mtoni,ziwani au baharini), endapo mtu huyo alikufa ndani ya maji au aliuawa na kutupwa kwenye maji, sababu za kifo, namna ya kifo, nk. Lakini mtaalamu huyo hapaswi kutoa mapendekezo wala kuonesha hisia za upendeleo kwa upande wowote, wala hatakiwi kuchukua nafasi ya wakili na kuanza kumuhoji mtuhumiwa au hakimu. Kazi yake ni ya kitaaluma, kutoa maelezo na ufafanuzi na kujibu maswali ya wakili na ya hakimu kwa kitaalum. Pia kwa mujibu wa sheria 701-706 za marekani (federal rules) anaweza kutoa maoni yake juu ya ushahidi kama unatosha au la, na ikibidi aeleze mahakama namna bora zaidi ya kukusanya ushahidi.

Katika kesi ya Manji, Mkemia kutoka ofisi ya mkemia mkuu wa serikali, Bw. Dominican Dominic ametumika kama shahidi wa kitaaluma. Lengo ni kutoa ushahidi na maoni ya kitaaluma kuhusiana na ushahidi uliokusanywa na vyombo/chombo cha uchunguzi ambao katika kesi hii, ushahidi ni mkojo.

2.CHAIN OF CUSTODY/MTIRIRIKO WA KUKUSANYA, KUTUNZA HADI KUWASILISHA USHAHIDI MAHAKAMANI.
Ushahidi ili ukubalike mahakamani inabidi kukusanywa na kutunzwa katika mazingira sahihi, salama na ya kuaminiwa. Chain of Custody ni kama barabara ya kusafirisha ushahidi kutoka mahali ulipopatikana hadi unapowasilishwa mahakamani. Na hapo, ushahidi inabidi upitie mikono salama. Lazima kuwe na kumbukumbu za kimaandishi, kwa mujibu wa sheria kuhusu makabidhiano endapo vyombo/mikono iliyokusanya ushahidi siyo iliyouwasilisha mahakamani. Muda uliyotumika kukusanya hadi kuwasilisha ushahidi mahakamani pia ni kutilia maanani, na zaidi lazima kuwepo kwa hali ya kutokuwa na mashaka katika safari ya ushahidi kutoka ulipokusanywa hadi unapowasilishwa.

Lengo la haya yote ni kuondoa uwezekano wa udanganyifu, kwa mfano, mtuhumiwa wa dawa za kulevya anafikishwa mahakamani halafu dawa za kulevya zinafanyiwa uchunguzi na kubainika kuwa ni unga wa sembe!!! Mambo hayo hutokea tu pasipokuwa na ulinzi katika chain of custody.
Katika kesi hii ya Manji, utaona kuna uzembe mkubwa sana katika kukusanya ushahidi ambao ni mkojo wa manji.

Mkemia mkuu anadai hajui kama mkojo ule ni wa Manji au askari aliyeingia na Manji chooni. Kwa majibu hayo, tayari ushahidi unakosa uhalali mahakamani. Tayari ile chain of custody imekatika, tena kwenye kukusanya ushahidi, hata kabla ya kuusafirisha.

Kwa hiyo inawezekana pia Manji alichukuliwa mkojo lakini mkojo uliopimwa usiwe wa kwake. Ni lazima kuzingatia kulinda CHAIN OF CUSTODY ili kuondoa aibu kwa vyombo vya kiuchunguzi.

3.DECEPTIVE LEADING QUESTION AND FALLACY /MASWALI YA KULAGHAI
Kuna aina nyingi za maswali. Lakini katika taaluma ya kiuchunguzi, shughuri za mahakama na mambo mengine yanayohusu kuhoji watuhumiwa, mashahidi na washitaki, kuna aina kuu tano. Open (maswali yanayotoa uwanja wa kujieleza mwenyewe), Leading (maswali yanayomuongoza anayeulizwa namna ya kujibu), Facilitators (maswali yanayomsaidia mtu kupata jibu sahihi), Option-posing (maswali yanayotoa majibu ya kuchagua, lakini yasiwe maswali ya kitaaluma) na focus (maswali yanayolenga kutoa taarifa Zaidi kutoka na majibu ya mwanzo). Lakini katika kila aina ya swali, wakili au mtu anayefanya (forensic interview) anaweza kuingiza utundu kwa lengo ka kulaghai umma, wasikilizaji, anayeulizwa na kulaghai mfumo wote wa kisheria, kwa malengo anayojua yeye. Na hapo ndipo kunahitaji ’ujanja’ kama sio umakini wa hali ya juu.

Mfano wa open question. Bwana Mkemia, ieleze mahakama kuhusu majibu ya kipimo cha mkojo kama yalivyopatikana. Hapo hakuna neno Manji. Kwahiyo majibu yatakayotoka hapo ni ya vipimo vya mkojo, unawea kuwa wa Manji au wa Mbuzi au mtu/kiumbe kingine. Sasa wakili mwingine angeweza kuuliza hivi; Bwana Mkemia, ieleze Mahakama kuhusu majibu ya mkojo wa Manji kama ylivyopatikana. Hilo ni swali Open, lakini kuna ulaghai kwa sababu, ikiwa mkemia hajui mkojo ni wa nani, na asipokumbuka hilo kisha akatoa majibu ya mkojo, umma hautajali tena kuhusu umiliki wa mkojo huo, kwa sababu kwenye swali tayari umetajwa ni mkojo wa Manji.

Lakini ukikutana na wakili kama Ndusyepo ndio atauiza; Bw. Mkemia unaweza kuieleza mahakama endapo mkojo uliopima ni wa Manji au wa askari aliyeingia naye chooni? Hilo ni swali aiana ya Option-posing question. Lengo ni kuhakiki na kusawazisha majibu ya mwanzo.

Baada ya mkemia kutoa majibu, Kamba mkojo umekutwa na kemikali aina ya benzodiazepines na morphine anaweza kuulizwa; Bw. Mkemia, ieleze mahakama hiyo morphine ni kitu gani na maan yake inapokutwa kwenye mkojo. Hilo ni swali aina ya Focused question, lengo ni kutaka ufafanuzi Zaidi kutokana na majibu ya mwanzo).

Morphine ni zao la Heroine, dawa za kulevya. Morphine pia hutumika hospitalini kama dawa ya kutibu maumivu makali yaisovumilika na/au yanayoweza kutishia maisha. Morphine inalindwa, haitolewi ovyo kwa sababu na yenyewe inaweza kutumika kma dawa ya kulevya ikitumiwa na mtu asiye na maumivu makali. Lakini pia inaweza kutumiwa kwenye uhalifu (kiasi Fulani cha morphine kinapowekwa kwenye pombe, kufa ni jambo rahisi na majibu ya uchunguzi hayatabaini kwa haraka sababu ya kifo, itaonekana tu mtu huyo alizidisha pombe, alcohol overdose), unaweza kujua kuhusu Morpine Zaidi kwenye kitabu cha Yericko Nyerere cha Ujasusi wa kidola na kiuchumi toleo la pili.

Leading questions; ni maswali yanayoongoza namna ya kutoa majibu, au yanayokupa jibu kabisa.kwa mfano, wakili anamuuliza Mkemia endapo anafahamu kama hizo kemikali zilizokutwa kwenye mkojo huwa zinatolewa kama dawa hospitalini. Lengo ni kutaka kuharibu ile mentality kwamba kukutwa na kemikali hizo kwenye mkojo ni kielelezo cha matumizi ya dawa za kulevya. Lakini vipi kama mawakili wa wangetaka vielelezo juu ya wapi au hospitali gani iliyompatia Manji dawa hizo. Ikumbukwe kuwa dawa ya morphines hutolewa katika hospitali za rufaa pekee, kwa hiyo ni rahisi kupaa taarifa.

4. MATUNDU KATIKA TAALUMA YA UPELELEZI/SYSTEM VARIABLES
System variables, ni mapungufu ya kimfumo ynayoweza kuathiri namna ya kukusanya, kupatikana na kuwasilisha ushahidi mahakamani.
Wakili Hudson Ndusyepo ni mjanja sana. Anamuuliza mkemia waserikli endapo anaweza kusema kuwa mkojo huo ni wa Manji au wa Askari aliyeingia na Manji chooni? Inahitaji akili za kipekee na uwezo mpana wa kufikiria vinginevyo (broad spectrum of susceptibility) hadi kuuliza swali kama hilo, au labda kuna mchezo tayari ulishachezwa ili kumnusuru manji. Na hapo, ofisi ya mkemia mkuu pamoja na vyombo vya kiuchunguzi ni vya kutilia mashaka. Ofisi ya mkemia mkuu inatakiwa kutoa maelezo juu ya mkojo uliopimwa ulikuwa ni wa nani? Na kama kuna utaratibu wa kupima mkojo bila kujua ‘identity’ ya mkojo huo pia iseme, na maana, malengo na faida ya kufanya hivyo.
Vyombo vya kiuchunguzi/ Polisi nayo iseme inakuaje wanashindwa mahala padogo namna hii. Ndio hayo matundu ya taaluma ya upelelezi au kuna njama za kuaibisha mifumo ya kiuchunguzi kwa kushirikiana na watuhumiwa? Kwanini kusiwepo mapema mazingira ya kuhakikisha kuwa ushahidi unaowasilishwa mahakamani ni halisi? Hili ndio jambo la kwanza kabisa, kwa sababu hakuna haja ya kwenda mahakamani kama ushahidi wako una walakini. Tunakwenda mahakamani na kuwasilisha ushahidi kamili unaoonekana wazi (physical evidence), na ndio lengo la uchunguzi, kupata “physical evidence”. Likini ukienda mahakamani kizembe ndipo unakutana na wakili Ndusyepo halafu unapigwa za uso kilaini, jasho linakutoka unabaki kujisifu umevaa bendera ya taifa kiunoni. Tupu kabisa

5. THEORY BEFORE DATA? NO.
Sherlock Holmes anasema, “It is a capital mistake to theorise before one has data”. Ni kosa kubwa kutengeneza maelezo kabla ya kuwa na taarifa. Ndio makossa wanayofanya polisi na serikali na kupelekea kushindwa mahakamani kila uchao. Vyombo vya dola, vinaanza kutengeneza maelezo halafu ndio wanakusanya taarifa za kusapport maelezo yao, badala ya kutafuta taarifa halafu ndio kuweka maelezo yanayofanana na taarifa zao. Suala matumizi ya dawa za kulevya sio suala la Manji na Gwajma pekee. Hawa wamepimwa mkojo baada ya kutuhumiwa. Yaani unamtuhumu mtu halafu ndio unatafuta ushahid! Haipaswi kuwa hivyo. Kwanza unatafutwa ushahidi kisha unatuhumiwa. Mwanasoka bora wa dunia, na mfungaji bora wa ligi ya mabingwa ulaya, mchezaji pekee mwenye historia ya kufunga timu zote za ligi katika msimu mmoja, mwenye rekodi ya kufunga goli katika kila dakaika ya nchezo, Christiano Ronaldo, alipimwa mkojo ili kujua endapo alitumia dawa za kuongeza nguvu wakati wa mechi ya robo fainali dhidi ya Bayern Munche, kwenye uwanja wa Satiago Bernabeu, Madrid, Spain. Ronaldo alipimwa baada ya kuoenekana mwenye nguvu Zaidi wakati wa muda za nyongeza, akifunga goli kwa shuti kali sana. Hata hivyo, Ronaldo hakutuhumiwa, bali alipimwa kwanza na hakukutwa na viashiria vya kutumia dawa za kulevya. Ingekuwa Tanzania, kwa sababu ya nguvu zile, polisi wangemkamata, kumtangaza kwanza kama muhalifu halafu ndio kumpima mkojo. Kwanza kunaharibu taswira ya mtu, lakini pia endapo mtu huyo ni muhalifu kweli, anapata muda wa kujipanga. Au tuseme watu wake wanapata muda wa kumnasua mwenzao.

5. MWISHO/ UONGO UNAOWEZA KUWA KWELI.
Manji ni mwana CCM. Kuna hisia kwamba Manji anaonewa ingawa hiyo haiondoi tuhuma za uhujumu uchumi zinazomkabili. Na tuelewe kuwa, endapo tuhuma hizo ni za kweli basi zinaweza kuwa na mahusiano mazuri na CCM. Kwamba katika uhujumu uchumi wake, yeye kama anavyotajwa kuwa mmoja ya wafadhili wa chama basi CCM imewahi kunufaika naye. Unawea kumuonea huruma Manji kwa sababu unamchukia Magufuli, hiyo ni sababu ya kijinga. Labda kama unamuonea huruma kwa vile anavyoshughurikiwa kinyume na sharia.
Uhusiano wa Manji na CCM upo imara. Na CCM sio Magufuli, kwa hiyo kama Manji ana ‘bifu’ na Magufuli haina maana kuwa ana bifu na CCM. Na kwa hiyo CCM wanaweza kuwa bega kwa bega katika kumnasua na sakata hili, na pengine hiyo ndiyo sababu yeye kumkataa wakili Kibatala ambaye ni wa CHADEMA, ili apate msaada kutoka kwa wanaCCM wenzake. Na makossa ya wazi kama sio ya makusudi ya vyombo vya kiuchunguzi na ofisi ya mkemia mkuu yanazweza kuwa viashiria vya kumtengenezea Manji ushindi. Do you think like a Sherlock Holmes?
Unaweza kum-define Manji kwa namna yeyote katika kesi hii. Mimi, naweza kum-define kama “MwanaCCM aliyepambana na upinzani muda wote alipokuwa mwanaCCM na kushirikiana na CCM katika mema kwa nchi na mabaya kwa nchi, na ataendelea kuwa hivyo, na kwa hiyo yupo katika nafasi nzuri ya kusaidiwa na wanaCCM wenzake ndani na nje ya vyombo vya usalama, hasa kwa sababu ya utajiri alio nao”

Connectez-vous ou inscrivez-vous pour voir le contenu bid=979892145487372&id=100003997888638

Sent using Jamii Forums mobile app
Hapo kwenye maswali ya kulaghai, na mfumo kujaa watu wenye imani na walimu wao kuwa ni manguli, au lazima hukumu iwape usikivu zaidi wale wanaitwa wabobezi wenye kutakwa kwa kutisha kutoka mihimili ya serikali.Kumewapa sana ushindi wale mapof wa makinikia. Nashukuru kwa haya,ingawa watu wa makinikia wakisoma ulichoandika na reference ulizoleta bado watatoka kapa.Hata ukiandika kiswahili tupu au kiingereza tupu bado watatoka kapa.Kwa vile wajamaa na logic ni kosa kubwa sana.Logic huwa wanasoma ili kuonyesha mabepari kuwa wanaijua elimu yao.
 
Ni
Na Dr. Christopher Cyrilo

Kuna mambo ambayo ili uyaelewe kiunaga ubaga inakubidi ufundishwe darasani na/au usome vitabu vya kitaaluma kuhusu mambo hayo. Na kwa hiyo, itakuhitaji nguvu kubwa kuyaelewa endapo mambo hayo yatawekwa kwenye muhtasari na kwa maneno machache. Nitajaribu.

Kuhusu kesi ya matumizi ya dawa za kulevya aina ya heroine na/au Cocaine inayomkabili diwani wa mbagala kupitia CCM, Mh. Yusuf Manji, na mwenenndo wa kesi hiyo inayosikilizwa katika mahakama ya hakimu mkazi kisutu, Dar es salaam, ni vema tukafahamu mambo yafuatayo.

1.EXPERT WITNESSING/KUTOA USHAHIDI AU MAONI YA KITAALUMA MAHAKAMANI
Maana ya Expert witness au shahidi wa kitaaluma kwa mujibu wa maelzo ya chuo kikuu cha TULSA (OKLAHOMA, US) ya mwaka 2007, ni mtu mwenye taaluma fulani anayetoa maalezo ya kitaaluma ya kusaidia maamuzi ya mahakama bila yeye kuwa shuhuda wa tukio la kihalifu. Mfano, Daktari mwenye taaluma ya Forensic medicine, anaweza kuieleza mahakama juu ya maiti iliyokutwa ndani ya maji (mtoni,ziwani au baharini), endapo mtu huyo alikufa ndani ya maji au aliuawa na kutupwa kwenye maji, sababu za kifo, namna ya kifo, nk. Lakini mtaalamu huyo hapaswi kutoa mapendekezo wala kuonesha hisia za upendeleo kwa upande wowote, wala hatakiwi kuchukua nafasi ya wakili na kuanza kumuhoji mtuhumiwa au hakimu. Kazi yake ni ya kitaaluma, kutoa maelezo na ufafanuzi na kujibu maswali ya wakili na ya hakimu kwa kitaalum. Pia kwa mujibu wa sheria 701-706 za marekani (federal rules) anaweza kutoa maoni yake juu ya ushahidi kama unatosha au la, na ikibidi aeleze mahakama namna bora zaidi ya kukusanya ushahidi.

Katika kesi ya Manji, Mkemia kutoka ofisi ya mkemia mkuu wa serikali, Bw. Dominican Dominic ametumika kama shahidi wa kitaaluma. Lengo ni kutoa ushahidi na maoni ya kitaaluma kuhusiana na ushahidi uliokusanywa na vyombo/chombo cha uchunguzi ambao katika kesi hii, ushahidi ni mkojo.

2.CHAIN OF CUSTODY/MTIRIRIKO WA KUKUSANYA, KUTUNZA HADI KUWASILISHA USHAHIDI MAHAKAMANI.
Ushahidi ili ukubalike mahakamani inabidi kukusanywa na kutunzwa katika mazingira sahihi, salama na ya kuaminiwa. Chain of Custody ni kama barabara ya kusafirisha ushahidi kutoka mahali ulipopatikana hadi unapowasilishwa mahakamani. Na hapo, ushahidi inabidi upitie mikono salama. Lazima kuwe na kumbukumbu za kimaandishi, kwa mujibu wa sheria kuhusu makabidhiano endapo vyombo/mikono iliyokusanya ushahidi siyo iliyouwasilisha mahakamani. Muda uliyotumika kukusanya hadi kuwasilisha ushahidi mahakamani pia ni kutilia maanani, na zaidi lazima kuwepo kwa hali ya kutokuwa na mashaka katika safari ya ushahidi kutoka ulipokusanywa hadi unapowasilishwa.

Lengo la haya yote ni kuondoa uwezekano wa udanganyifu, kwa mfano, mtuhumiwa wa dawa za kulevya anafikishwa mahakamani halafu dawa za kulevya zinafanyiwa uchunguzi na kubainika kuwa ni unga wa sembe!!! Mambo hayo hutokea tu pasipokuwa na ulinzi katika chain of custody.
Katika kesi hii ya Manji, utaona kuna uzembe mkubwa sana katika kukusanya ushahidi ambao ni mkojo wa manji.

Mkemia mkuu anadai hajui kama mkojo ule ni wa Manji au askari aliyeingia na Manji chooni. Kwa majibu hayo, tayari ushahidi unakosa uhalali mahakamani. Tayari ile chain of custody imekatika, tena kwenye kukusanya ushahidi, hata kabla ya kuusafirisha.

Kwa hiyo inawezekana pia Manji alichukuliwa mkojo lakini mkojo uliopimwa usiwe wa kwake. Ni lazima kuzingatia kulinda CHAIN OF CUSTODY ili kuondoa aibu kwa vyombo vya kiuchunguzi.

3.DECEPTIVE LEADING QUESTION AND FALLACY /MASWALI YA KULAGHAI
Kuna aina nyingi za maswali. Lakini katika taaluma ya kiuchunguzi, shughuri za mahakama na mambo mengine yanayohusu kuhoji watuhumiwa, mashahidi na washitaki, kuna aina kuu tano. Open (maswali yanayotoa uwanja wa kujieleza mwenyewe), Leading (maswali yanayomuongoza anayeulizwa namna ya kujibu), Facilitators (maswali yanayomsaidia mtu kupata jibu sahihi), Option-posing (maswali yanayotoa majibu ya kuchagua, lakini yasiwe maswali ya kitaaluma) na focus (maswali yanayolenga kutoa taarifa Zaidi kutoka na majibu ya mwanzo). Lakini katika kila aina ya swali, wakili au mtu anayefanya (forensic interview) anaweza kuingiza utundu kwa lengo ka kulaghai umma, wasikilizaji, anayeulizwa na kulaghai mfumo wote wa kisheria, kwa malengo anayojua yeye. Na hapo ndipo kunahitaji ’ujanja’ kama sio umakini wa hali ya juu.

Mfano wa open question. Bwana Mkemia, ieleze mahakama kuhusu majibu ya kipimo cha mkojo kama yalivyopatikana. Hapo hakuna neno Manji. Kwahiyo majibu yatakayotoka hapo ni ya vipimo vya mkojo, unawea kuwa wa Manji au wa Mbuzi au mtu/kiumbe kingine. Sasa wakili mwingine angeweza kuuliza hivi; Bwana Mkemia, ieleze Mahakama kuhusu majibu ya mkojo wa Manji kama ylivyopatikana. Hilo ni swali Open, lakini kuna ulaghai kwa sababu, ikiwa mkemia hajui mkojo ni wa nani, na asipokumbuka hilo kisha akatoa majibu ya mkojo, umma hautajali tena kuhusu umiliki wa mkojo huo, kwa sababu kwenye swali tayari umetajwa ni mkojo wa Manji.

Lakini ukikutana na wakili kama Ndusyepo ndio atauiza; Bw. Mkemia unaweza kuieleza mahakama endapo mkojo uliopima ni wa Manji au wa askari aliyeingia naye chooni? Hilo ni swali aiana ya Option-posing question. Lengo ni kuhakiki na kusawazisha majibu ya mwanzo.

Baada ya mkemia kutoa majibu, Kamba mkojo umekutwa na kemikali aina ya benzodiazepines na morphine anaweza kuulizwa; Bw. Mkemia, ieleze mahakama hiyo morphine ni kitu gani na maan yake inapokutwa kwenye mkojo. Hilo ni swali aina ya Focused question, lengo ni kutaka ufafanuzi Zaidi kutokana na majibu ya mwanzo).

Morphine ni zao la Heroine, dawa za kulevya. Morphine pia hutumika hospitalini kama dawa ya kutibu maumivu makali yaisovumilika na/au yanayoweza kutishia maisha. Morphine inalindwa, haitolewi ovyo kwa sababu na yenyewe inaweza kutumika kma dawa ya kulevya ikitumiwa na mtu asiye na maumivu makali. Lakini pia inaweza kutumiwa kwenye uhalifu (kiasi Fulani cha morphine kinapowekwa kwenye pombe, kufa ni jambo rahisi na majibu ya uchunguzi hayatabaini kwa haraka sababu ya kifo, itaonekana tu mtu huyo alizidisha pombe, alcohol overdose), unaweza kujua kuhusu Morpine Zaidi kwenye kitabu cha Yericko Nyerere cha Ujasusi wa kidola na kiuchumi toleo la pili.

Leading questions; ni maswali yanayoongoza namna ya kutoa majibu, au yanayokupa jibu kabisa.kwa mfano, wakili anamuuliza Mkemia endapo anafahamu kama hizo kemikali zilizokutwa kwenye mkojo huwa zinatolewa kama dawa hospitalini. Lengo ni kutaka kuharibu ile mentality kwamba kukutwa na kemikali hizo kwenye mkojo ni kielelezo cha matumizi ya dawa za kulevya. Lakini vipi kama mawakili wa wangetaka vielelezo juu ya wapi au hospitali gani iliyompatia Manji dawa hizo. Ikumbukwe kuwa dawa ya morphines hutolewa katika hospitali za rufaa pekee, kwa hiyo ni rahisi kupaa taarifa.

4. MATUNDU KATIKA TAALUMA YA UPELELEZI/SYSTEM VARIABLES
System variables, ni mapungufu ya kimfumo ynayoweza kuathiri namna ya kukusanya, kupatikana na kuwasilisha ushahidi mahakamani.
Wakili Hudson Ndusyepo ni mjanja sana. Anamuuliza mkemia waserikli endapo anaweza kusema kuwa mkojo huo ni wa Manji au wa Askari aliyeingia na Manji chooni? Inahitaji akili za kipekee na uwezo mpana wa kufikiria vinginevyo (broad spectrum of susceptibility) hadi kuuliza swali kama hilo, au labda kuna mchezo tayari ulishachezwa ili kumnusuru manji. Na hapo, ofisi ya mkemia mkuu pamoja na vyombo vya kiuchunguzi ni vya kutilia mashaka. Ofisi ya mkemia mkuu inatakiwa kutoa maelezo juu ya mkojo uliopimwa ulikuwa ni wa nani? Na kama kuna utaratibu wa kupima mkojo bila kujua ‘identity’ ya mkojo huo pia iseme, na maana, malengo na faida ya kufanya hivyo.
Vyombo vya kiuchunguzi/ Polisi nayo iseme inakuaje wanashindwa mahala padogo namna hii. Ndio hayo matundu ya taaluma ya upelelezi au kuna njama za kuaibisha mifumo ya kiuchunguzi kwa kushirikiana na watuhumiwa? Kwanini kusiwepo mapema mazingira ya kuhakikisha kuwa ushahidi unaowasilishwa mahakamani ni halisi? Hili ndio jambo la kwanza kabisa, kwa sababu hakuna haja ya kwenda mahakamani kama ushahidi wako una walakini. Tunakwenda mahakamani na kuwasilisha ushahidi kamili unaoonekana wazi (physical evidence), na ndio lengo la uchunguzi, kupata “physical evidence”. Likini ukienda mahakamani kizembe ndipo unakutana na wakili Ndusyepo halafu unapigwa za uso kilaini, jasho linakutoka unabaki kujisifu umevaa bendera ya taifa kiunoni. Tupu kabisa

5. THEORY BEFORE DATA? NO.
Sherlock Holmes anasema, “It is a capital mistake to theorise before one has data”. Ni kosa kubwa kutengeneza maelezo kabla ya kuwa na taarifa. Ndio makossa wanayofanya polisi na serikali na kupelekea kushindwa mahakamani kila uchao. Vyombo vya dola, vinaanza kutengeneza maelezo halafu ndio wanakusanya taarifa za kusapport maelezo yao, badala ya kutafuta taarifa halafu ndio kuweka maelezo yanayofanana na taarifa zao. Suala matumizi ya dawa za kulevya sio suala la Manji na Gwajma pekee. Hawa wamepimwa mkojo baada ya kutuhumiwa. Yaani unamtuhumu mtu halafu ndio unatafuta ushahid! Haipaswi kuwa hivyo. Kwanza unatafutwa ushahidi kisha unatuhumiwa. Mwanasoka bora wa dunia, na mfungaji bora wa ligi ya mabingwa ulaya, mchezaji pekee mwenye historia ya kufunga timu zote za ligi katika msimu mmoja, mwenye rekodi ya kufunga goli katika kila dakaika ya nchezo, Christiano Ronaldo, alipimwa mkojo ili kujua endapo alitumia dawa za kuongeza nguvu wakati wa mechi ya robo fainali dhidi ya Bayern Munche, kwenye uwanja wa Satiago Bernabeu, Madrid, Spain. Ronaldo alipimwa baada ya kuoenekana mwenye nguvu Zaidi wakati wa muda za nyongeza, akifunga goli kwa shuti kali sana. Hata hivyo, Ronaldo hakutuhumiwa, bali alipimwa kwanza na hakukutwa na viashiria vya kutumia dawa za kulevya. Ingekuwa Tanzania, kwa sababu ya nguvu zile, polisi wangemkamata, kumtangaza kwanza kama muhalifu halafu ndio kumpima mkojo. Kwanza kunaharibu taswira ya mtu, lakini pia endapo mtu huyo ni muhalifu kweli, anapata muda wa kujipanga. Au tuseme watu wake wanapata muda wa kumnasua mwenzao.

5. MWISHO/ UONGO UNAOWEZA KUWA KWELI.
Manji ni mwana CCM. Kuna hisia kwamba Manji anaonewa ingawa hiyo haiondoi tuhuma za uhujumu uchumi zinazomkabili. Na tuelewe kuwa, endapo tuhuma hizo ni za kweli basi zinaweza kuwa na mahusiano mazuri na CCM. Kwamba katika uhujumu uchumi wake, yeye kama anavyotajwa kuwa mmoja ya wafadhili wa chama basi CCM imewahi kunufaika naye. Unawea kumuonea huruma Manji kwa sababu unamchukia Magufuli, hiyo ni sababu ya kijinga. Labda kama unamuonea huruma kwa vile anavyoshughurikiwa kinyume na sharia.
Uhusiano wa Manji na CCM upo imara. Na CCM sio Magufuli, kwa hiyo kama Manji ana ‘bifu’ na Magufuli haina maana kuwa ana bifu na CCM. Na kwa hiyo CCM wanaweza kuwa bega kwa bega katika kumnasua na sakata hili, na pengine hiyo ndiyo sababu yeye kumkataa wakili Kibatala ambaye ni wa CHADEMA, ili apate msaada kutoka kwa wanaCCM wenzake. Na makossa ya wazi kama sio ya makusudi ya vyombo vya kiuchunguzi na ofisi ya mkemia mkuu yanazweza kuwa viashiria vya kumtengenezea Manji ushindi. Do you think like a Sherlock Holmes?
Unaweza kum-define Manji kwa namna yeyote katika kesi hii. Mimi, naweza kum-define kama “MwanaCCM aliyepambana na upinzani muda wote alipokuwa mwanaCCM na kushirikiana na CCM katika mema kwa nchi na mabaya kwa nchi, na ataendelea kuwa hivyo, na kwa hiyo yupo katika nafasi nzuri ya kusaidiwa na wanaCCM wenzake ndani na nje ya vyombo vya usalama, hasa kwa sababu ya utajiri alio nao”

Connectez-vous ou inscrivez-vous pour voir le contenu bid=979892145487372&id=100003997888638

Sent using Jamii Forums mobile app
Ni tafakari tunduizi safi na iliyoenda shule. Haihitaji mapovu. Bravo mlete mada
 
Na Dr. Christopher Cyrilo

Kuna mambo ambayo ili uyaelewe kiunaga ubaga inakubidi ufundishwe darasani na/au usome vitabu vya kitaaluma kuhusu mambo hayo. Na kwa hiyo, itakuhitaji nguvu kubwa kuyaelewa endapo mambo hayo yatawekwa kwenye muhtasari na kwa maneno machache. Nitajaribu.

Kuhusu kesi ya matumizi ya dawa za kulevya aina ya heroine na/au Cocaine inayomkabili diwani wa mbagala kupitia CCM, Mh. Yusuf Manji, na mwenenndo wa kesi hiyo inayosikilizwa katika mahakama ya hakimu mkazi kisutu, Dar es salaam, ni vema tukafahamu mambo yafuatayo.

1.EXPERT WITNESSING/KUTOA USHAHIDI AU MAONI YA KITAALUMA MAHAKAMANI
Maana ya Expert witness au shahidi wa kitaaluma kwa mujibu wa maelzo ya chuo kikuu cha TULSA (OKLAHOMA, US) ya mwaka 2007, ni mtu mwenye taaluma fulani anayetoa maalezo ya kitaaluma ya kusaidia maamuzi ya mahakama bila yeye kuwa shuhuda wa tukio la kihalifu. Mfano, Daktari mwenye taaluma ya Forensic medicine, anaweza kuieleza mahakama juu ya maiti iliyokutwa ndani ya maji (mtoni,ziwani au baharini), endapo mtu huyo alikufa ndani ya maji au aliuawa na kutupwa kwenye maji, sababu za kifo, namna ya kifo, nk. Lakini mtaalamu huyo hapaswi kutoa mapendekezo wala kuonesha hisia za upendeleo kwa upande wowote, wala hatakiwi kuchukua nafasi ya wakili na kuanza kumuhoji mtuhumiwa au hakimu. Kazi yake ni ya kitaaluma, kutoa maelezo na ufafanuzi na kujibu maswali ya wakili na ya hakimu kwa kitaalum. Pia kwa mujibu wa sheria 701-706 za marekani (federal rules) anaweza kutoa maoni yake juu ya ushahidi kama unatosha au la, na ikibidi aeleze mahakama namna bora zaidi ya kukusanya ushahidi.

Katika kesi ya Manji, Mkemia kutoka ofisi ya mkemia mkuu wa serikali, Bw. Dominican Dominic ametumika kama shahidi wa kitaaluma. Lengo ni kutoa ushahidi na maoni ya kitaaluma kuhusiana na ushahidi uliokusanywa na vyombo/chombo cha uchunguzi ambao katika kesi hii, ushahidi ni mkojo.

2.CHAIN OF CUSTODY/MTIRIRIKO WA KUKUSANYA, KUTUNZA HADI KUWASILISHA USHAHIDI MAHAKAMANI.
Ushahidi ili ukubalike mahakamani inabidi kukusanywa na kutunzwa katika mazingira sahihi, salama na ya kuaminiwa. Chain of Custody ni kama barabara ya kusafirisha ushahidi kutoka mahali ulipopatikana hadi unapowasilishwa mahakamani. Na hapo, ushahidi inabidi upitie mikono salama. Lazima kuwe na kumbukumbu za kimaandishi, kwa mujibu wa sheria kuhusu makabidhiano endapo vyombo/mikono iliyokusanya ushahidi siyo iliyouwasilisha mahakamani. Muda uliyotumika kukusanya hadi kuwasilisha ushahidi mahakamani pia ni kutilia maanani, na zaidi lazima kuwepo kwa hali ya kutokuwa na mashaka katika safari ya ushahidi kutoka ulipokusanywa hadi unapowasilishwa.

Lengo la haya yote ni kuondoa uwezekano wa udanganyifu, kwa mfano, mtuhumiwa wa dawa za kulevya anafikishwa mahakamani halafu dawa za kulevya zinafanyiwa uchunguzi na kubainika kuwa ni unga wa sembe!!! Mambo hayo hutokea tu pasipokuwa na ulinzi katika chain of custody.
Katika kesi hii ya Manji, utaona kuna uzembe mkubwa sana katika kukusanya ushahidi ambao ni mkojo wa manji.

Mkemia mkuu anadai hajui kama mkojo ule ni wa Manji au askari aliyeingia na Manji chooni. Kwa majibu hayo, tayari ushahidi unakosa uhalali mahakamani. Tayari ile chain of custody imekatika, tena kwenye kukusanya ushahidi, hata kabla ya kuusafirisha.

Kwa hiyo inawezekana pia Manji alichukuliwa mkojo lakini mkojo uliopimwa usiwe wa kwake. Ni lazima kuzingatia kulinda CHAIN OF CUSTODY ili kuondoa aibu kwa vyombo vya kiuchunguzi.

3.DECEPTIVE LEADING QUESTION AND FALLACY /MASWALI YA KULAGHAI
Kuna aina nyingi za maswali. Lakini katika taaluma ya kiuchunguzi, shughuri za mahakama na mambo mengine yanayohusu kuhoji watuhumiwa, mashahidi na washitaki, kuna aina kuu tano. Open (maswali yanayotoa uwanja wa kujieleza mwenyewe), Leading (maswali yanayomuongoza anayeulizwa namna ya kujibu), Facilitators (maswali yanayomsaidia mtu kupata jibu sahihi), Option-posing (maswali yanayotoa majibu ya kuchagua, lakini yasiwe maswali ya kitaaluma) na focus (maswali yanayolenga kutoa taarifa Zaidi kutoka na majibu ya mwanzo). Lakini katika kila aina ya swali, wakili au mtu anayefanya (forensic interview) anaweza kuingiza utundu kwa lengo ka kulaghai umma, wasikilizaji, anayeulizwa na kulaghai mfumo wote wa kisheria, kwa malengo anayojua yeye. Na hapo ndipo kunahitaji ’ujanja’ kama sio umakini wa hali ya juu.

Mfano wa open question. Bwana Mkemia, ieleze mahakama kuhusu majibu ya kipimo cha mkojo kama yalivyopatikana. Hapo hakuna neno Manji. Kwahiyo majibu yatakayotoka hapo ni ya vipimo vya mkojo, unawea kuwa wa Manji au wa Mbuzi au mtu/kiumbe kingine. Sasa wakili mwingine angeweza kuuliza hivi; Bwana Mkemia, ieleze Mahakama kuhusu majibu ya mkojo wa Manji kama ylivyopatikana. Hilo ni swali Open, lakini kuna ulaghai kwa sababu, ikiwa mkemia hajui mkojo ni wa nani, na asipokumbuka hilo kisha akatoa majibu ya mkojo, umma hautajali tena kuhusu umiliki wa mkojo huo, kwa sababu kwenye swali tayari umetajwa ni mkojo wa Manji.

Lakini ukikutana na wakili kama Ndusyepo ndio atauiza; Bw. Mkemia unaweza kuieleza mahakama endapo mkojo uliopima ni wa Manji au wa askari aliyeingia naye chooni? Hilo ni swali aiana ya Option-posing question. Lengo ni kuhakiki na kusawazisha majibu ya mwanzo.

Baada ya mkemia kutoa majibu, Kamba mkojo umekutwa na kemikali aina ya benzodiazepines na morphine anaweza kuulizwa; Bw. Mkemia, ieleze mahakama hiyo morphine ni kitu gani na maan yake inapokutwa kwenye mkojo. Hilo ni swali aina ya Focused question, lengo ni kutaka ufafanuzi Zaidi kutokana na majibu ya mwanzo).

Morphine ni zao la Heroine, dawa za kulevya. Morphine pia hutumika hospitalini kama dawa ya kutibu maumivu makali yaisovumilika na/au yanayoweza kutishia maisha. Morphine inalindwa, haitolewi ovyo kwa sababu na yenyewe inaweza kutumika kma dawa ya kulevya ikitumiwa na mtu asiye na maumivu makali. Lakini pia inaweza kutumiwa kwenye uhalifu (kiasi Fulani cha morphine kinapowekwa kwenye pombe, kufa ni jambo rahisi na majibu ya uchunguzi hayatabaini kwa haraka sababu ya kifo, itaonekana tu mtu huyo alizidisha pombe, alcohol overdose), unaweza kujua kuhusu Morpine Zaidi kwenye kitabu cha Yericko Nyerere cha Ujasusi wa kidola na kiuchumi toleo la pili.

Leading questions; ni maswali yanayoongoza namna ya kutoa majibu, au yanayokupa jibu kabisa.kwa mfano, wakili anamuuliza Mkemia endapo anafahamu kama hizo kemikali zilizokutwa kwenye mkojo huwa zinatolewa kama dawa hospitalini. Lengo ni kutaka kuharibu ile mentality kwamba kukutwa na kemikali hizo kwenye mkojo ni kielelezo cha matumizi ya dawa za kulevya. Lakini vipi kama mawakili wa wangetaka vielelezo juu ya wapi au hospitali gani iliyompatia Manji dawa hizo. Ikumbukwe kuwa dawa ya morphines hutolewa katika hospitali za rufaa pekee, kwa hiyo ni rahisi kupaa taarifa.

4. MATUNDU KATIKA TAALUMA YA UPELELEZI/SYSTEM VARIABLES
System variables, ni mapungufu ya kimfumo ynayoweza kuathiri namna ya kukusanya, kupatikana na kuwasilisha ushahidi mahakamani.
Wakili Hudson Ndusyepo ni mjanja sana. Anamuuliza mkemia waserikli endapo anaweza kusema kuwa mkojo huo ni wa Manji au wa Askari aliyeingia na Manji chooni? Inahitaji akili za kipekee na uwezo mpana wa kufikiria vinginevyo (broad spectrum of susceptibility) hadi kuuliza swali kama hilo, au labda kuna mchezo tayari ulishachezwa ili kumnusuru manji. Na hapo, ofisi ya mkemia mkuu pamoja na vyombo vya kiuchunguzi ni vya kutilia mashaka. Ofisi ya mkemia mkuu inatakiwa kutoa maelezo juu ya mkojo uliopimwa ulikuwa ni wa nani? Na kama kuna utaratibu wa kupima mkojo bila kujua ‘identity’ ya mkojo huo pia iseme, na maana, malengo na faida ya kufanya hivyo.
Vyombo vya kiuchunguzi/ Polisi nayo iseme inakuaje wanashindwa mahala padogo namna hii. Ndio hayo matundu ya taaluma ya upelelezi au kuna njama za kuaibisha mifumo ya kiuchunguzi kwa kushirikiana na watuhumiwa? Kwanini kusiwepo mapema mazingira ya kuhakikisha kuwa ushahidi unaowasilishwa mahakamani ni halisi? Hili ndio jambo la kwanza kabisa, kwa sababu hakuna haja ya kwenda mahakamani kama ushahidi wako una walakini. Tunakwenda mahakamani na kuwasilisha ushahidi kamili unaoonekana wazi (physical evidence), na ndio lengo la uchunguzi, kupata “physical evidence”. Likini ukienda mahakamani kizembe ndipo unakutana na wakili Ndusyepo halafu unapigwa za uso kilaini, jasho linakutoka unabaki kujisifu umevaa bendera ya taifa kiunoni. Tupu kabisa

5. THEORY BEFORE DATA? NO.
Sherlock Holmes anasema, “It is a capital mistake to theorise before one has data”. Ni kosa kubwa kutengeneza maelezo kabla ya kuwa na taarifa. Ndio makossa wanayofanya polisi na serikali na kupelekea kushindwa mahakamani kila uchao. Vyombo vya dola, vinaanza kutengeneza maelezo halafu ndio wanakusanya taarifa za kusapport maelezo yao, badala ya kutafuta taarifa halafu ndio kuweka maelezo yanayofanana na taarifa zao. Suala matumizi ya dawa za kulevya sio suala la Manji na Gwajma pekee. Hawa wamepimwa mkojo baada ya kutuhumiwa. Yaani unamtuhumu mtu halafu ndio unatafuta ushahid! Haipaswi kuwa hivyo. Kwanza unatafutwa ushahidi kisha unatuhumiwa. Mwanasoka bora wa dunia, na mfungaji bora wa ligi ya mabingwa ulaya, mchezaji pekee mwenye historia ya kufunga timu zote za ligi katika msimu mmoja, mwenye rekodi ya kufunga goli katika kila dakaika ya nchezo, Christiano Ronaldo, alipimwa mkojo ili kujua endapo alitumia dawa za kuongeza nguvu wakati wa mechi ya robo fainali dhidi ya Bayern Munche, kwenye uwanja wa Satiago Bernabeu, Madrid, Spain. Ronaldo alipimwa baada ya kuoenekana mwenye nguvu Zaidi wakati wa muda za nyongeza, akifunga goli kwa shuti kali sana. Hata hivyo, Ronaldo hakutuhumiwa, bali alipimwa kwanza na hakukutwa na viashiria vya kutumia dawa za kulevya. Ingekuwa Tanzania, kwa sababu ya nguvu zile, polisi wangemkamata, kumtangaza kwanza kama muhalifu halafu ndio kumpima mkojo. Kwanza kunaharibu taswira ya mtu, lakini pia endapo mtu huyo ni muhalifu kweli, anapata muda wa kujipanga. Au tuseme watu wake wanapata muda wa kumnasua mwenzao.

5. MWISHO/ UONGO UNAOWEZA KUWA KWELI.
Manji ni mwana CCM. Kuna hisia kwamba Manji anaonewa ingawa hiyo haiondoi tuhuma za uhujumu uchumi zinazomkabili. Na tuelewe kuwa, endapo tuhuma hizo ni za kweli basi zinaweza kuwa na mahusiano mazuri na CCM. Kwamba katika uhujumu uchumi wake, yeye kama anavyotajwa kuwa mmoja ya wafadhili wa chama basi CCM imewahi kunufaika naye. Unawea kumuonea huruma Manji kwa sababu unamchukia Magufuli, hiyo ni sababu ya kijinga. Labda kama unamuonea huruma kwa vile anavyoshughurikiwa kinyume na sharia.
Uhusiano wa Manji na CCM upo imara. Na CCM sio Magufuli, kwa hiyo kama Manji ana ‘bifu’ na Magufuli haina maana kuwa ana bifu na CCM. Na kwa hiyo CCM wanaweza kuwa bega kwa bega katika kumnasua na sakata hili, na pengine hiyo ndiyo sababu yeye kumkataa wakili Kibatala ambaye ni wa CHADEMA, ili apate msaada kutoka kwa wanaCCM wenzake. Na makossa ya wazi kama sio ya makusudi ya vyombo vya kiuchunguzi na ofisi ya mkemia mkuu yanazweza kuwa viashiria vya kumtengenezea Manji ushindi. Do you think like a Sherlock Holmes?
Unaweza kum-define Manji kwa namna yeyote katika kesi hii. Mimi, naweza kum-define kama “MwanaCCM aliyepambana na upinzani muda wote alipokuwa mwanaCCM na kushirikiana na CCM katika mema kwa nchi na mabaya kwa nchi, na ataendelea kuwa hivyo, na kwa hiyo yupo katika nafasi nzuri ya kusaidiwa na wanaCCM wenzake ndani na nje ya vyombo vya usalama, hasa kwa sababu ya utajiri alio nao”

Connectez-vous ou inscrivez-vous pour voir le contenu bid=979892145487372&id=100003997888638

Sent using Jamii Forums mobile app
Umeandika riwaya au hadithi?
 
Na Dr. Christopher Cyrilo

Kuna mambo ambayo ili uyaelewe kiunaga ubaga inakubidi ufundishwe darasani na/au usome vitabu vya kitaaluma kuhusu mambo hayo. Na kwa hiyo, itakuhitaji nguvu kubwa kuyaelewa endapo mambo hayo yatawekwa kwenye muhtasari na kwa maneno machache. Nitajaribu.

Kuhusu kesi ya matumizi ya dawa za kulevya aina ya heroine na/au Cocaine inayomkabili diwani wa mbagala kupitia CCM, Mh. Yusuf Manji, na mwenenndo wa kesi hiyo inayosikilizwa katika mahakama ya hakimu mkazi kisutu, Dar es salaam, ni vema tukafahamu mambo yafuatayo.

1.EXPERT WITNESSING/KUTOA USHAHIDI AU MAONI YA KITAALUMA MAHAKAMANI
Maana ya Expert witness au shahidi wa kitaaluma kwa mujibu wa maelzo ya chuo kikuu cha TULSA (OKLAHOMA, US) ya mwaka 2007, ni mtu mwenye taaluma fulani anayetoa maalezo ya kitaaluma ya kusaidia maamuzi ya mahakama bila yeye kuwa shuhuda wa tukio la kihalifu. Mfano, Daktari mwenye taaluma ya Forensic medicine, anaweza kuieleza mahakama juu ya maiti iliyokutwa ndani ya maji (mtoni,ziwani au baharini), endapo mtu huyo alikufa ndani ya maji au aliuawa na kutupwa kwenye maji, sababu za kifo, namna ya kifo, nk. Lakini mtaalamu huyo hapaswi kutoa mapendekezo wala kuonesha hisia za upendeleo kwa upande wowote, wala hatakiwi kuchukua nafasi ya wakili na kuanza kumuhoji mtuhumiwa au hakimu. Kazi yake ni ya kitaaluma, kutoa maelezo na ufafanuzi na kujibu maswali ya wakili na ya hakimu kwa kitaalum. Pia kwa mujibu wa sheria 701-706 za marekani (federal rules) anaweza kutoa maoni yake juu ya ushahidi kama unatosha au la, na ikibidi aeleze mahakama namna bora zaidi ya kukusanya ushahidi.

Katika kesi ya Manji, Mkemia kutoka ofisi ya mkemia mkuu wa serikali, Bw. Dominican Dominic ametumika kama shahidi wa kitaaluma. Lengo ni kutoa ushahidi na maoni ya kitaaluma kuhusiana na ushahidi uliokusanywa na vyombo/chombo cha uchunguzi ambao katika kesi hii, ushahidi ni mkojo.

2.CHAIN OF CUSTODY/MTIRIRIKO WA KUKUSANYA, KUTUNZA HADI KUWASILISHA USHAHIDI MAHAKAMANI.
Ushahidi ili ukubalike mahakamani inabidi kukusanywa na kutunzwa katika mazingira sahihi, salama na ya kuaminiwa. Chain of Custody ni kama barabara ya kusafirisha ushahidi kutoka mahali ulipopatikana hadi unapowasilishwa mahakamani. Na hapo, ushahidi inabidi upitie mikono salama. Lazima kuwe na kumbukumbu za kimaandishi, kwa mujibu wa sheria kuhusu makabidhiano endapo vyombo/mikono iliyokusanya ushahidi siyo iliyouwasilisha mahakamani. Muda uliyotumika kukusanya hadi kuwasilisha ushahidi mahakamani pia ni kutilia maanani, na zaidi lazima kuwepo kwa hali ya kutokuwa na mashaka katika safari ya ushahidi kutoka ulipokusanywa hadi unapowasilishwa.

Lengo la haya yote ni kuondoa uwezekano wa udanganyifu, kwa mfano, mtuhumiwa wa dawa za kulevya anafikishwa mahakamani halafu dawa za kulevya zinafanyiwa uchunguzi na kubainika kuwa ni unga wa sembe!!! Mambo hayo hutokea tu pasipokuwa na ulinzi katika chain of custody.
Katika kesi hii ya Manji, utaona kuna uzembe mkubwa sana katika kukusanya ushahidi ambao ni mkojo wa manji.

Mkemia mkuu anadai hajui kama mkojo ule ni wa Manji au askari aliyeingia na Manji chooni. Kwa majibu hayo, tayari ushahidi unakosa uhalali mahakamani. Tayari ile chain of custody imekatika, tena kwenye kukusanya ushahidi, hata kabla ya kuusafirisha.

Kwa hiyo inawezekana pia Manji alichukuliwa mkojo lakini mkojo uliopimwa usiwe wa kwake. Ni lazima kuzingatia kulinda CHAIN OF CUSTODY ili kuondoa aibu kwa vyombo vya kiuchunguzi.

3.DECEPTIVE LEADING QUESTION AND FALLACY /MASWALI YA KULAGHAI
Kuna aina nyingi za maswali. Lakini katika taaluma ya kiuchunguzi, shughuri za mahakama na mambo mengine yanayohusu kuhoji watuhumiwa, mashahidi na washitaki, kuna aina kuu tano. Open (maswali yanayotoa uwanja wa kujieleza mwenyewe), Leading (maswali yanayomuongoza anayeulizwa namna ya kujibu), Facilitators (maswali yanayomsaidia mtu kupata jibu sahihi), Option-posing (maswali yanayotoa majibu ya kuchagua, lakini yasiwe maswali ya kitaaluma) na focus (maswali yanayolenga kutoa taarifa Zaidi kutoka na majibu ya mwanzo). Lakini katika kila aina ya swali, wakili au mtu anayefanya (forensic interview) anaweza kuingiza utundu kwa lengo ka kulaghai umma, wasikilizaji, anayeulizwa na kulaghai mfumo wote wa kisheria, kwa malengo anayojua yeye. Na hapo ndipo kunahitaji ’ujanja’ kama sio umakini wa hali ya juu.

Mfano wa open question. Bwana Mkemia, ieleze mahakama kuhusu majibu ya kipimo cha mkojo kama yalivyopatikana. Hapo hakuna neno Manji. Kwahiyo majibu yatakayotoka hapo ni ya vipimo vya mkojo, unawea kuwa wa Manji au wa Mbuzi au mtu/kiumbe kingine. Sasa wakili mwingine angeweza kuuliza hivi; Bwana Mkemia, ieleze Mahakama kuhusu majibu ya mkojo wa Manji kama ylivyopatikana. Hilo ni swali Open, lakini kuna ulaghai kwa sababu, ikiwa mkemia hajui mkojo ni wa nani, na asipokumbuka hilo kisha akatoa majibu ya mkojo, umma hautajali tena kuhusu umiliki wa mkojo huo, kwa sababu kwenye swali tayari umetajwa ni mkojo wa Manji.

Lakini ukikutana na wakili kama Ndusyepo ndio atauiza; Bw. Mkemia unaweza kuieleza mahakama endapo mkojo uliopima ni wa Manji au wa askari aliyeingia naye chooni? Hilo ni swali aiana ya Option-posing question. Lengo ni kuhakiki na kusawazisha majibu ya mwanzo.

Baada ya mkemia kutoa majibu, Kamba mkojo umekutwa na kemikali aina ya benzodiazepines na morphine anaweza kuulizwa; Bw. Mkemia, ieleze mahakama hiyo morphine ni kitu gani na maan yake inapokutwa kwenye mkojo. Hilo ni swali aina ya Focused question, lengo ni kutaka ufafanuzi Zaidi kutokana na majibu ya mwanzo).

Morphine ni zao la Heroine, dawa za kulevya. Morphine pia hutumika hospitalini kama dawa ya kutibu maumivu makali yaisovumilika na/au yanayoweza kutishia maisha. Morphine inalindwa, haitolewi ovyo kwa sababu na yenyewe inaweza kutumika kma dawa ya kulevya ikitumiwa na mtu asiye na maumivu makali. Lakini pia inaweza kutumiwa kwenye uhalifu (kiasi Fulani cha morphine kinapowekwa kwenye pombe, kufa ni jambo rahisi na majibu ya uchunguzi hayatabaini kwa haraka sababu ya kifo, itaonekana tu mtu huyo alizidisha pombe, alcohol overdose), unaweza kujua kuhusu Morpine Zaidi kwenye kitabu cha Yericko Nyerere cha Ujasusi wa kidola na kiuchumi toleo la pili.

Leading questions; ni maswali yanayoongoza namna ya kutoa majibu, au yanayokupa jibu kabisa.kwa mfano, wakili anamuuliza Mkemia endapo anafahamu kama hizo kemikali zilizokutwa kwenye mkojo huwa zinatolewa kama dawa hospitalini. Lengo ni kutaka kuharibu ile mentality kwamba kukutwa na kemikali hizo kwenye mkojo ni kielelezo cha matumizi ya dawa za kulevya. Lakini vipi kama mawakili wa wangetaka vielelezo juu ya wapi au hospitali gani iliyompatia Manji dawa hizo. Ikumbukwe kuwa dawa ya morphines hutolewa katika hospitali za rufaa pekee, kwa hiyo ni rahisi kupaa taarifa.

4. MATUNDU KATIKA TAALUMA YA UPELELEZI/SYSTEM VARIABLES
System variables, ni mapungufu ya kimfumo ynayoweza kuathiri namna ya kukusanya, kupatikana na kuwasilisha ushahidi mahakamani.
Wakili Hudson Ndusyepo ni mjanja sana. Anamuuliza mkemia waserikli endapo anaweza kusema kuwa mkojo huo ni wa Manji au wa Askari aliyeingia na Manji chooni? Inahitaji akili za kipekee na uwezo mpana wa kufikiria vinginevyo (broad spectrum of susceptibility) hadi kuuliza swali kama hilo, au labda kuna mchezo tayari ulishachezwa ili kumnusuru manji. Na hapo, ofisi ya mkemia mkuu pamoja na vyombo vya kiuchunguzi ni vya kutilia mashaka. Ofisi ya mkemia mkuu inatakiwa kutoa maelezo juu ya mkojo uliopimwa ulikuwa ni wa nani? Na kama kuna utaratibu wa kupima mkojo bila kujua ‘identity’ ya mkojo huo pia iseme, na maana, malengo na faida ya kufanya hivyo.
Vyombo vya kiuchunguzi/ Polisi nayo iseme inakuaje wanashindwa mahala padogo namna hii. Ndio hayo matundu ya taaluma ya upelelezi au kuna njama za kuaibisha mifumo ya kiuchunguzi kwa kushirikiana na watuhumiwa? Kwanini kusiwepo mapema mazingira ya kuhakikisha kuwa ushahidi unaowasilishwa mahakamani ni halisi? Hili ndio jambo la kwanza kabisa, kwa sababu hakuna haja ya kwenda mahakamani kama ushahidi wako una walakini. Tunakwenda mahakamani na kuwasilisha ushahidi kamili unaoonekana wazi (physical evidence), na ndio lengo la uchunguzi, kupata “physical evidence”. Likini ukienda mahakamani kizembe ndipo unakutana na wakili Ndusyepo halafu unapigwa za uso kilaini, jasho linakutoka unabaki kujisifu umevaa bendera ya taifa kiunoni. Tupu kabisa

5. THEORY BEFORE DATA? NO.
Sherlock Holmes anasema, “It is a capital mistake to theorise before one has data”. Ni kosa kubwa kutengeneza maelezo kabla ya kuwa na taarifa. Ndio makossa wanayofanya polisi na serikali na kupelekea kushindwa mahakamani kila uchao. Vyombo vya dola, vinaanza kutengeneza maelezo halafu ndio wanakusanya taarifa za kusapport maelezo yao, badala ya kutafuta taarifa halafu ndio kuweka maelezo yanayofanana na taarifa zao. Suala matumizi ya dawa za kulevya sio suala la Manji na Gwajma pekee. Hawa wamepimwa mkojo baada ya kutuhumiwa. Yaani unamtuhumu mtu halafu ndio unatafuta ushahid! Haipaswi kuwa hivyo. Kwanza unatafutwa ushahidi kisha unatuhumiwa. Mwanasoka bora wa dunia, na mfungaji bora wa ligi ya mabingwa ulaya, mchezaji pekee mwenye historia ya kufunga timu zote za ligi katika msimu mmoja, mwenye rekodi ya kufunga goli katika kila dakaika ya nchezo, Christiano Ronaldo, alipimwa mkojo ili kujua endapo alitumia dawa za kuongeza nguvu wakati wa mechi ya robo fainali dhidi ya Bayern Munche, kwenye uwanja wa Satiago Bernabeu, Madrid, Spain. Ronaldo alipimwa baada ya kuoenekana mwenye nguvu Zaidi wakati wa muda za nyongeza, akifunga goli kwa shuti kali sana. Hata hivyo, Ronaldo hakutuhumiwa, bali alipimwa kwanza na hakukutwa na viashiria vya kutumia dawa za kulevya. Ingekuwa Tanzania, kwa sababu ya nguvu zile, polisi wangemkamata, kumtangaza kwanza kama muhalifu halafu ndio kumpima mkojo. Kwanza kunaharibu taswira ya mtu, lakini pia endapo mtu huyo ni muhalifu kweli, anapata muda wa kujipanga. Au tuseme watu wake wanapata muda wa kumnasua mwenzao.

5. MWISHO/ UONGO UNAOWEZA KUWA KWELI.
Manji ni mwana CCM. Kuna hisia kwamba Manji anaonewa ingawa hiyo haiondoi tuhuma za uhujumu uchumi zinazomkabili. Na tuelewe kuwa, endapo tuhuma hizo ni za kweli basi zinaweza kuwa na mahusiano mazuri na CCM. Kwamba katika uhujumu uchumi wake, yeye kama anavyotajwa kuwa mmoja ya wafadhili wa chama basi CCM imewahi kunufaika naye. Unawea kumuonea huruma Manji kwa sababu unamchukia Magufuli, hiyo ni sababu ya kijinga. Labda kama unamuonea huruma kwa vile anavyoshughurikiwa kinyume na sharia.
Uhusiano wa Manji na CCM upo imara. Na CCM sio Magufuli, kwa hiyo kama Manji ana ‘bifu’ na Magufuli haina maana kuwa ana bifu na CCM. Na kwa hiyo CCM wanaweza kuwa bega kwa bega katika kumnasua na sakata hili, na pengine hiyo ndiyo sababu yeye kumkataa wakili Kibatala ambaye ni wa CHADEMA, ili apate msaada kutoka kwa wanaCCM wenzake. Na makossa ya wazi kama sio ya makusudi ya vyombo vya kiuchunguzi na ofisi ya mkemia mkuu yanazweza kuwa viashiria vya kumtengenezea Manji ushindi. Do you think like a Sherlock Holmes?
Unaweza kum-define Manji kwa namna yeyote katika kesi hii. Mimi, naweza kum-define kama “MwanaCCM aliyepambana na upinzani muda wote alipokuwa mwanaCCM na kushirikiana na CCM katika mema kwa nchi na mabaya kwa nchi, na ataendelea kuwa hivyo, na kwa hiyo yupo katika nafasi nzuri ya kusaidiwa na wanaCCM wenzake ndani na nje ya vyombo vya usalama, hasa kwa sababu ya utajiri alio nao”

Connectez-vous ou inscrivez-vous pour voir le contenu bid=979892145487372&id=100003997888638

Sent using Jamii Forums mobile app

Mkuu kwenye field ya forensic examimation na forensic investigation bado hujaelewa endelea kusoma hasa hudhuria workshops na seminars sitakusaidia zaidi, academic pekee haijakusaidia sana!
 
Mkuu kwenye field ya forensic examimation na forensic investigation bado hujaelewa endelea kusoma hasa hudhuria workshop na seminars sitalusaidia zaidi academic pekee haijakusaidia sana!
Naomba kupata critics zako based kwenye content ya andishi husika ili tuweze kuainisha gaps na uhitaji wa seminar na workshop ulizotaja.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Naomba kupata critics zako based kwenye content ya andishi husika ili tuweze kuainisha gaps na uhitaji wa seminar na workshop ulizotaja.

Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu siwezi toa training hapa! Forensic Examination na Forensic Investigation ni professional ya watu wala siwezi andika hapa kila kitu kwa simu. Ila nachoweza sema kuwa workshops zinaweza kukusaidi zaidi huko kwa sababu utakutana na watu walio na experoence na field hizo. Ulichokisema hapa ni cha magazetini zaidi na unajua waandishi wa tz hawana specialization katika uandishi wao kwa hiyo huwezi ukautegemea sana!
 
Mkuu siwezi toa training hapa! Forensic Examination na Forensic Investigation ni professional ya watu wala siwezi andika hapa kila kitu kwa simu. Ila nachoweza sema kuwa workshops zinaweza kukusaidi zaidi huko kwa sababu utakutana na watu walio na experoence na field hizo. Ulichokisema hapa ni cha magazetini zaidi na unajua waandishi wa tz hawana specialization katika uandishi wao kwa hiyo huwezi ukautegemea sana!
Nadhani bado hujanielewa. Sikuhitaji kuandika sana katika hili. Andishi linalenga audience isiyo na Taaluma unayozungumzia

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nimeipenda ila w...a..s..e..n..g..e.. Sana wale wote walio kopi Uzi wote huu kisha wakaandika sentence tano



M..a..m..a...e zao





Please mods tusameheane

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Na Dr. Christopher Cyrilo

Kuna mambo ambayo ili uyaelewe kiunaga ubaga inakubidi ufundishwe darasani na/au usome vitabu vya kitaaluma kuhusu mambo hayo. Na kwa hiyo, itakuhitaji nguvu kubwa kuyaelewa endapo mambo hayo yatawekwa kwenye muhtasari na kwa maneno machache. Nitajaribu.

Kuhusu kesi ya matumizi ya dawa za kulevya aina ya heroine na/au Cocaine inayomkabili diwani wa mbagala kupitia CCM, Mh. Yusuf Manji, na mwenenndo wa kesi hiyo inayosikilizwa katika mahakama ya hakimu mkazi kisutu, Dar es salaam, ni vema tukafahamu mambo yafuatayo.

1.EXPERT WITNESSING/KUTOA USHAHIDI AU MAONI YA KITAALUMA MAHAKAMANI
Maana ya Expert witness au shahidi wa kitaaluma kwa mujibu wa maelzo ya chuo kikuu cha TULSA (OKLAHOMA, US) ya mwaka 2007, ni mtu mwenye taaluma fulani anayetoa maalezo ya kitaaluma ya kusaidia maamuzi ya mahakama bila yeye kuwa shuhuda wa tukio la kihalifu. Mfano, Daktari mwenye taaluma ya Forensic medicine, anaweza kuieleza mahakama juu ya maiti iliyokutwa ndani ya maji (mtoni,ziwani au baharini), endapo mtu huyo alikufa ndani ya maji au aliuawa na kutupwa kwenye maji, sababu za kifo, namna ya kifo, nk. Lakini mtaalamu huyo hapaswi kutoa mapendekezo wala kuonesha hisia za upendeleo kwa upande wowote, wala hatakiwi kuchukua nafasi ya wakili na kuanza kumuhoji mtuhumiwa au hakimu. Kazi yake ni ya kitaaluma, kutoa maelezo na ufafanuzi na kujibu maswali ya wakili na ya hakimu kwa kitaalum. Pia kwa mujibu wa sheria 701-706 za marekani (federal rules) anaweza kutoa maoni yake juu ya ushahidi kama unatosha au la, na ikibidi aeleze mahakama namna bora zaidi ya kukusanya ushahidi.

Katika kesi ya Manji, Mkemia kutoka ofisi ya mkemia mkuu wa serikali, Bw. Dominican Dominic ametumika kama shahidi wa kitaaluma. Lengo ni kutoa ushahidi na maoni ya kitaaluma kuhusiana na ushahidi uliokusanywa na vyombo/chombo cha uchunguzi ambao katika kesi hii, ushahidi ni mkojo.

2.CHAIN OF CUSTODY/MTIRIRIKO WA KUKUSANYA, KUTUNZA HADI KUWASILISHA USHAHIDI MAHAKAMANI.
Ushahidi ili ukubalike mahakamani inabidi kukusanywa na kutunzwa katika mazingira sahihi, salama na ya kuaminiwa. Chain of Custody ni kama barabara ya kusafirisha ushahidi kutoka mahali ulipopatikana hadi unapowasilishwa mahakamani. Na hapo, ushahidi inabidi upitie mikono salama. Lazima kuwe na kumbukumbu za kimaandishi, kwa mujibu wa sheria kuhusu makabidhiano endapo vyombo/mikono iliyokusanya ushahidi siyo iliyouwasilisha mahakamani. Muda uliyotumika kukusanya hadi kuwasilisha ushahidi mahakamani pia ni kutilia maanani, na zaidi lazima kuwepo kwa hali ya kutokuwa na mashaka katika safari ya ushahidi kutoka ulipokusanywa hadi unapowasilishwa.

Lengo la haya yote ni kuondoa uwezekano wa udanganyifu, kwa mfano, mtuhumiwa wa dawa za kulevya anafikishwa mahakamani halafu dawa za kulevya zinafanyiwa uchunguzi na kubainika kuwa ni unga wa sembe!!! Mambo hayo hutokea tu pasipokuwa na ulinzi katika chain of custody.
Katika kesi hii ya Manji, utaona kuna uzembe mkubwa sana katika kukusanya ushahidi ambao ni mkojo wa manji.

Mkemia mkuu anadai hajui kama mkojo ule ni wa Manji au askari aliyeingia na Manji chooni. Kwa majibu hayo, tayari ushahidi unakosa uhalali mahakamani. Tayari ile chain of custody imekatika, tena kwenye kukusanya ushahidi, hata kabla ya kuusafirisha.

Kwa hiyo inawezekana pia Manji alichukuliwa mkojo lakini mkojo uliopimwa usiwe wa kwake. Ni lazima kuzingatia kulinda CHAIN OF CUSTODY ili kuondoa aibu kwa vyombo vya kiuchunguzi.

3.DECEPTIVE LEADING QUESTION AND FALLACY /MASWALI YA KULAGHAI
Kuna aina nyingi za maswali. Lakini katika taaluma ya kiuchunguzi, shughuri za mahakama na mambo mengine yanayohusu kuhoji watuhumiwa, mashahidi na washitaki, kuna aina kuu tano. Open (maswali yanayotoa uwanja wa kujieleza mwenyewe), Leading (maswali yanayomuongoza anayeulizwa namna ya kujibu), Facilitators (maswali yanayomsaidia mtu kupata jibu sahihi), Option-posing (maswali yanayotoa majibu ya kuchagua, lakini yasiwe maswali ya kitaaluma) na focus (maswali yanayolenga kutoa taarifa Zaidi kutoka na majibu ya mwanzo). Lakini katika kila aina ya swali, wakili au mtu anayefanya (forensic interview) anaweza kuingiza utundu kwa lengo ka kulaghai umma, wasikilizaji, anayeulizwa na kulaghai mfumo wote wa kisheria, kwa malengo anayojua yeye. Na hapo ndipo kunahitaji ’ujanja’ kama sio umakini wa hali ya juu.

Mfano wa open question. Bwana Mkemia, ieleze mahakama kuhusu majibu ya kipimo cha mkojo kama yalivyopatikana. Hapo hakuna neno Manji. Kwahiyo majibu yatakayotoka hapo ni ya vipimo vya mkojo, unawea kuwa wa Manji au wa Mbuzi au mtu/kiumbe kingine. Sasa wakili mwingine angeweza kuuliza hivi; Bwana Mkemia, ieleze Mahakama kuhusu majibu ya mkojo wa Manji kama ylivyopatikana. Hilo ni swali Open, lakini kuna ulaghai kwa sababu, ikiwa mkemia hajui mkojo ni wa nani, na asipokumbuka hilo kisha akatoa majibu ya mkojo, umma hautajali tena kuhusu umiliki wa mkojo huo, kwa sababu kwenye swali tayari umetajwa ni mkojo wa Manji.

Lakini ukikutana na wakili kama Ndusyepo ndio atauiza; Bw. Mkemia unaweza kuieleza mahakama endapo mkojo uliopima ni wa Manji au wa askari aliyeingia naye chooni? Hilo ni swali aiana ya Option-posing question. Lengo ni kuhakiki na kusawazisha majibu ya mwanzo.

Baada ya mkemia kutoa majibu, Kamba mkojo umekutwa na kemikali aina ya benzodiazepines na morphine anaweza kuulizwa; Bw. Mkemia, ieleze mahakama hiyo morphine ni kitu gani na maan yake inapokutwa kwenye mkojo. Hilo ni swali aina ya Focused question, lengo ni kutaka ufafanuzi Zaidi kutokana na majibu ya mwanzo).

Morphine ni zao la Heroine, dawa za kulevya. Morphine pia hutumika hospitalini kama dawa ya kutibu maumivu makali yaisovumilika na/au yanayoweza kutishia maisha. Morphine inalindwa, haitolewi ovyo kwa sababu na yenyewe inaweza kutumika kma dawa ya kulevya ikitumiwa na mtu asiye na maumivu makali. Lakini pia inaweza kutumiwa kwenye uhalifu (kiasi Fulani cha morphine kinapowekwa kwenye pombe, kufa ni jambo rahisi na majibu ya uchunguzi hayatabaini kwa haraka sababu ya kifo, itaonekana tu mtu huyo alizidisha pombe, alcohol overdose), unaweza kujua kuhusu Morpine Zaidi kwenye kitabu cha Yericko Nyerere cha Ujasusi wa kidola na kiuchumi toleo la pili.

Leading questions; ni maswali yanayoongoza namna ya kutoa majibu, au yanayokupa jibu kabisa.kwa mfano, wakili anamuuliza Mkemia endapo anafahamu kama hizo kemikali zilizokutwa kwenye mkojo huwa zinatolewa kama dawa hospitalini. Lengo ni kutaka kuharibu ile mentality kwamba kukutwa na kemikali hizo kwenye mkojo ni kielelezo cha matumizi ya dawa za kulevya. Lakini vipi kama mawakili wa wangetaka vielelezo juu ya wapi au hospitali gani iliyompatia Manji dawa hizo. Ikumbukwe kuwa dawa ya morphines hutolewa katika hospitali za rufaa pekee, kwa hiyo ni rahisi kupaa taarifa.

4. MATUNDU KATIKA TAALUMA YA UPELELEZI/SYSTEM VARIABLES
System variables, ni mapungufu ya kimfumo ynayoweza kuathiri namna ya kukusanya, kupatikana na kuwasilisha ushahidi mahakamani.
Wakili Hudson Ndusyepo ni mjanja sana. Anamuuliza mkemia waserikli endapo anaweza kusema kuwa mkojo huo ni wa Manji au wa Askari aliyeingia na Manji chooni? Inahitaji akili za kipekee na uwezo mpana wa kufikiria vinginevyo (broad spectrum of susceptibility) hadi kuuliza swali kama hilo, au labda kuna mchezo tayari ulishachezwa ili kumnusuru manji. Na hapo, ofisi ya mkemia mkuu pamoja na vyombo vya kiuchunguzi ni vya kutilia mashaka. Ofisi ya mkemia mkuu inatakiwa kutoa maelezo juu ya mkojo uliopimwa ulikuwa ni wa nani? Na kama kuna utaratibu wa kupima mkojo bila kujua ‘identity’ ya mkojo huo pia iseme, na maana, malengo na faida ya kufanya hivyo.
Vyombo vya kiuchunguzi/ Polisi nayo iseme inakuaje wanashindwa mahala padogo namna hii. Ndio hayo matundu ya taaluma ya upelelezi au kuna njama za kuaibisha mifumo ya kiuchunguzi kwa kushirikiana na watuhumiwa? Kwanini kusiwepo mapema mazingira ya kuhakikisha kuwa ushahidi unaowasilishwa mahakamani ni halisi? Hili ndio jambo la kwanza kabisa, kwa sababu hakuna haja ya kwenda mahakamani kama ushahidi wako una walakini. Tunakwenda mahakamani na kuwasilisha ushahidi kamili unaoonekana wazi (physical evidence), na ndio lengo la uchunguzi, kupata “physical evidence”. Likini ukienda mahakamani kizembe ndipo unakutana na wakili Ndusyepo halafu unapigwa za uso kilaini, jasho linakutoka unabaki kujisifu umevaa bendera ya taifa kiunoni. Tupu kabisa

5. THEORY BEFORE DATA? NO.
Sherlock Holmes anasema, “It is a capital mistake to theorise before one has data”. Ni kosa kubwa kutengeneza maelezo kabla ya kuwa na taarifa. Ndio makossa wanayofanya polisi na serikali na kupelekea kushindwa mahakamani kila uchao. Vyombo vya dola, vinaanza kutengeneza maelezo halafu ndio wanakusanya taarifa za kusapport maelezo yao, badala ya kutafuta taarifa halafu ndio kuweka maelezo yanayofanana na taarifa zao. Suala matumizi ya dawa za kulevya sio suala la Manji na Gwajma pekee. Hawa wamepimwa mkojo baada ya kutuhumiwa. Yaani unamtuhumu mtu halafu ndio unatafuta ushahid! Haipaswi kuwa hivyo. Kwanza unatafutwa ushahidi kisha unatuhumiwa. Mwanasoka bora wa dunia, na mfungaji bora wa ligi ya mabingwa ulaya, mchezaji pekee mwenye historia ya kufunga timu zote za ligi katika msimu mmoja, mwenye rekodi ya kufunga goli katika kila dakaika ya nchezo, Christiano Ronaldo, alipimwa mkojo ili kujua endapo alitumia dawa za kuongeza nguvu wakati wa mechi ya robo fainali dhidi ya Bayern Munche, kwenye uwanja wa Satiago Bernabeu, Madrid, Spain. Ronaldo alipimwa baada ya kuoenekana mwenye nguvu Zaidi wakati wa muda za nyongeza, akifunga goli kwa shuti kali sana. Hata hivyo, Ronaldo hakutuhumiwa, bali alipimwa kwanza na hakukutwa na viashiria vya kutumia dawa za kulevya. Ingekuwa Tanzania, kwa sababu ya nguvu zile, polisi wangemkamata, kumtangaza kwanza kama muhalifu halafu ndio kumpima mkojo. Kwanza kunaharibu taswira ya mtu, lakini pia endapo mtu huyo ni muhalifu kweli, anapata muda wa kujipanga. Au tuseme watu wake wanapata muda wa kumnasua mwenzao.

5. MWISHO/ UONGO UNAOWEZA KUWA KWELI.
Manji ni mwana CCM. Kuna hisia kwamba Manji anaonewa ingawa hiyo haiondoi tuhuma za uhujumu uchumi zinazomkabili. Na tuelewe kuwa, endapo tuhuma hizo ni za kweli basi zinaweza kuwa na mahusiano mazuri na CCM. Kwamba katika uhujumu uchumi wake, yeye kama anavyotajwa kuwa mmoja ya wafadhili wa chama basi CCM imewahi kunufaika naye. Unawea kumuonea huruma Manji kwa sababu unamchukia Magufuli, hiyo ni sababu ya kijinga. Labda kama unamuonea huruma kwa vile anavyoshughurikiwa kinyume na sharia.
Uhusiano wa Manji na CCM upo imara. Na CCM sio Magufuli, kwa hiyo kama Manji ana ‘bifu’ na Magufuli haina maana kuwa ana bifu na CCM. Na kwa hiyo CCM wanaweza kuwa bega kwa bega katika kumnasua na sakata hili, na pengine hiyo ndiyo sababu yeye kumkataa wakili Kibatala ambaye ni wa CHADEMA, ili apate msaada kutoka kwa wanaCCM wenzake. Na makossa ya wazi kama sio ya makusudi ya vyombo vya kiuchunguzi na ofisi ya mkemia mkuu yanazweza kuwa viashiria vya kumtengenezea Manji ushindi. Do you think like a Sherlock Holmes?
Unaweza kum-define Manji kwa namna yeyote katika kesi hii. Mimi, naweza kum-define kama “MwanaCCM aliyepambana na upinzani muda wote alipokuwa mwanaCCM na kushirikiana na CCM katika mema kwa nchi na mabaya kwa nchi, na ataendelea kuwa hivyo, na kwa hiyo yupo katika nafasi nzuri ya kusaidiwa na wanaCCM wenzake ndani na nje ya vyombo vya usalama, hasa kwa sababu ya utajiri alio nao”

Connectez-vous ou inscrivez-vous pour voir le contenu bid=979892145487372&id=100003997888638

Sent using Jamii Forums mobile app
Naomba kujua hukumu ya kesi ya Manji dhidi ya madawa ilikuwa leo imekuwaje?
 
Asante kwa somo zuri kuhusu chain of custody. Ni kitu muhimu sana ktk forensic investigation.
 
Back
Top Bottom