Nicas Mtei
JF-Expert Member
- Dec 21, 2010
- 11,556
- 7,085
Ni Tanzania pekee Mkojo una uwezo wa kuunguza nyumba,kuua,na kuchoma nyumba za ibada, kuandamanisha watu n.k....
Nchi nyingine Mkojo una uwezo wa kuacha tu harufu chooni...Tuupigie Mkojo Kura uingie kwenye maajabu 9 ya dunia,tuma neno MKOJO kwenda namba 15578,utakatwa shilingi 500 tu. Au ingia kwenye tovut www.maajabuyamkojotz.com kisha upige kura yako..
Nchi nyingine Mkojo una uwezo wa kuacha tu harufu chooni...Tuupigie Mkojo Kura uingie kwenye maajabu 9 ya dunia,tuma neno MKOJO kwenda namba 15578,utakatwa shilingi 500 tu. Au ingia kwenye tovut www.maajabuyamkojotz.com kisha upige kura yako..