Rais wa CWT amekanusha kile kilichoripotiwa na gazeti la serikali la Habari Leo kwamba Mwalimu Gratian Mkoba alihudhuria na kusaini kitabu cha mahudhurio Shuleni. Amesema atalishtaki gazeti kwa uzushi na amesema atakuwa wa mwisho kurejea kazini.
Source: Clouds FM Mkoba yuko Live
Source: Clouds FM Mkoba yuko Live