MKOBA azushiwa kusaini kitabu cha mahudhurio

Status
Not open for further replies.
Hii kama ni kweli basi inatakiwa kuona ni jinsi gani watu hawa walivyo wanafiki na wazandiki! Hii ni kuwachuza wale anaowaongoza....kwanini akasaini ikiwa wamekubaliana kugoma?!

Ina maana, ikiwa serikali itaamua kuchukua hatua; yeye aseme "sikugoma, si mnaona hata kwenye kitabu cha mahudhurio nipo!" Kama ni kweli, basi huyu mzee Ni Kenge Mzee ndani ya msafara wa Mamba Vijana!! Huu ni usaliti wa hali ya juu!

Usaliti ambao walimu wanapaswa kufahamu wazi kwamba, wao wametangulizwa mbele kama ngao! Hakika; kama walimu wangekuwa wanafahamu wanachokifanya, basi wangekutana mapema iwezekanavyo na endapo itabainika ni kweli Mukoba amesaini kitabu cha mahudhurio basi wampige chini bila kuchelewa. Yeye alitangaza wazi kwamba walimu wote wabaki nyumbani; sasa amesaini vipi wakati yupo nyumbani?!

Hofu yangu nyingine ni kwamba, habari hii inaweza isiwe ya kweli....inaweza isiwe kweli kwamba Mukoba amesaini. Lakini kama kweli amesaini, basi anastaili kuondolewa kwenye nafasi yake bila kusubiri!

Siyo ya kweli. Mkoba hafundishi, ni mwajiriwa wa TTU, labda kama amesaini kuingia ofsini kwake. Hizi propaganda zitaisha lini? Walimu shirikianeni kutatua matatizo yetu badala ya kugawanyika.
 
Kiongozi wa chama cha walimu (CWT) ametajwa kuweka sahihi yake katika kitabu cha mahudhurio ili kuepuka adhabu. Huu ndio usanii wa walimu na mgomo wao feki.

Source: Magazeti asubuhi hii

Kusaini sio kwamba hajagoma,kusaini kitu kingine,kwenda shuleni kitukingine,kuingia Darasani kitukingine!swali la msingi wakienda wanafundisha?au wanaenda kupiga story(kuendeleza mgomo)
 
Anawezaje kuongoza wanaofundisha kama yeye hafundishi. Ni Mwalimu wa Ben Mkapa Sec. School.

Basic Information
Full Name of organization:
Tanzania Teachers Union
Abbreviation:
T.T.U
Physical Address:
Address / P.O. Box:
2006
Telephone:
0784 534 007
Fax:
250 9183
Email:
Website:
Region
Arusha
Leadership Information
Head of organization (Chair,
Board chair, President):
Gratian Mukoba
Name of contact person(ED,
CEO, ES):
Gratian Mukoba
Position of contact person:
Presedent
Female
Male
Number of paid staff:
4
1
Number of volunteers:
0
Registration and Funding
Registration Number:
-
Year of Registration:
1993
Registration (Act)
NGO Act
CBOs Registration
Society Act
Employment & Labour
Relations Act
Companies Act
Trustees Incorporation Act
Usajili mwingine:Maelezo
-
Type of Membership:?
Individual
Association
Network
If Network Membership
specify (TANGO, UNGOZA,
UNGO, LINGONET,
TACOSODE etc)
Annual Budget in Tshs
FROM
TO
TICK
0
5,000,000
5,000,001
10,000,000
10,000,001
50,000,000
50,000,001
100,000,000
100,000,001
300,000,000
300,000,001
500,000,000
500,000,001
1,000,000,000
1,000,000,001
zaidi
Main Source(s) of Funding
(check all that apply):
Membership Fee
Membership
Contribution
Grants
If Grant, who funds
you (mention all)
-
Organization’s Work
Target Group(s) – Check all
that apply:
Children
Orphans
Elderly people
Disabilities
Family
People with HIV/AIDS
Farmers
Populations
Fishermen
Widows
Women
OTHER(Specify)
Youth
Operational Area (check one)
:
Village(s)
National
Ward(s)
District(s)
Region(s)
Shehia
Island
International
Name Area(s):
Arusha Region
Urban/Rural Focus (check
one):
Mjini Urban
Wilayani Rural
Both
Name of the one filling in this
form::
Margareth Hovokera
Position:
T. T. U District Secretary
Telephone:
-
Mobile:
0784 534 007,250 2236
 
Kiongozi wa chama cha walimu (CWT) ametajwa kuweka sahihi yake katika kitabu cha mahudhurio ili kuepuka adhabu. Huu ndio usanii wa walimu na mgomo wao feki.

Source: Magazeti asubuhi hii
Wewe lazima umetumwa na serikali.
 
Gazeti la habari leo-la serikali Dhaifu....!
Mi naamini wamezingua tu hili gazeti,naamini kwenye hiyo shule hayupo pekee,naomba anaefanya kazi na MKOBA shule moja atuambie kuwa jamaa alifika...Gazeti la uhuru na habari leo waache usanii..Waalimu waendelee kukaza tu.
"Vox populi,Vox dei"

Una mtoto au ndugu yako yuko shule na nategemea kufanya mtihani?
 
Kumbe Mukoba ni mtumishi! Hafadhali yeye ni mwajiriwa yanamgusa,lkn kaka mungine yule anaetibiwa ilikuwa inamuwasa pilipili hasiyokula.
 
mtoa mada na mashabiki wake kwenye hii thread ni wavivu wa kufikiri na pia ni wavivu wa kutafuta info.
ili uqualify kupata nafasi chama cha walimu lazima uwe mwalimu ila ukishapata nafasi ya kiutendaji unachukua likizo ya bila malipo kwenye ajira rasmi ya ualimu unabakia na kazi yako ya chama mpaka muda wako ukiisha unarudi tena kwenye ualimu wako na kuchukua kiinua mgongo..hata katibu wa chama cha walimu wa wilaya hafundishi!
 
solidarity forever!! walimu kaza buti mpaka kielewe, serikali-dhaifu imezidi dharau.
 
Hii kama ni kweli basi inatakiwa kuona ni jinsi gani watu hawa walivyo wanafiki na wazandiki! Hii ni kuwachuza wale anaowaongoza....kwanini akasaini ikiwa wamekubaliana kugoma?!

Ina maana, ikiwa serikali itaamua kuchukua hatua; yeye aseme "sikugoma, si mnaona hata kwenye kitabu cha mahudhurio nipo!" Kama ni kweli, basi huyu mzee Ni Kenge Mzee ndani ya msafara wa Mamba Vijana!! Huu ni usaliti wa hali ya juu!

Usaliti ambao walimu wanapaswa kufahamu wazi kwamba, wao wametangulizwa mbele kama ngao! Hakika; kama walimu wangekuwa wanafahamu wanachokifanya, basi wangekutana mapema iwezekanavyo na endapo itabainika ni kweli Mukoba amesaini kitabu cha mahudhurio basi wampige chini bila kuchelewa. Yeye alitangaza wazi kwamba walimu wote wabaki nyumbani; sasa amesaini vipi wakati yupo nyumbani?!

Hofu yangu nyingine ni kwamba, habari hii inaweza isiwe ya kweli....inaweza isiwe kweli kwamba Mukoba amesaini. Lakini kama kweli amesaini, basi anastaili kuondolewa kwenye nafasi yake bila kusubiri!

We lazima umetumwa na magamba au ww mwenyewe ni gamba. Maana mapovu yanakutoka kwa taarifa za tetesi! Kwa taarifa yako ìzo ni propaganda za magamba kuharibu mshìkamano wa walimu na viongozi wao ili kuathìri mgomo kwa faida yao. Soma kila habari hapa kwa jicho la tatu bwana. Vipi wewe?
 
Kiongozi wa chama cha walimu (CWT) ametajwa kuweka sahihi yake katika kitabu cha mahudhurio ili kuepuka adhabu. Huu ndio usanii wa walimu na mgomo wao feki.

Source: Magazeti asubuhi hii

we si mwalimu, mgomo wa walimu unakuwasha nn? Kafie mbali. Unaona walimu wakifanikiwa katika vita yao ya kudai haki utapata hasara gani? Wivu wa kijinga. Kaa pembeni hayakuhusu. Ebo...mijitu mingine bwana...ovyo!
 
Hii kama ni kweli basi inatakiwa kuona ni jinsi gani watu hawa walivyo wanafiki na wazandiki! Hii ni kuwachuza wale anaowaongoza....kwanini akasaini ikiwa wamekubaliana kugoma?!

Ina maana, ikiwa serikali itaamua kuchukua hatua; yeye aseme "sikugoma, si mnaona hata kwenye kitabu cha mahudhurio nipo!" Kama ni kweli, basi huyu mzee Ni Kenge Mzee ndani ya msafara wa Mamba Vijana!! Huu ni usaliti wa hali ya juu!

Usaliti ambao walimu wanapaswa kufahamu wazi kwamba, wao wametangulizwa mbele kama ngao! Hakika; kama walimu wangekuwa wanafahamu wanachokifanya, basi wangekutana mapema iwezekanavyo na endapo itabainika ni kweli Mukoba amesaini kitabu cha mahudhurio basi wampige chini bila kuchelewa. Yeye alitangaza wazi kwamba walimu wote wabaki nyumbani; sasa amesaini vipi wakati yupo nyumbani?!

Hofu yangu nyingine ni kwamba, habari hii inaweza isiwe ya kweli....inaweza isiwe kweli kwamba Mukoba amesaini. Lakini kama kweli amesaini, basi anastaili kuondolewa kwenye nafasi yake bila kusubiri!
[/QUOTE

Asaini kitabu cha mahudhurio cha shule gani?
 
Anawezaje kuongoza wanaofundisha kama yeye hafundishi. Ni Mwalimu wa Ben Mkapa Sec. School.

Hatutaki tetesi sisi, Mtoa hoja lete ukurasa wa kitaabu cha mahudhurio cha huko ben mkapa hapa tuone.
Na hata hivyo walimu hawajamgomea Mkoba, wameigomea serikali.
 
Status
Not open for further replies.

Similar Discussions

Back
Top Bottom