lolypop
JF-Expert Member
- Jul 29, 2015
- 2,430
- 1,681
Tanga transformer inayopeleka umeme miji yote imelipuka. Taarifa kamili inakuja
=====
SHIRIKA LA UMEME TANZANIA (TANESCO)
TAARIFA YA KUOMBA RADHI WATEJA WETU WA MKOA WA TANGA NA KISIWA CHA PEMBA
Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) linawaomba radhi Wateja wake wa Mkoa wa Tanga na Kisiwa cha Pemba kwa katizo la umeme lililotokea leo saa 2:35 usiku na kusababisha Wateja wetu kukosa huduma ya umeme.
SABABU
Kutokea kwa hitlafu ya moto kwenye kituo cha kupoza na kusambaza umeme cha Majani Mapana.
MAENEO YANAYOATHIRIKA
Mkoa wa Tanga na Kisiwa cha Pemba
JITIHADA Wataalamu wetu na mafundi wanaendelea na kazi ya kuhakikisha huduma ya umeme inarejea kwa haraka.
Tunaomba radhi kwa usumbufu unaojitokeza.
Tafadhali usiguse wala kukanyaga waya uliokatika au kudondoka chini, toa taarifa Ofisi za TANESCO zilizo karibu nawe.
Kitengo cha Miito ya Simu 0222194400 na 0768 985100
IMETOLEWA NA: OFISI YA UHUSIANO
TANESCO MAKAO MAKUU
====
UPDATES:
Tunawataarifu Wateja wetu kuwa huduma ya umeme imeanza kurejea kuanzia saa 3:52 usiku kwa Mkoa wa Tanga
=====
SHIRIKA LA UMEME TANZANIA (TANESCO)
TAARIFA YA KUOMBA RADHI WATEJA WETU WA MKOA WA TANGA NA KISIWA CHA PEMBA
Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) linawaomba radhi Wateja wake wa Mkoa wa Tanga na Kisiwa cha Pemba kwa katizo la umeme lililotokea leo saa 2:35 usiku na kusababisha Wateja wetu kukosa huduma ya umeme.
SABABU
Kutokea kwa hitlafu ya moto kwenye kituo cha kupoza na kusambaza umeme cha Majani Mapana.
MAENEO YANAYOATHIRIKA
Mkoa wa Tanga na Kisiwa cha Pemba
JITIHADA Wataalamu wetu na mafundi wanaendelea na kazi ya kuhakikisha huduma ya umeme inarejea kwa haraka.
Tunaomba radhi kwa usumbufu unaojitokeza.
Tafadhali usiguse wala kukanyaga waya uliokatika au kudondoka chini, toa taarifa Ofisi za TANESCO zilizo karibu nawe.
Kitengo cha Miito ya Simu 0222194400 na 0768 985100
IMETOLEWA NA: OFISI YA UHUSIANO
TANESCO MAKAO MAKUU
====
UPDATES:
Tunawataarifu Wateja wetu kuwa huduma ya umeme imeanza kurejea kuanzia saa 3:52 usiku kwa Mkoa wa Tanga