johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,914
- 141,866
Mkuu wa mkoa wa Tabora amesema mkoa wake umepokea vitambulisho vya mjasiriamali 69,000 na ameahidi vyote vitachukuliwa na wajasiriamali.
RC amesema mwaka juzi walipewa vitambulisho 71,000 vikaisha vyote wakawa wa kwanza kitaifa na mwaka jana walipokea vitambulisho 65,000 vikaisha wakawa tena wa kwanza na mwaka huu ana uhakika watakuwa wa kwanza tena.
Source: Channel ten
My take; Huo mtihani anaachiwa RC mpya mh Happi
RC amesema mwaka juzi walipewa vitambulisho 71,000 vikaisha vyote wakawa wa kwanza kitaifa na mwaka jana walipokea vitambulisho 65,000 vikaisha wakawa tena wa kwanza na mwaka huu ana uhakika watakuwa wa kwanza tena.
Source: Channel ten
My take; Huo mtihani anaachiwa RC mpya mh Happi