KELVIN GASPER
JF-Expert Member
- Nov 1, 2010
- 1,066
- 454
Takriban siku ya tatu leo tarehe 29/09/2011 mkoa wa tabora hakuna mgao wa umeme. Hii inawezekana ni moja kati ya kampeni danganya toto za ccm za kuwasahaulisha wana wa tabora mgao wa umeme ili ccm ipigiwe kura katika uchaguzi jimboni igunga. Wakuu hakuna kudanganyika mpaka kieleweke si mnajua tanesco wameshindwa kesi kodi zetu watalipwa dowans muda si mrefu.