Mkoa wa Pwani watoa Mawaziri watano kwenye baraza jipya; ni bahati mbaya au ndiyo tuseme sasa zamu ya watu wa Pwani?

Onyesha basi hiyo National representation imekosekana wapi? Tuna mikoa 31, hebu tuonyeshe mapungufu yapo wapi?

Mbona kama umepanic sana,yani hujibu hoja ya [mention]masopakyindi [/mention] unaanza kumletea hadithi za yeye kuwa legendary tena,au ndiyo nyinyi wa Pwani mmeguswa kidogo tu mnacharuka kama mmetiwa ndimu.
 
Kati yao wanashikilia nguvu kubwa kiasi gani ya kisiasa?

Wana maamuzi gani yanayoweza kutafsriwa kama upendeleo kwa mkoa wanaotoka dhidi ya mikoa mingine?

Kuna uzoefu wowote unaoonesha kuwa uwiano wa mawaziri na manaibu kimikoa una tija kwenye maendeleo ya mikoa hapo nchini?
 
Hebu tupe idadi ya kanda ya ziwa
Kanda ya kaskazini.
Kanda ya nyanda za juu kusini...

Hizi siasa za kifala, watoto wetu watakuja kutudharau sana
Kanda ya kaskazini bila Tanga; kuna waziri mmoja na manaibu watatu. Hiyo ni mikoa mitatu ya Arusha, Kilimanjaro na Manyara.
 
Mtamsingizia mengi ila yeye kama maji ni muhimu kwa uhai wa kila kiishicho.
Leo mtaimba kila aina ya nyimbo ila hazina stepu, akiweka mzanzibar semeni anachagua wa zanzibar, muisilamu semeni ana udini, na leo wa pwani mnahaki ya kusema kwa nn amewateua wa pwani. Ila uzuri tunajua hata asingeteua wa pwani Mngesema kwa nini hateui wa pwani. Mnarudia majalada yale yale kuyasoma endeleeni tu ila yeye anajenga nchi hivyo
 
Mkoa mzima wa Arusha kuna naibu waziri mmoja tu;
Mkoa mzima wa Manyara kuna naibu waziri mmoja tu.
Hivi mkoa wa Morogoro kuna naibu waziri hata mmoja?

Mkoa wa Tanga kuna mawaziri watatu.

Mkoa wa Pwani ndio kama alivyoonyesha mleta mada.

Hivi tunapeleka wapi nchi katika pande hizo za kisiasa?
Badala ya kurekebisha makosa tunaendeleza kwa kulipisa kisasi?
Tunataka kuwaachia watoto na wajukuu nchi ya namna gani?
Tuna mikoa 26!na wizara zaidi ya 30,na nafasi manaibu zaidi ya 30,kila mkoa ungeweza kuwa na nafasi za uwaziri kuanzia mbili.mama kachemka
 
Hebu tupe idadi ya kanda ya ziwa
Kanda ya kaskazini.
Kanda ya nyanda za juu kusini...

Hizi siasa za kifala, watoto wetu watakuja kutudharau sana
Wakati mwingine ni vyema ukaficha upuuzi wako! Mtu anazungumzia mkoa wewe unauliza Kanda! Tukueleweje?
 
Tuna mikoa 26!na wizara zaidi ya 30,na nafasi manaibu zaidi ya 30,kila mkoa ungeweza kuwa na nafasi za uwaziri kuanzia mbili.mama kachemka
Mikoa ya Rukwa na Morogoro haijapata waziri wala naibu hata mmoja. Kama yupo naomba nisahihishwe.
Unachukuaje mawaziri 3 kutoka mkoa wa Tanga, mawaziri na manaibu kutoka majimbo karibia yote ya mkoa wa Pwani
Lkn mikoa ya Morogoro na Rukwa haina hata naibu waziri?
Hilo baraza lina sura ya kitaifa kweli?
 
1. Ridhiwani Kikwete Mbunge wa Chalinze

2. Mchengelwa Mbunge wa Rufiji

3. Jafo Mbunge wa Kisarawe

4. Kipanga Mbunge wa Mafia

5. Juma Ulega Mbunge wa Mkuranga

Je, upi mchango wa mkoa wa Pwani kwenye uchumi wa Tanzania? Upi mchango wa Pwani kwenye kura za Uchaguzi Tanzania? Upi mchango wa Wabunge Hawa kwenye mikakati ya Taifa?

Lakini pia nikimaliza kushangaa Pwani najiuliza ni kweli sub ya Mchengelwa pale ofisi ya RAIS Utumishi ni Jenister Mhagama? Kwamba Jenister akatatue changamoto za Utumishi nchini?
Jenister is the next PM
 
Back
Top Bottom