ndege JOHN
JF-Expert Member
- Aug 5, 2015
- 19,553
- 44,722
Kilimanjaro Ina 13,250 km2 wakati liwale iliyopo Lindi ambao ni mkoa wa tatu kwa ukubwa Tanzania Ina zaidi ya hizo. Cha kuchekesha ni kwamba Burundi ukubwa wake ni mara mbili ya Kilimanjaro lakini ukicheki population utaona Kilimanjaro Ina watu zaidi ya 1.6 M wakati Lindi ina watu chini ya 1 M Na sababu kubwa inasemekana Lindi kihistoria ilikuwa war zone enzi za wakoloni pia Kawawa na sera zake za ujamaa ilifanya wahindi wengi wafanyabiashara kukimbia Lindi kuja Kariakoo.
Pia Kilimanjaro imekuwa kwa sababu ya kuwa na vyama vya ushirika imara historia inasema hivyo. Ombi la msingi ni kwamba tunaomba mkoa wa Lindi ugawanywe
Pia ingependeza Kilimanjaro itangazwe zaidi kwani Kenya wanaitumia sana kujitangaza maana mlima Kilimanjaro unaonekana tokea Nairobi.
Nadhani ujanja ujanja tu umetumika kuifanya Kilimanjaro iwe hivi Ilivyo ila sio kesi ipeni hadhi ya jiji ili utalii ukue.
Pia Kilimanjaro imekuwa kwa sababu ya kuwa na vyama vya ushirika imara historia inasema hivyo. Ombi la msingi ni kwamba tunaomba mkoa wa Lindi ugawanywe
Pia ingependeza Kilimanjaro itangazwe zaidi kwani Kenya wanaitumia sana kujitangaza maana mlima Kilimanjaro unaonekana tokea Nairobi.
Nadhani ujanja ujanja tu umetumika kuifanya Kilimanjaro iwe hivi Ilivyo ila sio kesi ipeni hadhi ya jiji ili utalii ukue.