Elections 2010 Mkoa wa kagera wizi mtupu

Amini usiamini, utafiti nilioufanya jana katika vituo mbalimbali vya kupigia kura katika wilaya za Karagwe, Ngara na Misenyi unaonesha 40% ya kura watakazopata CCM zinatoka kwa raia wa Rwanda, Burundi, DRC na Uganda.

Fotokopi za Hati za Uraia na Vibali vya kuishi nchini vya Wageni hao ninazo, na pia fotokopi za kadi za kupigia kura pia ninazo.

Zitunze saaaana hizo na baadaye tutampa Marando azishughulikie
 
Wakati naendelea kusikitika kwa kushindwa vibaya huko Kagera hii ya kuwaita watu wakimbizi kwenye nchi yao ni mbaya na ilikuwa sera ya CCM. So stop it! Daftari lilikuwepo kwa nini hakukuwepo kulalamika! Hata hivyo uko karagwe nasikia hakijaeleweka si kwa CCM wala Chadema
 
amini usiamini, utafiti nilioufanya jana katika vituo mbalimbali vya kupigia kura katika wilaya za karagwe, ngara na misenyi unaonesha 40% ya kura watakazopata ccm zinatoka kwa raia wa rwanda, burundi, drc na uganda.

Fotokopi za hati za uraia na vibali vya kuishi nchini vya wageni hao ninazo, na pia fotokopi za kadi za kupigia kura pia ninazo.

ccm ni majizi sana nawachukia daima kila kitu mpaka wachakachue lakini nadhani sasa wanaamini chadema ni moto wa kuotea mbali
 
Nakuomba pia uzitunze, lazima tuwaburuze mahakamani. Natoka Ngara, nasikia Ntukamazina (CCM) alipiga kampeni akiwa amekalia kiti, kiuno kwishnei, sipendi CCM wala nini!
 
Zipeleke hizo kwa wakuu wa CHADEMA. Usisubiri hadi kura zitangazwe mkuu.
 
Kama CCM watashinda basi mahakamani tu chadema inabidi ielekee hakuna jingine hapo................
 
the dreamer nakusikitikia sana. Kuna Watanzania kweli wanasingiziwa kuwa si raia, lakini je wale wenye vyeti vya kupiga kura Uganda na Tanzania hao ni raia wa nchi gani? Pia wanaishi kwa Residence Permit hivi hawa kweli ni raia? Wanyarwanda nchi yao inaruhusu Dual Citizenship, Tanzania hatuna hiyo lakini jamaa wamepiga kura. Kubali au kataa, Wageni wameipa kura CCM
 
the dreamer nakusikitikia sana. Kuna Watanzania kweli wanasingiziwa kuwa si raia, lakini je wale wenye vyeti vya kupiga kura Uganda na Tanzania hao ni raia wa nchi gani? Pia wanaishi kwa Residence Permit hivi hawa kweli ni raia? Wanyarwanda nchi yao inaruhusu Dual Citizenship, Tanzania hatuna hiyo lakini jamaa wamepiga kura. Kubali au kataa, Wageni wameipa kura CCM

Naamini maneno yako lakini labda iwe mijini maana vijijini hiyo ni ngumu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom