Mkoa wa Kagera na changamoto zake

chizcom

JF-Expert Member
Jul 31, 2016
7,581
15,709
nimefurahi sana kuja mkoa huu tena bukoba na kwenda kutembea vijiji vya ndani ndani kabisa.

katika vitu tanzania tumebarikiwa mikoa yote kuwa na maeneo mazuri yenye rutuba na vyanzo vya maji sehemu kubwa kama mito na maziwa.

swala la umeme kwa serikali imejitahidi kupeleka vijijini ndani kwa asilimia kubwa kabisa.

changamoto za mkoa wa kagera :
uwekezaji ni wakusita sana baadhi ya maeneo kama viwanda vya kuzalisha.

tunafahamu mkoa wa kagera kuwa na mazao makubwa kama ndizi,maharage,kahawa na vanira.

ila nitapenda kueleza zao la ndizi kwa mkoa wa kagera.
nimejifunza kitu kimoja nchini mexico kwenye mmea wa katani kuzalisha kinywaji ambacho kwa jina takila.

kagera ina aina ya ndizi ambazo zinatengeneza wiski au gongo ambayo kama kiwanda kikiwepo basi na sisi tanzania tunaweza kushindana na zile pombe kali pure.

achana na haya mapombe ya kemikali yana mix na vionjo.


wawekezaji wa hii kama mtakuwa mnaelewa.

changamoto ya kagera 2

swala la ufugaji linakuwa kwa kasi na idadi ya mifugo kuongezeka kwa kasi.
mifugo imekuwa mingi na mengine kutokea nchi jirani na kuharibu asili ya maeneo.

changamoto ya kagera 3

wakulima wengi bado elimu ya kulima ni ndogo na kushindwa kujaribu aina mazao mengine kukalia zao moja tu.


changamoto ya kagera 4

jografia ya kagera kuanzia barabara ni hatari kama gari breki sio nzuri,unaweza kupata tatizo.
 
Nimekusoma.Kagera ikikazania kulima zao la vanila mikoa mingine itasubiri aisee.maeneo mengi wamyaharibu namiti ya paini avocado jina ya hansi inastawi sana, embo dodo la kilo moja nayo yanastawi bado tangawizi, na magimbi.
 
Nimekusoma.Kagera ikikazania kulima zao la vanila mikoa mingine itasubiri aisee.maeneo mengi wamyaharibu namiti ya paini avocado jina ya hansi inastawi sana, embo dodo la kilo moja nayo yanastawi bado tangawizi, na magimbi.
Hivi unajua investment ya kulima vanila,sio zao la wanyonge lile,ulinzi wa shamba kama ikulu
 
Bukoba mjini kuwa kama bagamoyo majumba yanageuka magofu,standi ya mkoa inazidiwa hata na standi ya daladala ya segerea
 
nimefurahi sana kuja mkoa huu tena bukoba na kwenda kutembea vijiji vya ndani ndani kabisa.

katika vitu tanzania tumebarikiwa mikoa yote kuwa na maeneo mazuri yenye rutuba na vyanzo vya maji sehemu kubwa kama mito na maziwa.

swala la umeme kwa serikali imejitahidi kupeleka vijijini ndani kwa asilimia kubwa kabisa.

changamoto za mkoa wa kagera :
uwekezaji ni wakusita sana baadhi ya maeneo kama viwanda vya kuzalisha.

tunafahamu mkoa wa kagera kuwa na mazao makubwa kama ndizi,maharage,kahawa na vanira.

ila nitapenda kueleza zao la ndizi kwa mkoa wa kagera.
nimejifunza kitu kimoja nchini mexico kwenye mmea wa katani kuzalisha kinywaji ambacho kwa jina takila.

kagera ina aina ya ndizi ambazo zinatengeneza wiski au gongo ambayo kama kiwanda kikiwepo basi na sisi tanzania tunaweza kushindana na zile pombe kali pure.

achana na haya mapombe ya kemikali yana mix na vionjo.


wawekezaji wa hii kama mtakuwa mnaelewa.

changamoto ya kagera 2

swala la ufugaji linakuwa kwa kasi na idadi ya mifugo kuongezeka kwa kasi.
mifugo imekuwa mingi na mengine kutokea nchi jirani na kuharibu asili ya maeneo.

changamoto ya kagera 3

wakulima wengi bado elimu ya kulima ni ndogo na kushindwa kujaribu aina mazao mengine kukalia zao moja tu.


changamoto ya kagera 4

jografia ya kagera kuanzia barabara ni hatari kama gari breki sio nzuri,unaweza kupata tatizo.
changamoto inayosumbua kagera ni ulimbukeni wa kuongea kilugha mpaka kwa wateja kwenye biashara
 
1 Reactions
Reply
Back
Top Bottom