Mkoa wa Kagera hauendani na wao wanavyoudhania

Cjui wahaya tuliwakosea nn wakati ata hzo hyo elimu iliyokufkisha hapo ulipo 60% umefundishwa na walimu wa kihaya.

Alafu hzo takwimu za umasikini nafkl wakiofanya utafti kuna kitu wanapungukiwa kichwani sio bule eti kagera ni yatatu kwa umasiki? Kweli akina Jecha wapo kila sehemu.
Sijawahi fundshwa na Kwa mwalimu wa kihaya, uchagani elimu ipo tangu enzi za mkoloni hadi mtawala wa kichaga mangi mareale alikuwa msomi wa masters degree kutoka Cambridge mwaka 1942
Nimepiga undergraduate udsm chini ya Prof Mtui na Prof Mushi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cjui wahaya tuliwakosea nn wakati ata hzo hyo elimu iliyokufkisha hapo ulipo 60% umefundishwa na walimu wa kihaya.

Alafu hzo takwimu za umasikini nafkl wakiofanya utafti kuna kitu wanapungukiwa kichwani sio bule eti kagera ni yatatu kwa umasiki? Kweli akina Jecha wapo kila sehemu.
Ikiwa muleba pekee vijijin 35 Hakuna umeme mtaachaje kuwa wa 3 kwa umaskini ?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wala usihangaike na hizo tafiti, waliishia kufanya sampling biharamuro wakasema ndo Kagera tayari

Sent using Jamii Forums mobile app
Una akili kuliko Nbs ?
Acha kujivika upofu mkuu
Nbs wapo watafiti professional ww upo nyuma ya keyboard unapiga piga kelele,kiufupi nbs wanaangalia makazi,per capita income individual's,hali ya uuzalishaji,huduma za kijamii, miundombn,ratio ya kuzaliana nk

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hahaha kwahiyo hapa ni geita,kahama,au singida? Si ndio bukoba yenu?View attachment 1014488

Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa hyo hapa hupaoni au?? Huchelewi kusema hapo ni Uganda ndo mnasemaga mkiishiwa point
38047050_1933002100071362_1198838179629629440_n.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mbali na ilo kilimanjaro mbali na kujilinganisha na kagera wanasahau kuwa uwepo wa mlima kilimanjaro unawapa faida kubwa sana kwenye ukuaji wa uchumi na pato la mkoa kwa sababu watalii kila mwaka wanakuja maelfu kwa maelfu.

Kama sio mlima kilimanjaro nafikili moshi ata lindi ingekuwa inawazidi mbali sana. Ata kahawa yetu tunazalisha sisi kagera serikali haitaki tufanye biashara kwa faida kwa kuwauzia majirani zetu Uganda eti mpaka iletwe kwenye mnada wa kimataifa wa kahawa moshi. Yani kahawa tuzalishe sisi kodi mpate nyie uko kwenu? Pumbavu kabisa pungwani wa head.
Wewe kweli umekunywa rubisi
Nyie kagera mpo na ziwa Victoria ni mahela tupu,mkoa wenu mkubwa Kilimandjaro inaingia kwa kagera Mara 4 sasa mnashindwaje kuwa matajir? Kilimanjaro licha ya mlima,watu wake ni wachapakazi wazuri ww ni Shahid kuna idara yoyote utamkosa mchaga? Kwenye elimu ni idara ipi mchaga hayupo? Ukija kiuchumi ndio haswaa mabilionea wazawa 80% wachaga tukianza na mengi, Precision air,davis mosha nk
kampuni za mabasi tz nzima 55% zinamilikiwa na watu wa Kilimanjaro kwa Hali hiyo mkoa utaachaje kupaa kiuchumi? Nyie kagera mkiacha uvivu na kuzaliana hovyo mtaendelea

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kweli mkuu, hapa Uganda kuna bei nzuri Sana ila ndo hivo serikali ya wanyonge ipo inawanyonga but pm alisema kahawa yote ya Kagera itauziwa hukohuko kuanzia msimu wa mwaka huu, tusubiri tuone

Sent using Jamii Forums mobile app
Kilimanjaro hatutegemei mlima,wana Kilimanjaro ni wachapakazi wanathamin kwao ndio Siri ya maendeleo waulila?
Waitu nyegera

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom