Beatrice Kamugisha
JF-Expert Member
- May 18, 2019
- 762
- 6,980
Kwanza niseme bunge la sasa laweza vunja rekodi ya utoro, viti asilimia kubwa vipo empty.
Lakini Mkoa wa Arusha umekuwa ukituma watu wenye tija kwa nchi Bungeni, leo hii hakuna Mbunge hata mmoja anayezungumza Bungeni ni kama hakuna wawakilishi
Kagera tofauti na Mbunge wa viti maalumu wengine wote wapo likizo. Nini kimewafanya Wananchi kupeleka watu wasiotambua majukumu yao?
Lakini Mkoa wa Arusha umekuwa ukituma watu wenye tija kwa nchi Bungeni, leo hii hakuna Mbunge hata mmoja anayezungumza Bungeni ni kama hakuna wawakilishi
Kagera tofauti na Mbunge wa viti maalumu wengine wote wapo likizo. Nini kimewafanya Wananchi kupeleka watu wasiotambua majukumu yao?