BIG Banned
JF-Expert Member
- May 4, 2012
- 262
- 71
Mdee this time simsikii kabisa bungeni!! magamba wamefanya nini!.
Mkoa mzima wa Dar Es Salaam una mbunge mmoja wa jimbo la Ubungo, Mh. John John Mnyika! Anayebisha amtaje mbunge mwingine kama yupo tofauti na Mnyika.
Mkoa mzima wa Dar Es Salaam una mbunge mmoja wa jimbo la Ubungo, Mh. John John Mnyika! Anayebisha amtaje mbunge mwingine kama yupo tofauti na Mnyika.[/QUOTE ni halima mdee kaka
Kuna mbunge wa jimbo la Kigamboni Mh. Dk. NDUGULILE (gamba) nae hasikiki kabisa au nae Kaenda kwenye Mgomo wa madaktari wenzake?