Mzee,Asante kwa rekodi zako na utafiti ulioufanya kama data hizi ni za kweli.Ni kweli kabisa Bariadi iko mbele kiuchumi na Kimaendeleo kwa ujumla. Kwa vile Maswa iko nyuma basi ni busara kuifanya makao makuu ili nayo ipae hadi kuipita Bariadi. Naamini hii ndo njia pekee ya kuikwamua Maswa. Tatizo la Mswa ni kama "Land locked state". Haina access na barabara kuu yoyote inayotoka nje ya nchi. Imewekwa kati na wilaya zote.Bariadi ina- enjoy kuwa mwishoni mwa mkoa wa Shy ikipakana na Arusha. Naomba busara kidogo tu itumike kerejesha makao makuu Maswa kama ilivyokuwa imepangwa awali. Tusilete siasa na ubinafsi hapa.