Mkoa gani kuna wafugaji wa ng'ombe wengi, ambapo nitaweza kununua maziwa kwa wingi kuanzia lita 500 nakuendelea?

Kweli aisee , nami nimeona hilo. Nawaza kama kuna lolote linalofanyika kuongeza thamani...
Sent using Jamii Forums mobile app
Kuna wizara nyingine unajiuliza ni za kazi gani....

Mkuu hivi unajua kama Tanzania ni ya 11, kwa uzalishaji wa Nazi duniani na ya kwanza Africa kwa uzalishaji wa Nazi, lakini tunaangiza tani kwa tani za Nazi kutoka Kenya..... Yaaani kuna viongozi wa hii nchi ni mizingo
 
Naomba kuuliza kwa wafugaji miliko kuanzia kibaha mpaka mlandizi nasikia kunamajani Ngombe Mbuzi wakiyala wanakufa ghafla, hiichqngamoto nasikia ni kubwa mnakabiliana nayo vipi?. Ninashamba kongowe soga nataka nianze ufugaji wa ngombe wa maziwa na mbuzi. Naomba ushauri tafadhali.

Sent using Jamii Forums mobile app
ni kweli mkuu, na kwa wale wanaochunga mifugo ndo wanapata pigo kubwa zaidi
 
Kuna wizara nyingine unajiuliza ni za kazi gani....

Mkuu hivi unajua kama Tanzania ni ya 11, kwa uzalishaji wa Nazi duniani na ya kwanza Africa kwa uzalishaji wa Nazi, lakini tunaangiza tani kwa tani za Nazi kutoka Kenya..... Yaaani kuna viongozi wa hii nchi ni mizingo
Kabla ujamlaumu yoyote je unafanya wajibu wako wa kunywa lita 0.6...au lita 200 kwa mwaka as recommended by WHO????????
 
Naomba kuuliza kwa wafugaji miliko kuanzia kibaha mpaka mlandizi nasikia kunamajani Ngombe Mbuzi wakiyala wanakufa ghafla, hiichqngamoto nasikia ni kubwa mnakabiliana nayo vipi?. Ninashamba kongowe soga nataka nianze ufugaji wa ngombe wa maziwa na mbuzi. Naomba ushauri tafadhali.

Sent using Jamii Forums mobile app
Tafuta mtaalamu wa mifugo akusaidie kuya identify hayo majani kwenye eneo lako na namna ya kuyatokomeza, pia kama uwezo unaruhusu pandikiza majani lishe (feed)

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Naomba kuuliza kwa wafugaji miliko kuanzia kibaha mpaka mlandizi nasikia kunamajani Ngombe Mbuzi wakiyala wanakufa ghafla, hiichqngamoto nasikia ni kubwa mnakabiliana nayo vipi?. Ninashamba kongowe soga nataka nianze ufugaji wa ngombe wa maziwa na mbuzi. Naomba ushauri tafadhali.

Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu hayo majani yapo.

Ni majani fulani yanafanana na mtama... Yaani kwanzia uotaji wake hadi yanapokomaa ni kama mtama na yenyewe yanachanua kama mtama.

Majani haya hudhuru mifugo endapo wakila yakiwa bado hayajakomaa ila yakikomaa hadi stage ya shina lake kupata pingili au kuchanua hayadhuru.

Kinachodhuru yakiwa malaini (hayajakomaa) ni kwamba kati kati ndani kuna maji maji fulan ambayo ndio sumu.

Akila hasa haichukui hata dakik nyingi ng'ombe anajaa gesi tumboni hapo hapo hufa.

Majani haya huota hasa sehemu za mabonde.
 
Steven Nguma na mtama pia vivyo hivyo kama yalivyo hayo majani.

Cha kufanya ni uyafahamu tu hayo majani na mtama kuwa yanadhuru na kuepuka kuwalisha mifugo yako hadi yatakapochanua au kukomaa.

Tiba yake endapo ng'ombe akila ni kuchanganya chumvi kwenye maji na kumnywesha. Unaweza kumpa maziwa pia ila uchanganye na maji kidogo (sio maziwa tupu) na haya yote endapo utagundua mapema na kumuwahi.

Haya yote ni kutokana na uzoefu wangu.
 
Naomba kuuliza kwa wafugaji miliko kuanzia kibaha mpaka mlandizi nasikia kunamajani Ngombe Mbuzi wakiyala wanakufa ghafla, hiichqngamoto nasikia ni kubwa mnakabiliana nayo vipi?. Ninashamba kongowe soga nataka nianze ufugaji wa ngombe wa maziwa na mbuzi. Naomba ushauri tafadhali.

Sent using Jamii Forums mobile app
Kuna jirani yangu walikufa ngombe 10 kwa kula hayo majani ,waliyafata huko mlandizi
 
Kuhusu maziwa yanapatikana kwa wingi na ubora hapo chawakimu njia ya kwenda kwa sumaye /kisarawe ...kituo Cha kiluvya madukabi Bei 1600 fresh mtindi 1800

Wanayo kwa wingi Sana !
 
Habari zenu wana hili jukwaa?

Mimi nipo Dar nilikua natafuta mahala au mkoa ambao uko karibu na Dar ambapo nitaweza kupata wafugaji wa ng'ombe kwa wingi ili niweze kununua maziwa mazuri ya ng'ombe hasa kuanzia lita 500 nakuendelea, naomba mnisaidie kwa wanaojua hata ikiwezekana contacts za wafugaji. Ahsanteni

Sent using Jamii Forums mobile app
Maziwa yapo mengi sana, tembelea Pingo, Mbala, Msoga, Enaboishu, Chalinze nk utapata maziwa ya kutosha, inabidi ufungue kituo cha kupokelea maziwa uwe na tank la kupokelea lenye ujazo walita walao 800 na lina weza kupooza
 
Sio hayo tu yapo aina nyingi sana mkuu majani ambayo ni sumu
Mkuu hayo majani yapo.

Ni majani fulani yanafanana na mtama... Yaani kwanzia uotaji wake hadi yanapokomaa ni kama mtama na yenyewe yanachanua kama mtama.

Majani haya hudhuru mifugo endapo wakila yakiwa bado hayajakomaa ila yakikomaa hadi stage ya shina lake kupata pingili au kuchanua hayadhuru.

Kinachodhuru yakiwa malaini (hayajakomaa) ni kwamba kati kati ndani kuna maji maji fulan ambayo ndio sumu.

Akila hasa haichukui hata dakik nyingi ng'ombe anajaa gesi tumboni hapo hapo hufa.

Majani haya huota hasa sehemu za mabonde.
 
Habari zenu wana hili jukwaa?

Mimi nipo Dar nilikua natafuta mahala au mkoa ambao uko karibu na Dar ambapo nitaweza kupata wafugaji wa ng'ombe kwa wingi ili niweze kununua maziwa mazuri ya ng'ombe hasa kuanzia lita 500 nakuendelea, naomba mnisaidie kwa wanaojua hata ikiwezekana contacts za wafugaji. Ahsanteni

Sent using Jamii Forums mobile app
Njoo Shinyanga maziwa utayakimbia ndugu
 
Back
Top Bottom