Waziri wa Kaskazini
JF-Expert Member
- Dec 12, 2015
- 6,919
- 14,597
Tanzania inazalisha maziwa mengi sana kupitia hizi comment chache zinatoa uthibitisho..Kama Uko Serious, Maziwa Yapo Rufiji Huku, Lita 500,chache sana, ukitaka mawasiliano niko mhoro rufiji, elfu 7000, nauli to dar,
Bado serikali inaruhusu uigizwaji wa maziwa kutoka nje...