nisheke
Member
- Sep 21, 2016
- 59
- 54
aiseeee yuko vzur sana, safi sana..
hawa ndo wanaohtajka...
Ni mbunifu ,
hakalili
bila shaka atakuwa vzur hata sekta zngne maana ameonesha ubunifu wa hali ya juu
Au chapati ni lazma iwe ya duara jamn?
m nadhan content ndo cha maana umbo ni ubunifu wako tu so anaweza tengeneza chapat ya triangle, rectangle au hata shapeless