Mkoa au Wilaya gani naweza kwenda kuanza maisha kutoka chini kabisa (from zero)?

emmarki

JF-Expert Member
Nov 22, 2012
682
918
Baada ya kufanya kazi ya huduma kwa wateja vodacom, kwa zaidi ya mwaka mmoja chini ya kampuni ya outsourcing.

Nimeacha kazi baada ya kuona sisogei kimaendeleo licha ya kujinyima sana na kutumia njia nyingi kujaribu kuweka akiba lakini inashindikana kwa sababu mshahara ni mdogo sana na tayari nina majukumu ya kulea mtoto.

Mshahara ni laki mbili gross, ikikatwa makato mengine ni kupokea laki na sabini na vichenji.

Naomba ushauri, ni mkoa gani naweza kwenda kuanza maisha chini kabisa na shughuli gani naweza fanya kwa mtaji mdogo kuanzia laki moja na ikafanikiwa kukua? Mkoa iwe nje ya Dar es Salaam.
 
Naisi,,,,kwa dsm hapo ndo penyewe huku mkoani ....tatizo mpaka uwe na connection.... na wenyeji...lakin dar iyo laki1 ukiweza kuwa unapoint nguo za mtumba zile Kali unakuwa unaweza kuuza nakusavaivu
Mkuu mi napenda kuzalisha, shughuli kama kilimo na ufugaji ndo napenda. target yangu nianzie from zero lakini naangalia uwezekano wa kutanuka zaidi kuelekea kwenye shughuli kubwa za kuzalisha
 
Baada ya kufanya kazi ya huduma kwa wateja vodacom, kwa zaidi ya mwaka mmoja chini ya kampuni ya outsourcing.

Nimeacha kazi baada ya kuona sisogei kimaendeleo licha ya kujinyima sana na kutumia njia nyingi kujaribu kuweka akiba lakini inashindikana kwa sababu mshahara ni mdogo sana na tayari nina majukumu ya kulea mtoto.

Mshahara ni laki mbili gross, ikikatwa makato mengine ni kupokea laki na sabini na vichenji.
Naomba ushauri ni mkoa gani naweza kwenda kuanza maisha chini kabisa na shughuli gani naweza fanya kwa mtaji mdogo kuanzia laki moja na ikafanikiwa kukua. Mkoa iwe nje ya dar es salaam.
Kuna mtu aliniambia Chato is a new Dar Es Salaam
Jaribu kwenda huko
 
Baada ya kufanya kazi ya huduma kwa wateja vodacom, kwa zaidi ya mwaka mmoja chini ya kampuni ya outsourcing.

Nimeacha kazi baada ya kuona sisogei kimaendeleo licha ya kujinyima sana na kutumia njia nyingi kujaribu kuweka akiba lakini inashindikana kwa sababu mshahara ni mdogo sana na tayari nina majukumu ya kulea mtoto.

Mshahara ni laki mbili gross, ikikatwa makato mengine ni kupokea laki na sabini na vichenji.
Naomba ushauri ni mkoa gani naweza kwenda kuanza maisha chini kabisa na shughuli gani naweza fanya kwa mtaji mdogo kuanzia laki moja na ikafanikiwa kukua. Mkoa iwe nje ya dar es salaam.
Nenda mikoa ya Nyanda za Juu Kusini
 
Back
Top Bottom