Mfarisayomtata
JF-Expert Member
- Feb 2, 2012
- 474
- 188
Kuna madogo walikuwa wanaingie 1st year mwaka huu wengine waliahidi kujenga nyumba kwa hela ya boom, kununua mbuzi wa kufuga, kusomesha wadogo zao, n.k. Mbona hamleti ripoti ya hayo yote?? Au hata pesa ya "Bando" mmekosa tuwatumie?¿