mkjj na wenziwe nafasi ndio hiii msilaze damu!!

Mtu wa Pwani

JF-Expert Member
Dec 26, 2006
4,184
671
mkuu mwanakijiji na wenzio kama mna sifa zilizotajwa jitupeni kuomba hio nafasi.

ili tuone huo uzalendo wenu vipi unaweza kusaidia kuleta changamotoza maendeleo tanzania.



Katika hatua nyingine, mwandishi wetu Grace Michael anaripoti kuwa Ikulu ya Dar es Salaam imetangaza nafasi mbalimbali za kazi zikiwemo nafasi nne za wanahabari ambao watafanyakazi mbalimbali katika ofisi hiyo.

Kwa mujibu wa tangazo lililotolewa na Ikulu jana kwa vyombo mbalimbali vya habari na ambalo tumelichapisha katika ukurasa wa 24 na 25 wa gazeti hili, nafasi za wanahabari ni ile ya Ofisa Habari Mwandamizi ambazo ni nafasi mbili pamoja na Ofisa Habari Mkuu II nafasi mbili.

Kwa mujibu wa tangazo hilo waombaji katika nafasi ya Ofisa Habari Mwandamizi watatakiwa kuwa na umri usiozidi miaka 40 na raia wa Tanzania, wawe na shahada ya kwanza au stashahada ya juu ya uandishi wa Habari au sifa inayolingana nayo kutoka vyuo vinavyotambuliwa na Serikali pamoja na uzoefu wa kazi kwa muda wa miaka mitano.

Kwa mujibu wa nafasi hii kazi zinazotakiwa kufanywa na wahusika endapo watapata nafasi hizi ni pamoja na kutoa ushauri katika masuala ya habari, kuendesha tafiti katika masuala ya habari na kazi zinginezo.

Katika nafasi ya Ofisa Habari Mkuu II waombaji wanatakiwa kwanza kuwa watumishi wa Serikali, awe raia wa Tanzania na umri usiozidi miaka 40, shahada ya uzamili ya uandishi wa habari pamoja na uzoefu usiopungua miaka saba.

Tangu alipoingia madarakani Desemba, 2004 Rais Kikwete aliahidi na hatimaye baadaye akatekeleza uundaji mpya wa idara ya mawasiliano kwa kuanzisha Kurugenzi ambayo inaongozwa na mwandishi wa habari veterani Salva Rweyemamu.

source: http://www.majira.co.tz/kurasa.php?soma=tanzania&habariNamba=6383
 
mkuu mwanakijiji na wenzio kama mna sifa zilizotajwa jitupeni kuomba hio nafasi.

ili tuone huo uzalendo wenu vipi unaweza kusaidia kuleta changamotoza maendeleo tanzania.



Katika hatua nyingine, mwandishi wetu Grace Michael anaripoti kuwa Ikulu ya Dar es Salaam imetangaza nafasi mbalimbali za kazi zikiwemo nafasi nne za wanahabari ambao watafanyakazi mbalimbali katika ofisi hiyo.

Kwa mujibu wa tangazo lililotolewa na Ikulu jana kwa vyombo mbalimbali vya habari na ambalo tumelichapisha katika ukurasa wa 24 na 25 wa gazeti hili, nafasi za wanahabari ni ile ya Ofisa Habari Mwandamizi ambazo ni nafasi mbili pamoja na Ofisa Habari Mkuu II nafasi mbili.

Kwa mujibu wa tangazo hilo waombaji katika nafasi ya Ofisa Habari Mwandamizi watatakiwa kuwa na umri usiozidi miaka 40 na raia wa Tanzania, wawe na shahada ya kwanza au stashahada ya juu ya uandishi wa Habari au sifa inayolingana nayo kutoka vyuo vinavyotambuliwa na Serikali pamoja na uzoefu wa kazi kwa muda wa miaka mitano.

Kwa mujibu wa nafasi hii kazi zinazotakiwa kufanywa na wahusika endapo watapata nafasi hizi ni pamoja na kutoa ushauri katika masuala ya habari, kuendesha tafiti katika masuala ya habari na kazi zinginezo.

Katika nafasi ya Ofisa Habari Mkuu II waombaji wanatakiwa kwanza kuwa watumishi wa Serikali, awe raia wa Tanzania na umri usiozidi miaka 40, shahada ya uzamili ya uandishi wa habari pamoja na uzoefu usiopungua miaka saba.

Tangu alipoingia madarakani Desemba, 2004 Rais Kikwete aliahidi na hatimaye baadaye akatekeleza uundaji mpya wa idara ya mawasiliano kwa kuanzisha Kurugenzi ambayo inaongozwa na mwandishi wa habari veterani Salva Rweyemamu.

source: http://www.majira.co.tz/kurasa.php?soma=tanzania&habariNamba=6383


trust me mwanakijiji, hii kazi watu washapewa tayari,yaani hizi ni formalities tu!! Waste not your time and energy!!After all your greatly needed,HERE!!
 

trust me mwanakijiji, hii kazi watu washapewa tayari,yaani hizi ni formalities tu!! Waste not your time and energy!!After all your greatly needed,HERE!!

Huu ndio woga tunaoukataa
Watanzania wengi hua tupowaoga sijui nini kinachotufanya tuwe hivyo,hata nafasi za UN wengi hua wanaziogopa wakati mataifa mengine wanajitupa na wanapata.

wewe kama unasifa omba acha visingizio vya woga.Na hata hivyo usijaribu kutoa hukumu kabla ya kesi kufika mahakamani.

Wenye sifa ombeni nafasi hizo acheni uoga.
 
Well, kutokana na busara za mzee wetu mkulima nadhani kesha pita huo umri wa miaka 40, sasa labda apunguze umri wake maanake Kibongo bongo inawezekana kabisa.
Bila shaka mwanakijiji atachukua nafasi hii na pengine anaweza kuleta mabadiliko ktk utoaji habari za Ikulu kulingana na nchi za magharibi... Mathlan kuanzisha msemaji mkuu wa Ikulu ambaye kila siku asubuhi atakutana na vyombo vya habari kuwapa up date na pia kujibu maswali ambayo waandishi watahitaji ufafanuzi.
Ikulu yetu imekuwa jumba la kutotabirika na kumekuwepo na gap kubwa sana kati ya Ikulu na wananchi...
Tatizo langu kubwa ni huyo Salva Rweyemamu, huwa haeleweki mara nyingine maana namwona kama ana akili mgando vile!
 
nyinyi hamnitakii mema!!! kunitupa kwenye kambi ya chui baada ya kujeruhi watoto wake ndio nini? Wakinibangusilo je...?
 
mkuu mwanakijiji na wenzio kama mna sifa zilizotajwa jitupeni kuomba hio nafasi.

ili tuone huo uzalendo wenu vipi unaweza kusaidia kuleta changamotoza maendeleo tanzania.



Katika hatua nyingine, mwandishi wetu Grace Michael anaripoti kuwa Ikulu ya Dar es Salaam imetangaza nafasi mbalimbali za kazi zikiwemo nafasi nne za wanahabari ambao watafanyakazi mbalimbali katika ofisi hiyo.

Kwa mujibu wa tangazo lililotolewa na Ikulu jana kwa vyombo mbalimbali vya habari na ambalo tumelichapisha katika ukurasa wa 24 na 25 wa gazeti hili, nafasi za wanahabari ni ile ya Ofisa Habari Mwandamizi ambazo ni nafasi mbili pamoja na Ofisa Habari Mkuu II nafasi mbili.

Kwa mujibu wa tangazo hilo waombaji katika nafasi ya Ofisa Habari Mwandamizi watatakiwa kuwa na umri usiozidi miaka 40 na raia wa Tanzania, wawe na shahada ya kwanza au stashahada ya juu ya uandishi wa Habari au sifa inayolingana nayo kutoka vyuo vinavyotambuliwa na Serikali pamoja na uzoefu wa kazi kwa muda wa miaka mitano.

Kwa mujibu wa nafasi hii kazi zinazotakiwa kufanywa na wahusika endapo watapata nafasi hizi ni pamoja na kutoa ushauri katika masuala ya habari, kuendesha tafiti katika masuala ya habari na kazi zinginezo.

Katika nafasi ya Ofisa Habari Mkuu II waombaji wanatakiwa kwanza kuwa watumishi wa Serikali, awe raia wa Tanzania na umri usiozidi miaka 40, shahada ya uzamili ya uandishi wa habari pamoja na uzoefu usiopungua miaka saba.

Tangu alipoingia madarakani Desemba, 2004 Rais Kikwete aliahidi na hatimaye baadaye akatekeleza uundaji mpya wa idara ya mawasiliano kwa kuanzisha Kurugenzi ambayo inaongozwa na mwandishi wa habari veterani Salva Rweyemamu.

source: http://www.majira.co.tz/kurasa.php?soma=tanzania&habariNamba=6383

Hii kazi ngumu mno. Bila kubadilisha jinsi matatizo ya nchi yanavyoshughulikiwa na JK yakiwemo ya ufisadi na kuongezeka kwa kasi kwa gharama za maisha utajifutia frustration za hali ya juu.
Kila la heri kwa wanaofikiria kuomba.
 
nyinyi hamnitakii mema!!! kunitupa kwenye kambi ya chui baada ya kujeruhi watoto wake ndio nini? Wakinibangusilo je...?


Vipi mzee umewashitukia! Vijana hatari hawa, tunataka mabadiliko ya kweli. Angalia Morgan na Secretary wake wanapiga anga za SA kwani Robert anataka kuwamaliza kisawasawa.
 
Vipi mzee umewashitukia! Vijana hatari hawa, tunataka mabadiliko ya kweli. Angalia Morgan na Secretary wake wanapiga anga za SA kwani Robert anataka kuwamaliza kisawasawa.

Kwa vyovyote vile wanataka mtu wa kukubali ndiyo na kusifia na ku spin siamini kama MKJJ anaweza jambo hili.Wacha tuwe naye hapa JF is much better than ofisa habari wa Ikulu maana watakuwa hawana habari ila kuzima habari .
 
Binadamu mwenye akili timamu hawezi kukubali kuwa ciovil servant Tanzania na zaidi kufanya ikulu kwenye administration iliopo madarakani

Sidhani kama hawa Ikulu wako tayari kumlipa mtu basic salary ya £60,000-£80,000 kwa mwaka

but never say never kwani kama pesa za kupeleka majeshi Comoro zipo then sidhani kama watakuwa hawana pesa za mishahara kama hiyo

sie wengine tuko more comfortable kuwa pembeni na kuangalia makosa yako wapi

its better to be in sidelines
 
Binadamu mwenye akili timamu hawezi kukubali kuwa ciovil servant Tanzania na zaidi kufanya ikulu kwenye administration iliopo madarakani

Sidhani kama hawa Ikulu wako tayari kumlipa mtu basic salary ya £60,000-£80,000 kwa mwaka

but never say never kwani kama pesa za kupeleka majeshi Comoro zipo then sidhani kama watakuwa hawana pesa za mishahara kama hiyo

sie wengine tuko more comfortable kuwa pembeni na kuangalia makosa yako wapi

its better to be in sidelines

sasa mabadiriko yatakuja je?
mabadiriko hayaji kama mvua staili wengi tunayoitaka yani CCM bwaa CHADEMA juu itachukua mda mrefu sana ama isitokee kabisa.

Mabadiriko hua yanaanza taratibu watu wanajipenyeza kama wenzao kumbe si wenzao siku yakitimia mnawabwaga.kama nafasi zinatokea na tunaziogopa sasa huu ni uadui
 
Hii kazi haimfai mtu yoyote mwenye experience ya kuandika hapa JF. Unatakiwa uwe na magician skills kidogo coz kuna wakati utatakiwa ugeuze jiwe kuwa mkate, and I dont think you need any qualifications to do this job.
 
Mabadiliko si lazima yatoke ndani ya mfumo....nafikiri mabadiliko ya haraka yataletwa na pressure toka nje ya mfumo........hoja za JF zikiimalishwa na walau wasomi wachache tulionao hapa Bongo wakaweza kuuona upande mwingine wa Shilling tutegemee mabadiliko. Kama huna tatizo la ajira MKJJ hana sababu ya kujiingiza kwenye mfumo ambao sana sana uta mharibia haiba yake mbele ya wenye uwezo wa kufikiri vizuri
 
Huu ndio woga tunaoukataa
Watanzania wengi hua tupowaoga sijui nini kinachotufanya tuwe hivyo,hata nafasi za UN wengi hua wanaziogopa wakati mataifa mengine wanajitupa na wanapata.

wewe kama unasifa omba acha visingizio vya woga.Na hata hivyo usijaribu kutoa hukumu kabla ya kesi kufika mahakamani.

Wenye sifa ombeni nafasi hizo acheni uoga.

sijui hata kama umesema mojawapo ya masharti.. huyo mtu lazima awe kwanza mtumishi wa Serikali... never been and I am not now.. so that alone disqualifies me. Kwa maneno mengine hawataki mtu nje ya serikali.
 
Huu ni ubaguzi ambao mtu unaweza kwenda mahakamani na ukawashinda hawa. kwanza wana-discriminate against age (less than 40) halafu watanzania wengi wanaolipa kodi zao hawako serikalini lakini wanabaguliwa pia. Haya mambo yanapaswa kukemewa hususan yanapofanywa na ikulu (of all the places)
 
mkjj nafasi ziko mbili moja si lazima uwe mfanya kazi wa serikali? au wewe interest yako hio ya II mkuu?
 
sijui hata kama umesema mojawapo ya masharti.. huyo mtu lazima awe kwanza mtumishi wa Serikali... never been and I am not now.. so that alone disqualifies me. Kwa maneno mengine hawataki mtu nje ya serikali.

Kaka mbona unahofu sana hiyo nafasi inakufaa kabisa,
Ama unaogopa mbu wa bongo teh teh teh (kiding)
 
Wameshasema wanataka mtu awe mtumishi wa serikali, kwa hilo tu Mwanakijiji ameshakuwa disqualified.

Unless Mwanakijiji ni "mtumishi" wa serikali.
 
Wameshasema wanataka mtu awe mtumishi wa serikali, kwa hilo tu Mwanakijiji ameshakuwa disqualified.

Unless Mwanakijiji ni "mtumishi" wa serikali.

For all we or should I say "I" know....he could very well be....Lol
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom