Trainee
JF-Expert Member
- Sep 22, 2018
- 2,205
- 2,803
Habari wataalamu wa sheria naomba mniweke sawa hapa maana juzi nimemsikia mtendaji akitoa agizo (maelekezo) kuwa ukitaka kuuza au kununua vitu kama shamba nyumba na viwanja basi ni lazima mkakabidhiane (mkaandikiane hati) kwa mtendaji wa kijiji, mtendaji wa kata au mahakamani
Akaendelea kusema kuwa hati yoyote itakayoandikishwa kwa mwenyekiti wa kitongoji au kijiji au polisi au popote pale tofauti na sehemu hizo tatu alizoelekeza basi hati hiyo itakuwa ni batili na haitotambulika
"Mwenyekiti wa kitongoji anamiliki mhuri kwajili ya kukutambulisha wewe mkazi wa kitongoji chake tu, basi!"
Hapo nataka mniambie kwanini iko hivyo (kwa vifungu zaidi)
Akaendelea kusema kuwa hati yoyote itakayoandikishwa kwa mwenyekiti wa kitongoji au kijiji au polisi au popote pale tofauti na sehemu hizo tatu alizoelekeza basi hati hiyo itakuwa ni batili na haitotambulika
"Mwenyekiti wa kitongoji anamiliki mhuri kwajili ya kukutambulisha wewe mkazi wa kitongoji chake tu, basi!"
Hapo nataka mniambie kwanini iko hivyo (kwa vifungu zaidi)