Rwaz
JF-Expert Member
- May 3, 2013
- 1,958
- 3,307
mi naona kuvaa gharama sio tatzo kubwa mana huwa tunajiaminisha kuwa kama umemtongiza ukashawishi akakubali kuwa katika himaya yako bas utammudu hata katika gharama kwa kumshusha aendane na hali. Tatzo kubwa ni unajihisi kwa kujipodoa kule akiwa timamu kwanini hana akili kias kile?!!! Unajiuliza bwege hivi maishan wa nini?. Uzuri tu unaobaki kama unamtumia as disposable ndo hapo unafumba macho mnafanya hayo ya kupita.Utakuta mwanamke kavaa v2 thamani ya mshahara wako kwa mwez
Nywele 70000,makeup 30000,nguo 150000,hand bag70000 tena hii ni ya k/koo hapo bado kucha,kia2...mweh!