Nyoka_mzee
JF-Expert Member
- Nov 26, 2016
- 3,695
- 5,515
- Thread starter
- #21
sasa mkuu hapo kuna maisha na mwanamke kama huyu?Anakwambia yeye keshazoea kwenda kufanyiwa massage week mara tatu... Hawezi kaa na nyewele hizo hizo za kubandika zaidi ya week... Hawezk rudia nguo akivaa akivua anagawa... Hawezi kujibana bana kwa kutumia chini la laki moja kwa siku...
Wakati kwenye mkoba wake ana mia tano ya mwendo kasi tu...
utajenga kweli?