komoakomesha
JF-Expert Member
- May 4, 2020
- 285
- 397
- Thread starter
- #21
Uko vizur Mchele NaziWali buku, inatakiwa mtu tumbo lako liwe zuri vinginevyo ni hatari masaa machache baada ya kula
Uko vizur Mchele NaziWali buku, inatakiwa mtu tumbo lako liwe zuri vinginevyo ni hatari masaa machache baada ya kula
Wapi hukoLeo nimekunywa supu ya ng'ombe shilingi 500 ,Tamu na Safi ,pia IPO supu ya Buku
Hivi mawazo chanya/hasi yanatokana na chakula anachokula mwazaji?Huwezi na hautoweza kuja kuwa na mawazo mazuri kwa kula chakula cha 1200.
....dah nimekumbuka mbali kidogo haya maisha haya we acha tu.Kumbeee ndo sababu mama juma ukoko kapandisha hadi 800!!
Maisha nyoko kuna vipindi unapitia mpaka unavuta kumbkumbu Mara mbilimbili unasema kimoyomoyo asante MUNGU
Kuna watu tunamatumbo ya familia I mean nikiacha mimi kula Basi wao hawali! Ili ujue Kama chakula kimeharibika lazima uniite nikishindwa kukila basi hakuna mtu atakula..
Kuna watu tunamatumbo ya familia I mean nikiacha mimi kula Basi wao hawali! Ili ujue Kama chakula kimeharibika lazima uniite nikishindwa kukila basi hakuna mtu atakula..
Unamezea na chapati nini?Ndiyo bei zetu ila nyama vinyango 1 au 2 tu
Ukitaka minyama mingi nenda breakpoint
Alafu supu asubuhi wanauza inaitwa white soup
Mchz tu bila nyama
Ova
Huwezi na hautoweza kuja kuwa na mawazo mazuri kwa kula chakula cha 1200.
Ndiyo bei zetu ila nyama vinyango 1 au 2 tu
Ukitaka minyama mingi nenda breakpoint
Alafu supu asubuhi wanauza inaitwa white soup
Mchz tu bila nyama
Ova
Maisha Bora mnamatatizo sanaWali buku, inatakiwa mtu tumbo lako liwe zuri vinginevyo ni hatari masaa machache baada ya kula
Rejea kichwa Cha habari hapo juu ,juzi nilikua kwa mama ntilie hapa mtaani anasema kapandisha bei sababu ya mafuta kupanda View attachment 1682692
Hivi mawazo chanya/hasi yanatokana na chakula anachokula mwazaji?
Ndiyo bei zetu ila nyama vinyango 1 au 2 tu
Ukitaka minyama mingi nenda breakpoint
Alafu supu asubuhi wanauza inaitwa white soup
Mchz tu bila nyama
Ova