concrete15
JF-Expert Member
- Oct 16, 2012
- 882
- 323
Magufuli hivi muda mwingine sijui anatumia nini kufikiria hii ni rushwa kama mpaka tumchague mtu ndo utoe msaada serikali yake itakuwaje baada ya wabunge wake kukosa viti poor thinking capacity now ndo nimegundua kwa nini alirudia kidato cha nne. Siasa za kale sana hizi. Kiukweli leo kaniudhi sana na hiyo pumba alioongea.:mmph: