Mkimbizi mmoja kutoka Burundi, Bella Nshimirimana amepata tuzo ya kuwa mwanamke mkimbizi bora nchini Uganda kwa mwaka 2017, kutokana na mchango wake katika masuala mbalimbali yenye tija kwake mwenyewe na kwa jumuiya nzima ya wakimbizi.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.