Gwota
JF-Expert Member
- Mar 3, 2011
- 205
- 92
Ndugu wana JF
Hakuna chama cha siasa ambacho ni muhimu kuliko maisha yetu,hivyo basi hakuna haja ya kuwa mwanachama wa chama cha siasa ikiwa chama husika cha kisiasa kitakuwa na na moja kati ya haya
1. Endapo chama husika cha kisiasa hakichangii maendeleo yako na wala hakirudishi nyuma maendeleo yako (CUF,TLP,NCCR etc)
2. Endapo chama husika cha kisiasa kinarudisha maisha yako nyuma (CCM)
Hakuna chama cha siasa ambacho ni muhimu kuliko maisha yetu,hivyo basi hakuna haja ya kuwa mwanachama wa chama cha siasa ikiwa chama husika cha kisiasa kitakuwa na na moja kati ya haya
1. Endapo chama husika cha kisiasa hakichangii maendeleo yako na wala hakirudishi nyuma maendeleo yako (CUF,TLP,NCCR etc)
2. Endapo chama husika cha kisiasa kinarudisha maisha yako nyuma (CCM)