Mkigombana atakae toka ndani ya nyumba ni nani?

Kuna mmoja alimpata mdada wa 30+ kanisani. Dada amesoma masters Makerere, ofisini ni head wa department, ana nyumba mbili, Ana mabanda manne ya kuku na kila banda Lina uwezo wa kuchukua kuku 500, ana hiaice mbili za kwenda Bagamoyo.

Kaka alijua amepata kitonga. Alimtamkia mimi ninataka kukuoa. Dada alilia kwa furaha. Kabla ya kuvakishwa pete, yule dada alimwambia hivi vyote ni vyangu. Nyumba zote nitapangisha mimi na wewe tukapange tuanze moja. Ukiwa kama mwanaume ninategemea utakua unachangia kodi kila mwezi.

Hahahh hii kali.. Sasa jamaa akakubali au??
 
kwa nini Afrika mkazo mkubwa ni mambo ya kuzaa na mambo ya familia?!....kwa nini mkazo kama huo hatuweki kwenye mambo ya ugunduzi, democrasia, utawala bora, sayansi e.t.c?!
Hao walioacha kuyapa kipaumbele mambo ya familia na uzazi sasa hivi wana majengo ya shule yasiyo na wanafunzi. Jiwe amesema tufyatue sasa unataka tudharau amri ya rais?
 
Kuna mmoja alimpata mdada wa 30+ kanisani. Dada amesoma masters Makerere, ofisini ni head wa department, ana nyumba mbili, Ana mabanda manne ya kuku na kila banda Lina uwezo wa kuchukua kuku 500, ana hiaice mbili za kwenda Bagamoyo.

Kaka alijua amepata kitonga. Alimtamkia mimi ninataka kukuoa. Dada alilia kwa furaha. Kabla ya kuvakishwa pete, yule dada alimwambia hivi vyote ni vyangu. Nyumba zote nitapangisha mimi na wewe tukapange tuanze moja. Ukiwa kama mwanaume ninategemea utakua unachangia kodi kila mwezi.
kama ulimpendea mali itakusumbua sana ila kama ulimpenda yeye itapendeza sana Kodi ntalipa na dagaaa akubali tule maana ndio uwezo wangu..akiona maisha magumu hawezi aende kwenye nyumba zake hizo..ila Hta nikiishi kwa mwanamke ntahakikisha najenga haraka sehemu nyingine hata kama sio nyumba yamimi kuishi ntazuga ni za wapangaji tu ila Akili yangu naijua.
 
Ndoa na mapenzi ni ujinga wa kiwango cha lami ambao unawatesa sana waafrika! inakuwaje mtu unapigania kuwa na mateso badala ya kupigania kuwa na furaha??! kama ndoa zenyewe ndiyo hizi utapata muda wa kwenda kupanda mlima kilimanjaro lini? utapata muda wa kwenda kula bata ngorongoro lini? utapata muda na hela za kwenda likizo norway lini?! Hakuna mistake unaweza kufanya hapo dunia kama kuwekeza muda wako na hela zako kwenye mapenzi na ndoa!

Kwaiyo mkuu wewe unachagua kwenda ngorongoro kuliko mapenzi
 
Facilities zote za mambo ya familia kama vile madawa ya hospitali, hela za kuendesha nchi e. t. c tunategemea wazungu!! Sasa siku wazungu wakigoma na technolojia zao sisi waafrika tunaokomaa na kuzaa tutaishije?!
Hao walioacha kuyapa kipaumbele mambo ya familia na uzazi sasa hivi wana majengo ya shule yasiyo na wanafunzi. Jiwe amesema tufyatue sasa unataka tudharau amri ya rais?
 
Sasa kupata unconditional love wakati huna hata technolojia ya kutengeneza dawa ya malaria ina faida gani?! Siku wazungu wakibana na technolojia zao za kutengeneza madawa ya malaria, ukimwi, chanzo, kutupa misaada ya fedha na kadhalika huoni kwamba hicho kipaumbele chetu cha kuzaliana kama kumbikumbi kitaangukia pua?! Afrika tunafeli wapi kuelewa vitu vidogo sana kama hivi?!
Mapenzi na ndoa is the most reliable asset. Nenda Norway, panda mlima Kilimanjaro, nenda Ngorongoro lakini ni kwenye ndoa na mapenzi utakako pata unconditional love that money can’t buy.
 
Uncle ndiyo technolojia yetu Tanzania ya dawa ya malaria? Uncle ndiyo technolojia yetu Tanzania ya dawa ya ukimwi? Uncle ndiyo utawala bora wetu Tanzania? uncle ndiyo technolojia yetu ya usafiri Tanzania? uncle ndiyo technolojia yetu ya computer Tanzania?uncle ndiyo itazuia budget deficit katika nchi yetu? uncle ndiyo kiwanda chetu cha nguo Tanzania?! Umeona akili zetu za kiafrika zilivyo poor sasa!! Yaani hatuna muda wa kuwaza wala wa kupigania mambo makubwa na ya msingi!!
Mmh shemeji na kaka yako angekua hivyo mbona usingeitwa uncle.
 
Wewe umesema kuwa tunatakiwa kufanikiwa katika nyanja zote, mimi nikakuuliza swali kwamba Afrika tofauti na kufanikiwa katika kuzaliana kama kumbikumbi tumefanikiwa tena katika lipi? wapi nimegeuza mtazamo?
Kiongozi mtazamo wako usiugeuze ionekane ni mtazamo wangu
 
Umekutana na binti mjini Dar, binti huyu wazazi wake ni wanasiasa tangu enzi za chama kushika hatamu. Wana eneo la heka tano na zimezungushiwa uzio.

Mapenzi yenu yameiva mpaka mnaona. Siku ya harusi mbele ya wageni Baba mkwe kwenye hotuba yake anawapa kiwanja ndani ya eneo lake, kwa tambo anasema wajukuu zake wasizaliwe kwenye nyumba ya kupanga.

Baada ya honeymoon mmepewa guest wing muanzie maisha wakati mnajenga. Mmejenga nyumba imekwisha na mmehamia.

Mmekorofishana kidogo na mke, hali halisi ni kuwa wote mna hasira mmoja wenu inabidi aondoke kwa muda. Kati ya wewe na mke wako ataondoka nani?
Mume ila sio wote ila inategemea
 
Back
Top Bottom