Mkigombana atakae toka ndani ya nyumba ni nani?

Umekutana na binti mjini Dar, binti huyu wazazi wake ni wanasiasa tangu enzi za chama kushika hatamu. Wana eneo la heka tano na zimezungushiwa uzio.

Mapenzi yenu yameiva mpaka mnaona. Siku ya harusi mbele ya wageni Baba mkwe kwenye hotuba yake anawapa kiwanja ndani ya eneo lake, kwa tambo anasema wajukuu zake wasizaliwe kwenye nyumba ya kupanga.

Baada ya honeymoon mmepewa guest wing muanzie maisha wakati mnajenga. Mmejenga nyumba imekwisha na mmehamia.

Mmekorofishana kidogo na mke, hali halisi ni kuwa wote mna hasira mmoja wenu inabidi aondoke kwa muda. Kati ya wewe na mke wako ataondoka nani?
Kwanza kabisa siwezi jenga kwenye kiwanja Cha mke wangu. Nitajenga nikishajenga kiwanja changu binafsi hata Kama kwa muda huo sina. Lakini nitatafuta kwa nguvu zote nijenge then nijue lingine.
 
Umekutana na binti mjini Dar, binti huyu wazazi wake ni wanasiasa tangu enzi za chama kushika hatamu. Wana eneo la heka tano na zimezungushiwa uzio.

Mapenzi yenu yameiva mpaka mnaona. Siku ya harusi mbele ya wageni Baba mkwe kwenye hotuba yake anawapa kiwanja ndani ya eneo lake, kwa tambo anasema wajukuu zake wasizaliwe kwenye nyumba ya kupanga.

Baada ya honeymoon mmepewa guest wing muanzie maisha wakati mnajenga. Mmejenga nyumba imekwisha na mmehamia.

Mmekorofishana kidogo na mke, hali halisi ni kuwa wote mna hasira mmoja wenu inabidi aondoke kwa muda. Kati ya wewe na mke wako ataondoka nani?
Ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha. Umenifanya nicheke na kunikumbusha jirani yangu moja ivi tumepanganae sehemu Moja. Sasa huyu jamaa mke au mchumba wake ndiye aliyepanga yaani mke ndiye analipa Kodi. Siku Moja wakagombana Tena ugomvi ulikuwa mkubwa jamaa akaambiwa sikutaki na uondoke aisee. Mpaka Leo jamaa Bado yupo.


Ila mwanzo kabla hatujajua chochote alikuwa anajigamba ohoo mke wangu nimemfungulia shop kubwa mwenge, Mimi nafanya kwenye kampuni fulani ivi Bunju.

Siku izi kawa mpole balaa gambo zimeisha.
 
Niliwahi kupewa kero na mwenza kwenye nyumba ya kupanga hadi niliamua kusamehe kila kitu na kutokomea mbali huko.Baada ya miaka minne tunaonana na bibie analialia tu na kuomba msamaha ila ilikuwa too late.Nilikuwa namueleza kila mara kwamba vitu anavyoviona havina thamani zaidi yangu na kuna siku nitaondoka na kumuacha yeye na hivyo vitu.Alifikiri natania.Ikawa kweli.Mdomo,mdomo ni kero mnoo!
Mdomo kama wotee
 
Ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha. Umenifanya nicheke na kunikumbusha jirani yangu moja ivi tumepanganae sehemu Moja. Sasa huyu jamaa mke au mchumba wake ndiye aliyepanga yaani mke ndiye analipa Kodi. Siku Moja wakagombana Tena ugomvi ulikuwa mkubwa jamaa akaambiwa sikutaki na uondoke aisee. Mpaka Leo jamaa Bado yupo.


Ila mwanzo kabla hatujajua chochote alikuwa anajigamba ohoo mke wangu nimemfungulia shop kubwa mwenge, Mimi nafanya kwenye kampuni fulani ivi Bunju.

Siku izi kawa mpole balaa gambo zimeisha.
Jamaa angesepa tuu
 
We kama mwanamke mwenzie unaona yupo sahihi kweli huyo babe?
Kuna mmoja alimpata mdada wa 30+ kanisani. Dada amesoma masters Makerere, ofisini ni head wa department, ana nyumba mbili, Ana mabanda manne ya kuku na kila banda Lina uwezo wa kuchukua kuku 500, ana hiaice mbili za kwenda Bagamoyo.

Kaka alijua amepata kitonga. Alimtamkia mimi ninataka kukuoa. Dada alilia kwa furaha. Kabla ya kuvakishwa pete, yule dada alimwambia hivi vyote ni vyangu. Nyumba zote nitapangisha mimi na wewe tukapange tuanze moja. Ukiwa kama mwanaume ninategemea utakua unachangia kodi kila mwezi.
 
Haya mambo yanakera sana, ni sawa na ule utani ambao mara nyingi wanaume hawaupendi pale unapo chekwa ikiwa una ishi kwa dada yako ambaye tayari ni mke wa mtu😂😂😂.
 
Jamaa angesepa tuu
Mpka Leo yupo mkuu. Kazi yake kuu Sasa ivi Ni kupika, kufua mke anatoka job saa nne usiku. Usiombe yakukute aisee.


Mwanaume panga hata kichimba kimoja tu hata Cha elfu 10. Kama Bado Mambo hayajakaa sawa
 
Mpka Leo yupo mkuu. Kazi yake kuu Sasa ivi Ni kupika, kufua mke anatoka job saa nne usiku. Usiombe yakukute aisee.


Mwanaume panga hata kichimba kimoja tu hata Cha elfu 10. Kama Bado Mambo hayajakaa sawa
Uyo mwanaume hapo aondoke... Au akae kwa machale Sana ajipe mda apange Mambo yake yakikaa sawa apite ivii
 
Umekutana na binti mjini Dar, binti huyu wazazi wake ni wanasiasa tangu enzi za chama kushika hatamu. Wana eneo la heka tano na zimezungushiwa uzio.

Mapenzi yenu yameiva mpaka mnaona. Siku ya harusi mbele ya wageni Baba mkwe kwenye hotuba yake anawapa kiwanja ndani ya eneo lake, kwa tambo anasema wajukuu zake wasizaliwe kwenye nyumba ya kupanga.

Baada ya honeymoon mmepewa guest wing muanzie maisha wakati mnajenga. Mmejenga nyumba imekwisha na mmehamia.

Mmekorofishana kidogo na mke, hali halisi ni kuwa wote mna hasira mmoja wenu inabidi aondoke kwa muda. Kati ya wewe na mke wako ataondoka nani?
Hii mbona iko wazi? Mwanaume anachapa mwendo. Huwezi kuleta kibr kwa wakwe!
 
Back
Top Bottom