Wadau kauli hii ilitolewa na mh Nagu alipokua kwenye kampeni pamoja na baadhi ya mawaziri wengine walioshiriki katika kampeni arumeru east.Mh Mbowe alimuuliza Waziri mkuu na akajibu kua it waz unfortunately ukizingatia ilitolewa jukwaani.Magamba kabla hamjatoa boliti kwenye jicho la kamanda wetu Nassari angalieni la kwenu kwanza.NAWASILISHA!