Mkibambwa na mtoto mna nanihii mtamfanyaje

Kwa ukweli tukubaliane maswali mengine hua hayana majibu, jibu la swali kama hili linapatikana ile siku mmekutwa na mtoto. Mtoto akisha wafuma ndo mtapata kigugumizi then ujasiri najibu hapohapo, kwa sasa unaweza sema ntafanya hivi au hivi, laki ni mpaka itokee ndo jibu litajileta lenyewe.
Hili nadhani ndio jibu sahihi kwa topic hii.

Pia tujue hapa kuna vitu vikuu viwili na kila kitu na jibu.
Cha kwanza:
Sawa imetokea mko ndani ya game halafu mtoto anaingia anawakuta mmevaa suji orijino halafu mnazipiga pasi, kama ni mimi nitatoa sauti kubwa ya ukali "Toka nje pumbavu". Halafu baada ya game mtoto analamba viboko kwanza na hapo hawezi kurudia tena.

Cha pili:
Yawezekana mtoto ndio tabia yake kuingia state house bila hodi, na hapo itakuwa ni tatizo la wazazi kutomfundisha adabu mapema, waswahili wanasema "samaki mkunje angali mbichi"

Pia lazima tufahamu watoto kama hawa wa miaka 8 au wa darasa la kwanza au hata chekechea na kuendelea wana vipaji vya kuhudhuria Video Show za picha mbalimbali zikiwemo za PILAU na huwezi kuwadanganya kitu.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom