Hata mm nimemshangaa huyo jamaa alivo mjingaUnaonaje kimyaa kinyaa kwa binadamu mwenzako uliyelala nae kitanda kimoja? Nakukumbusha, kwa huyo mwanamke unayeanzisha mahusiano nae leo ambaye kesho atakua kinyaa kwako tayari huyo ni X wa mwenzako leo.
Sasa pesa akizipata atalala nazo?Mkuu ukiamua kumove on ww move tu usirud nyuma tena kikubwa tafta pesa
...'japo siyo kazuri sana'...kosa la kiufundi hilo!Wengi hasa vijana wamezoea kuachana kwa matusi na kila mmoja kusema mabaya ya mwenzake kwa watu lakini hujui yawezekana siku moja ukajikuta umempigia magoti ex wako unaomba akupe hata kimoja tu!
Mimi binafsi nilikuwaga najiamini nikimwacha msichana siwezi kurudiana naye lakini mwaka jana mwezi wa nane kuna kadada flani nilikapiga chini baada ya kushindwa baadhi ya tabia zake hasa uongo yaani hasemagi ukweli kabisa hivyo ikapelekea nikapoteza imani naye nikaamua kumwacha na kukataa kumsamehe maana ni miaka miwili hataki kubadirika lakini baada ya kumwacha nimevumilia mwezi hivi nikahisi kuna kitu bado namiss kwake.
Japo sio kazuri sana kuzidi hawa wengine ikabidi nimtafute nijishushe japo najua kuna boya anamiliki kwa sasa maana dalili naziona ila nimejiegesha kwake huwa nakatafuna kimya kimya bila kushika simu yake wala kumfuatilia ila ukweli ni kwamba kila nikimuhitaji ananipa mambo na huwa naenjoy kuliko hata demu wangu mpya ambaye ni mzuri kwa kumuangalia tu.
Nilichojifunza ukiamua kumwacha msichana usiseme kwa watu wala usimtamkie mabaya muache kwa amani siku ukijiskia kummisi itakuwa rahisi kukupa mbunye hata kama alishaolewa wanakuwaga na huruma hasa kama alikuwaga anakuelewa show yako.
Wewe utakaa pahala pazuri ili uendelee kula vilivyononaHakunaga kuachana kwa amani. We tafuta pesa achana na Mambo ya diplomasia