Elections 2010 Mkewe Chenge amepitishwa ubunge viti maalum CCM!!

Ntemi Kazwile

JF-Expert Member
May 14, 2010
2,182
307
Hata baada ya tuhuma lukuki za rushwa na ubadhilifu, familia ya mwanasiasa wa kinyantuzu, Andrew Chenge, imezidi kujiimalisha kisiasa baada ya mkewe kupitishwa na chama chake kuwania ubunge viti maalum mkoa mpya wa Simiyu.
Na taarifa za kuaminika ni kwamba Chenge atashinda kwa kura nyingi sana kwani wananchi wa huko bariadi, wanyantuzu, wanachojali ni pesa, hata kama zitatolewa na majini ya Sheikh Yahya wao hawana noma. Hapa kama kuna mwenye matumaini ya kupambana na ufisadi inabidi ajiulize upya na ikiwezekana kubadilisha mbinu kuwahamasisha waondokane na wendawazimu wa aina hii
Na kuna taarifa pia kuwa kuna wachina wamepelekwa kule na mwenyekiti wa chama Twawala ndugu Jakaya kwenda kuwaghiribu wapiga kura kuwa barabara ile inawekewa lami, wakati hakuna bajeti ya kitu kama hicho mwaka huu.
 
Chama kinachokosa mwelekeo na shabaha madhubuti ya kupambana na UFISADI,huzilinda,huzitetea na kuzikumbatia familia za maaskari walio mstari wa mbele kuimairisha ufisadi kama Chenge na mkewe.
Suluhisho ni wananchi kuwapiga stop kwa kumchagua DR. SLAA kuwa rais ili apambane nao vyema kwani CCM wanalindana!
 
CCM wamempitisha mke baada ya kuona kuwa mumewe hatoingia tena bungeni msimu huu kwa sababu anayo kesi ya kujibu.Kazi kwelikweli wata tapatapa hadi mwisho lakini wasome alama za nyakti kuwa Wananchi aka WATANZANIA wameichoka ccm
 
CCM wamempitisha mke baada ya kuona kuwa mumewe hatoingia tena bungeni msimu huu kwa sababu anayo kesi ya kujibu.Kazi kwelikweli wata tapatapa hadi mwisho lakini wasome alama za nyakti kuwa Wananchi aka WATANZANIA wameichoka ccm

Mkuu ninasikitika kukujuvya kuwa kuna watu huku Tanzania wanajua kuwa tanzania = ccm = tanzania, kule usukumani nadhani ndiko tatizo kubwa kuliko yote. Kama ni malazi basi ni kasa au ukimwi uliokolea
 
Hata baada ya tuhuma lukuki za rushwa na ubadhilifu, familia ya mwanasiasa wa kinyantuzu, Andrew Chenge, imezidi kujiimalisha kisiasa baada ya mkewe kupitishwa na chama chake kuwania ubunge viti maalum mkoa mpya wa Simiyu.
Na taarifa za kuaminika ni kwamba Chenge atashinda kwa kura nyingi sana kwani wananchi wa huko bariadi, wanyantuzu, wanachojali ni pesa, hata kama zitatolewa na majini ya Sheikh Yahya wao hawana noma. Hapa kama kuna mwenye matumaini ya kupambana na ufisadi inabidi ajiulize upya na ikiwezekana kubadilisha mbinu kuwahamasisha waondokane na wendawazimu wa aina hii
Na kuna taarifa pia kuwa kuna wachina wamepelekwa kule na mwenyekiti wa chama Twawala ndugu Jakaya kwenda kuwaghiribu wapiga kura kuwa barabara ile inawekewa lami, wakati hakuna bajeti ya kitu kama hicho mwaka huu.




sasa rafiki yangu post hii haijashiba vizuri;
je, huyo candidate alipitishwa lini na anaitwa nani? au ndiye huyo aitwaye Tinner Andrew chenge?
elimu ya uraia inahitajika sana nchi hii kwani sehemu kubwa wa watanzania bado hawaelewi misingi ya demokrasia na nini cha kufanya na hii imekuwa mtaji mkubwa kwa baadhi ya vyama hapa tanzania.
 
Hata baada ya tuhuma lukuki za rushwa na ubadhilifu, familia ya mwanasiasa wa kinyantuzu, Andrew Chenge, imezidi kujiimalisha kisiasa baada ya mkewe kupitishwa na chama chake kuwania ubunge viti maalum mkoa mpya wa Simiyu.
Na taarifa za kuaminika ni kwamba Chenge atashinda kwa kura nyingi sana kwani wananchi wa huko bariadi, wanyantuzu, wanachojali ni pesa, hata kama zitatolewa na majini ya Sheikh Yahya wao hawana noma. Hapa kama kuna mwenye matumaini ya kupambana na ufisadi inabidi ajiulize upya na ikiwezekana kubadilisha mbinu kuwahamasisha waondokane na wendawazimu wa aina hii
Na kuna taarifa pia kuwa kuna wachina wamepelekwa kule na mwenyekiti wa chama Twawala ndugu Jakaya kwenda kuwaghiribu wapiga kura kuwa barabara ile inawekewa lami, wakati hakuna bajeti ya kitu kama hicho mwaka huu.
This is politicl rape of voters' mentals!
Lakini hawa watu wa Simiyu waashindwa nini kula hela za huyo vijisenti, na kumpa kura mgombea wa upinzani?...Mikoa mingine ina ukabilaukabila usio hata na sababu!
 
Hata baada ya tuhuma lukuki za rushwa na ubadhilifu, familia ya mwanasiasa wa kinyantuzu, Andrew Chenge, imezidi kujiimalisha kisiasa baada ya mkewe kupitishwa na chama chake kuwania ubunge viti maalum mkoa mpya wa Simiyu.
Na taarifa za kuaminika ni kwamba Chenge atashinda kwa kura nyingi sana kwani wananchi wa huko bariadi, wanyantuzu, wanachojali ni pesa, hata kama zitatolewa na majini ya Sheikh Yahya wao hawana noma. Hapa kama kuna mwenye matumaini ya kupambana na ufisadi inabidi ajiulize upya na ikiwezekana kubadilisha mbinu kuwahamasisha waondokane na wendawazimu wa aina hii
Na kuna taarifa pia kuwa kuna wachina wamepelekwa kule na mwenyekiti wa chama Twawala ndugu Jakaya kwenda kuwaghiribu wapiga kura kuwa barabara ile inawekewa lami, wakati hakuna bajeti ya kitu kama hicho mwaka huu.

Kwani mke wake naye ni fisadi?!
 
Hata baada ya tuhuma lukuki za rushwa na ubadhilifu, familia ya mwanasiasa wa kinyantuzu, Andrew Chenge, imezidi kujiimalisha kisiasa baada ya mkewe kupitishwa na chama chake kuwania ubunge viti maalum mkoa mpya wa Simiyu.

Kama Chenge hagombei tena, hii ni habari njema! Kama mke wake anachaguliwa kuziba pengo lake, ni uthibitisho uwezo wa JK kufikiri ni mdogo kuliko tulivyofikiria. Hakuna shida: Piga chini JK, mpigie Dr Slaa
 
huyu jamaa si hakimu alisema ana kesi ya kujibu, sasa kwa nini asisimamishwe kugombea ubunge, maana sheria inasema anayeshitakiwa na aliyewahi kushitakiwa haruhusiwi, sasa yeye kaua watu jamani
 
Kama hatutofanya maamuzi sahihi Oktoba 31 itafika wakati hata watumishi wao wa ndani watapitishwa kugombea udiwani na ubunge kwa mgongo wao.
 
lazima mlalamike hela inafuata hela mwenzake ,usitegemee wewe kanyaboya mkeo atachaguliwa kuwa mbunge no,value to value ''quid pro quo""ila slaa anatisha tuache utani;;;du natamani ashinde
 
Whaaat?????? jamani jamani jamani tunatafutana ubaya sasa nini hii???
Wewe unayeitwa mke wa Chenge mwogopeni mungu huu ufisadi utawaisha lini?
Mwanamke unakosa haya hivi ni lini mtaelewa watanzania wamewachoka mpaka tufanye kwa matendo maana maneno ya ustaarabu kwenu hayana tija...sasa tusilaumiane mbele ya safari. Mlaaniwe kwa jina la Tanzania na watu wake.Laana iwafikie ninyi akina Chenge na vizazi vyenu vyote vijazo..
 
La wabunge huru:

Kulikuwa na na sheria ya kutaka kuwepo na wabunge huru...wengine wanawaita "binafsi", yaani wasiotegemea baraka za chama cha siasa.!

Wengine wapo wenye kufikiria kuwa kukataliwa kwa sheria hiyo ni kufinya maendeleo ya demokrasia nchini.

Kuna wengine wenye kufikiria kuwa kwa kukataliwa kwa sheria hiyo ni njia mojawapo ya kudhibiti mafisadi, ambao kule watokapo wananchi wanawaona kuwa ni wakombozi wao: Chenge na Mramba ni mifano mizuri. Wanaweza kupigiwa na kushinda kura, endapo wangesimama kama wagombea binafsi!
 
Nafasi ya shetani haiendi kwa malaika asilani.
Ila malaika humshinda shetani baada ya kumpa kisago cha wakati
Mungu anaona
 
Hivi Hosea atamkamata lini Chenge kwenye kesi ya rada? Badala ya kumshughulikia Chenge wao wanagombea zile pesa zilizozidishwa wapewe serikali! Na BAE hawataki kwani wanajua zitamrudia Chenge na kundi lake tena, yaani itakuwa double commission! Kwa nini JK asitumie utaratibu wa EPA wa kumuomba mwizi arudishe alichoiba yaani Idrissa na Andy warudishe ile mifedha iliyoko visiwa vya Jersey?
 
Back
Top Bottom