Mkesha wa Mwaka Mpya 2019 : Wananchi wamlilia shida Kikwete , yeye asema sasahivi hana hela

Rais Mstaafu Jakaya Mrisho Kikwete usiku wa mkesha wa kuupokea Mwaka Mpya 2019 akiwa kijijini kwake Msoga amewaburudisha Wananchi kwa kuwaandalia show ya Wasanii wa Band ya Sikinde pamoja na Wasanii wa kizazi kipya.



Bushoke na Dulla Makabila ambao wametumbuiza bure.


Wanachi wa Msoga wamechukua fursa hiyo ya kukutana na Mstaafu Kikwete kwa kumueleza shida zao na wengine kumsalimia na kumtakia heri ya mwaka mpyaView attachment 982640

Sent using Jamii Forums mobile app
Bushoke tena!!
 
Back
Top Bottom