Hivi punde
JF-Expert Member
- Apr 1, 2017
- 2,554
- 8,552
Rais Mstaafu Jakaya Mrisho Kikwete usiku wa mkesha wa kuupokea Mwaka Mpya 2019 akiwa kijijini kwake Msoga amewaburudisha Wananchi kwa kuwaandalia show ya Wasanii wa Band ya Sikinde pamoja na Wasanii wa kizazi kipya.
Bushoke na Dulla Makabila ambao wametumbuiza bure.
Wanachi wa Msoga wamechukua fursa hiyo ya kukutana na Mstaafu Kikwete kwa kumueleza shida zao na wengine kumsalimia na kumtakia heri ya mwaka mpya
Sent using Jamii Forums mobile app
Bushoke na Dulla Makabila ambao wametumbuiza bure.
Wanachi wa Msoga wamechukua fursa hiyo ya kukutana na Mstaafu Kikwete kwa kumueleza shida zao na wengine kumsalimia na kumtakia heri ya mwaka mpya
Sent using Jamii Forums mobile app