TWIZAMALLYA
JF-Expert Member
- Oct 1, 2011
- 397
- 81
Wanajamiiforums wote mlioko Dar es salaam karibieni mnazi mmoja kwenye mkesha wa kusherehekea miaka hamsini ya uhuru wa nchi hii.
Kama umetembelea maonyesho ya wizara na idara za serikali pale viwanja vya mwalimu nyerere, utakubaliana na mimi kuwa kinga haitakuwa ishu, maana karibu hospitali zote za umma na baadhi za binafsi zitakuwepoinabidi mgawe kinga kwa wingi sana "gavana"